R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 50,619 Reaction score 97,446 Jan 3, 2026 #1 Kuna lolote kinaendelea ICC au ndiyo imetoka hiyo! Mwenye fununu atufunulie
Lord Denning JF-Expert Member Joined Jun 3, 2015 Posts 23,493 Reaction score 57,879 Jan 3, 2026 #2 Chakula kinaiva vizuri sana. We tulia tu mwaka wa ushindi kwa wapenda mabadiliko ni huu.
TUJITEGEMEE Platinum Member Joined Nov 6, 2010 Posts 27,330 Reaction score 28,069 Jan 3, 2026 #3 Hata mwaka 2026. Narudia. Tuimalize matatizo yetu wenyewe. ICC ni vurugu zaidi tunamkaribisha. Haya mambo yetu hayajatushinda!!!
Hata mwaka 2026. Narudia. Tuimalize matatizo yetu wenyewe. ICC ni vurugu zaidi tunamkaribisha. Haya mambo yetu hayajatushinda!!!
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 19,106 Reaction score 36,102 Jan 3, 2026 #4 Retired said: Kuna lolote kinaendelea ICC au ndiyo imetoka hiyo! Mwenye fununu atufunulie Click to expand... Jinai haifi mkuu huyu lazima waruke naye tu, arrest warrant inatoka soon.
Retired said: Kuna lolote kinaendelea ICC au ndiyo imetoka hiyo! Mwenye fununu atufunulie Click to expand... Jinai haifi mkuu huyu lazima waruke naye tu, arrest warrant inatoka soon.
T Twoten JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 2,602 Reaction score 2,932 Jan 3, 2026 #5 Nimedokezwa mwezi wa pili mwaka huu ataitwa kusomewa mashitaka kenge wenu