https://youtu.be/yh3FB26VcNc?si=Aa33IMGEMgn_8AW0
👉Baadhi wameshakamatwa, kutekwa na kuuawa Ili kuficha ushahidi (Taifa likiwa bado linaomboleza na kuzika ndugu zao waliouawa kati ya 29/10 na 5/11/2025, nyuma ya pazia Samia akiwa anaendelea kuteka na kuua kwa Siri at the same time akijidai...
Kuna taarifa ya muda mrefu kwamba Museven ana shamba la Ng'ombe ( ranch ) ndani ya Tanzania kwenye maeneo hayo ni shamba kubwa sana
inaonekana ameingia Tamaa anataka kuchukua eneo ili hao ng'ombe wake wawe uganda
Kuingia kwa hili jeshi sioni tena JWTZ wakaweza pambana na kuwatoa maana vifaa...
BREAKING NEWS: Rais wa Indonesia anatarajia kuitembelea Israel kesho, vyombo vya habari vya Israel vinaripoti.
Natumaini hili litatokea. Wakati wa kufanya amani. 🇮🇱🇮🇩
Wanabodi
Zamani JF ndio ilikuwa ya kwanza kwa ma Breaking News, lakini sasa...!
Yule member wetu, Jasusi, Aliyetoa Breaking News ile siku ya Tarehe 12 March mwaka ule, Taifa tukatangaziwa Tarehe 17 March, Leo ametoa Breaking News nyingine Kule kwenye youtube channel yake ya Jasusi TV, sijui...
Kuweni na amani 🙌🏽
Tuneweka akaunti za Humphrey Polepole salama ili wahuni wasiweze kuzifikia! 😀
Hakuna aliyezifuta zimehifadhiwa until Polepole arudi uraianj!
Tunashukuru kampuni za mitandao zime react fasta!
Mwambieni Mafwele sasa wamwachie hawapati kitu hapo!
#FreePolepole
Nimefurahi kiasi.
Here’s what that recognition typically symbolizes:
1. Legitimacy of Palestinian Statehood
It signals that these countries formally acknowledge Palestine as a state (not just as a “territory” or “authority”).
This boosts the international legitimacy of Palestinian claims to sovereignty.
2...
Unabii uliotolewa kuhusu Nchi ya Tanzania
Mungu hajafurahishwa na Madaraka ya sasa
Watanzania Tuungane Tuombe kwa Pamoja kuombea Nchi kuhusu Utawala
Mungu atatusikiliza (Tumuombe) hii ndio Option tuliyonayo tuliopewa na Mungu
Kabla ya Roho ya Vita kuachiliwa
Kwa muda mrefu Tumepewa Amani...
Serikali ya DRC imetangaza kusitisha elimu bila malipo katika maeneo yanayodhibitiwa na AFC/M23.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Jacquemain Shabani, alithibitisha hilo na kusema: "Kwa bahati mbaya, watoto wetu katika maeneo yanayokaliwa hawafaidiki na elimu ya bila malipo."
Hatua hii inaathiri moja...
afc/m23
bila
breaking news
congo
dr congo
drc
elimu
elimu bila malipo
katika
kusitisha
maeneo
malipo
mambo
mambo ya
mambo ya ndani
ndani
news
rasmi
serikali
shabani
waasi
waziri
.
Kupitia ukurasa wa Instagram Fredrick Lowassa ameandika
“Baba – Nakumbuka hii siku, Agosti 10, 2015. Watanzania wanajua. Dunia inajua. Haijawahi kutokea katika historia ya Tanzania. Umetufundisha – TUMEKOMAA! Tumelinda heshima yako kwa wanaMonduli. Na tunaendelea kuheshimu Mamlaka na kuishi...
Alhamdulillah ala kulli hal. Nimepokea uamuzi wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kwa moyo wa shukrani. Quran Tukufu inatufundisha kuwa Allah ndie mpangaji na alipangalo ni bora kwetu. ALHAMDULILLAH.
----
Ndugu zangu wanaTanga Mjini,
Nitumie fursa hii kuwashukuru kwa kuniamini kuwa Mbunge wenu kwa...
Prime Minister Benjamin Netanyahu will convene his security cabinet at 6 p.m. Thursday at his office in Jerusalem, according to the Prime Minister’s Office, where it is expected to approve fresh plans for the continuation of the war in Gaza.
During a three-hour security discussion among a...
The President’s Office Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) has announced several important updates on the Ajira Portal for job seekers and stakeholders.
Job Vacancies Announcements
The Ajira Portal is a centralized platform designed and managed by the Public Service Recruitment...
Trump: Hamas didn’t want to make a ceasefire deal, its leaders will be ‘hunted down’ US President Donald Trump declared Friday that Hamas isn’t interested in reaching a hostage deal and signaled backing for Israel advancing its military operations against the terror group.
“Hamas didn’t really...
I will be short
Former yanga Player Fiston Mayele has converted to Islam . ☪️
Reports say influence from Pyramids players played a major part of his conversion.
Kibongo bongo
Ni pesa za kiarabu Hizi zinatafutwa
===
Nyota wa DR Congo anadaiwa kusilimu
Katikati ya mafanikio yake ya soka...
Naomba tupate clip ya huyu Dada Stella Agara akiongea juu ya utawala ulioshindwa WA Ruto. Dada kashusha nondo vibaya Sana. Ana sema Ruto aondoke kwa kujiuzulu mwenyewe, ikiwa njia zingine zimeshindika kupitia Bunge na Senate, mpaka kazungumzia Mungu kuingilia kati.
Na kwamba fujo zina...
. Israeli official: ‘Iran broke the ceasefire, and it will pay’
By Lazar Berman Follow
Today, 11:22 am
Israel will respond to Iran’s missile attack, an Israeli official says, shortly after Tehran launched at least two ballistic missiles soon after the start of a ceasefire.
“Iran broke the...
1 hour ago
Iran says the three nuclear sites attacked by US had been evacuated
"The Islamic Republic had evacuated the three nuclear sites some time ago," Iran's state TV reported after the US announced airstrikes on the Fordow, Natanz, and Isfahan nuclear facilities.
Ayatollah Khamenei amechagua warithi watatu, watarajiwa akiwa amejificha chini ardhini ) Kiongozi Mkuu wa Iran Ali Khamenei amewateua makasisi watatu kama warithi watarajiwa akiwa amejificha kwenye chumba cha kulala. chini ya ardhi huku akikabiliwa na...
Advertisement
Live Update arrow right icon From the Liveblog of Thursday,
June 19, 2025
Israel expecting US decision on joining Iran strikes in 24-48 hours, says official
By Lazar Berman Follow
Today, 7:10 pm
2
Israel still expects that US President Donald Trump will join the strikes against...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.