news

  1. U

    Tetesi: Madaktari mbalimbali nchini wanawindwa kama wahalifu ili kuficha ushahidi wa mauaji na maiti zilizopelekwa kutupwa ktk hospitali zao

    https://youtu.be/yh3FB26VcNc?si=Aa33IMGEMgn_8AW0 👉Baadhi wameshakamatwa, kutekwa na kuuawa Ili kuficha ushahidi (Taifa likiwa bado linaomboleza na kuzika ndugu zao waliouawa kati ya 29/10 na 5/11/2025, nyuma ya pazia Samia akiwa anaendelea kuteka na kuua kwa Siri at the same time akijidai...
  2. M

    Kumbe Rais wa Uganda Museveni anaitaka Kagera?

    Kuna taarifa ya muda mrefu kwamba Museven ana shamba la Ng'ombe ( ranch ) ndani ya Tanzania kwenye maeneo hayo ni shamba kubwa sana inaonekana ameingia Tamaa anataka kuchukua eneo ili hao ng'ombe wake wawe uganda Kuingia kwa hili jeshi sioni tena JWTZ wakaweza pambana na kuwatoa maana vifaa...
  3. S

    Ile kazi muhimu na muhimu inafanyika usiku wa leo. Kesho ni siku ya breaking news tu

    Acha wahangaike kuzuia mabasi ya mikoani hiyo kesho, wakati kazi ni leo usiku.
  4. Echolima1

    Rais wa Indonesia anatarajiwa kuitembelea Israel Kesho!!!

    BREAKING NEWS: Rais wa Indonesia anatarajia kuitembelea Israel kesho, vyombo vya habari vya Israel vinaripoti. Natumaini hili litatokea. Wakati wa kufanya amani. 🇮🇱🇮🇩
  5. Pascal Mayalla

    Yule Jasusi Aliyetoa Breaking News Tarehe 12 March Tukatangaziwa Tarehe 17 March, ametoa Breaking News Kule Jasusi TV

    Wanabodi Zamani JF ndio ilikuwa ya kwanza kwa ma Breaking News, lakini sasa...! Yule member wetu, Jasusi, Aliyetoa Breaking News ile siku ya Tarehe 12 March mwaka ule, Taifa tukatangaziwa Tarehe 17 March, Leo ametoa Breaking News nyingine Kule kwenye youtube channel yake ya Jasusi TV, sijui...
  6. Ponjoro wa Kinondoni

    Maria Sarungi: Accounts za Humphrey Polepole Hazijafutwa, Zimehifadhiwa

    Kuweni na amani 🙌🏽 Tuneweka akaunti za Humphrey Polepole salama ili wahuni wasiweze kuzifikia! 😀 Hakuna aliyezifuta zimehifadhiwa until Polepole arudi uraianj! Tunashukuru kampuni za mitandao zime react fasta! Mwambieni Mafwele sasa wamwachie hawapati kitu hapo! #FreePolepole Nimefurahi kiasi.
  7. Le Padrino

    Canada, UK and Australia say they recognize a Palestinian state as part of efforts to pile pressure on Israel over Gaza

    Here’s what that recognition typically symbolizes: 1. Legitimacy of Palestinian Statehood It signals that these countries formally acknowledge Palestine as a state (not just as a “territory” or “authority”). This boosts the international legitimacy of Palestinian claims to sovereignty. 2...
  8. Marco Seth

    Unabii mzito kwa nchi

    Unabii uliotolewa kuhusu Nchi ya Tanzania Mungu hajafurahishwa na Madaraka ya sasa Watanzania Tuungane Tuombe kwa Pamoja kuombea Nchi kuhusu Utawala Mungu atatusikiliza (Tumuombe) hii ndio Option tuliyonayo tuliopewa na Mungu Kabla ya Roho ya Vita kuachiliwa Kwa muda mrefu Tumepewa Amani...
  9. U

    Serikali ya DR Congo imetangaza rasmi kusitisha elimu bila malipo katika maeneo yote yanayodhibitiwa na waasi AFC/M23

    Serikali ya DRC imetangaza kusitisha elimu bila malipo katika maeneo yanayodhibitiwa na AFC/M23. Waziri wa Mambo ya Ndani, Jacquemain Shabani, alithibitisha hilo na kusema: "Kwa bahati mbaya, watoto wetu katika maeneo yanayokaliwa hawafaidiki na elimu ya bila malipo." Hatua hii inaathiri moja...
  10. U

    Fredrick Lowassa avunja ukimya na kunena mazito sana

    . Kupitia ukurasa wa Instagram Fredrick Lowassa ameandika “Baba – Nakumbuka hii siku, Agosti 10, 2015. Watanzania wanajua. Dunia inajua. Haijawahi kutokea katika historia ya Tanzania. Umetufundisha – TUMEKOMAA! Tumelinda heshima yako kwa wanaMonduli. Na tunaendelea kuheshimu Mamlaka na kuishi...
  11. U

    Ummy Mwalimu: Allah ndie mpangaji na alipangalo ni bora kwetu. ALHAMDULILLAH

    Alhamdulillah ala kulli hal. Nimepokea uamuzi wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kwa moyo wa shukrani. Quran Tukufu inatufundisha kuwa Allah ndie mpangaji na alipangalo ni bora kwetu. ALHAMDULILLAH. ---- Ndugu zangu wanaTanga Mjini, Nitumie fursa hii kuwashukuru kwa kuniamini kuwa Mbunge wenu kwa...
  12. U

    Netanyau kuongoza kikao cha Baraza la Usalama la mawaziri kesho alhmasi Jerusalem ili kuidhinisha mpango wa kuitawala kijeshi Gaza

    Prime Minister Benjamin Netanyahu will convene his security cabinet at 6 p.m. Thursday at his office in Jerusalem, according to the Prime Minister’s Office, where it is expected to approve fresh plans for the continuation of the war in Gaza. During a three-hour security discussion among a...
  13. Jamii Opportunities

    Exploring Ajira Portal News, Portal Ajira, Ajira Portal Jobs in Tanzania, and Ajira Jobs Portal August, 2025

    The President’s Office Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) has announced several important updates on the Ajira Portal for job seekers and stakeholders. Job Vacancies Announcements The Ajira Portal is a centralized platform designed and managed by the Public Service Recruitment...
  14. U

    Rais Trump asema Magaidi wa Hamas wamegoma kusaini makubaliano ya kuacha mapigano na Israel hivyo aagiza viongozi wake kusakwa

    Trump: Hamas didn’t want to make a ceasefire deal, its leaders will be ‘hunted down’ US President Donald Trump declared Friday that Hamas isn’t interested in reaching a hostage deal and signaled backing for Israel advancing its military operations against the terror group. “Hamas didn’t really...
  15. D

    Tetesi: Fiston Mayele kawa Muislamu?

    I will be short Former yanga Player Fiston Mayele has converted to Islam . ☪️ Reports say influence from Pyramids players played a major part of his conversion. Kibongo bongo Ni pesa za kiarabu Hizi zinatafutwa === Nyota wa DR Congo anadaiwa kusilimu Katikati ya mafanikio yake ya soka...
  16. A

    BBC Swahili news Stella Agara juu ya Ruto

    Naomba tupate clip ya huyu Dada Stella Agara akiongea juu ya utawala ulioshindwa WA Ruto. Dada kashusha nondo vibaya Sana. Ana sema Ruto aondoke kwa kujiuzulu mwenyewe, ikiwa njia zingine zimeshindika kupitia Bunge na Senate, mpaka kazungumzia Mungu kuingilia kati. Na kwamba fujo zina...
  17. U

    Breaking News Waziri wa ulinzi Israel aagiza IDF kuishambulia Iran baada ya kukiuka makubaliano ya kuacha ya. Amani baino yao

    . Israeli official: ‘Iran broke the ceasefire, and it will pay’ By Lazar Berman Follow Today, 11:22 am Israel will respond to Iran’s missile attack, an Israeli official says, shortly after Tehran launched at least two ballistic missiles soon after the start of a ceasefire. “Iran broke the...
  18. U

    US kashambulia hewa Iran ilihamisha Kila kitu kwenye vinu vya nuclear vilivyopigwa

    1 hour ago Iran says the three nuclear sites attacked by US had been evacuated "The Islamic Republic had evacuated the three nuclear sites some time ago," Iran's state TV reported after the US announced airstrikes on the Fordow, Natanz, and Isfahan nuclear facilities.
  19. U

    Breaking News Ayatollah Khamenei amechagua warithi watatu, watarajiwa akiwa amejificha chini ardhini )

    Ayatollah Khamenei amechagua warithi watatu, watarajiwa akiwa amejificha chini ardhini ) Kiongozi Mkuu wa Iran Ali Khamenei amewateua makasisi watatu kama warithi watarajiwa akiwa amejificha kwenye chumba cha kulala. chini ya ardhi huku akikabiliwa na...
  20. U

    News Alerts Israel expecting US decision on joining Iran strikes in 24-48 hours

    Advertisement Live Update arrow right icon From the Liveblog of Thursday, June 19, 2025 Israel expecting US decision on joining Iran strikes in 24-48 hours, says official By Lazar Berman Follow Today, 7:10 pm 2 Israel still expects that US President Donald Trump will join the strikes against...
Back
Top Bottom