ndoto

Ndoto Za Elibidi is a 2010 Kenyan film.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Nyerere Angefufuka Leo Hii Angebubujikwa Machozi ya Furaha Utafikiri amepigwa Bomu la Machozi na Kumshukuru Rais Samia kwa kutimiza Ndoto Zake

    Ndugu zangu Watanzania, Kama leo hii Kungetokea muujiza Wa Hayati Baba Wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kufufuka kutoka Kaburini Butiama alikofumba macho na alikolala Usingizi wa Milele na kurejea hapa Nchini na kutazama yale yanayofanywa Na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha...
  2. dosho12

    JamiiForums Tanzania Fahamu zaidi kuhusu ndoto na ufahamu

    Unafumba macho yako na kila kitu kinapotea mwili wako unabaki kwenye kitanda ila akili yako inaenda sehemu ambazo zinaonekana kuwa na uhalisia kama vile uwapo macho, ila ni wapi hasa ufahamu wako unaenda pale tunapo lala, kama usingizi ni kupumzika mbona akili yako hutengeneza sehemu,mazungumzo...
  3. FYATU

    JamiiForums Tanzania Ndoto kama hii imekaaje?

    Ingawa mimi si muamini sana wa ndoto niotazo,nikiamini kuwa ni mambo ya kawaida tu ila juzi juzi hapa kuna jambo limeniacha na maswali.Niliota ndoto nimekutana na Nyoka wa kijani uso kwa uso,wakati tunaangaliana na nikiwa nimepoteza matumaini ya kumuepuka mara nikagundua yule Nyoka alikuwa...
  4. Frank Mazagazaga

    JamiiForums Tanzania Kuna ndoto ambazo haziwezi kubebwa na mwili mlegevu

    “Ndoto zako hazistahili gari mbovu.” Hii ndiyo kauli kuu kutoka kwa mwanafikra kutoka mwaka mwaka wa mbele, anayerudi kuandikia kizazi cha sasa — kizazi kilichojaa ndoto kubwa, motisha kali, lakini miili dhaifu. "Leo nataka nikushike mkono kwenye jambo linaloonekana dogo sana — lakini ndilo...
  5. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Safari ya Ndoto: Tembea Mount Kilimanjaro, Serengeti, Ngorongoro, Tarangire, Arusha NP, Chemka & Serval, Tuondoe Mawazo, Tuijue Tanzania Yetu!

    Ndugu wanajamvi wa JamiiForums, Kwa heshima na taadhima, naomba kuwasilisha rasmi pendekezo la safari ya kipekee ya adventure na utalii wa ndani (Domestic Tourism) inayolenga kutuvusha kutoka katika pilikapilika za maisha ya kila siku, kwenda kwenye maeneo yenye utulivu, mandhari ya kuvutia...
  6. SIR.NOM

    JamiiForums Tanzania Timiza ndoto zako za Ujasiriamali,kwa kupitia uzi huu

    Fanikisha ndoto yako ya ujasiriamali.Kwa kujipatia ujuzi mwenyewe kupitia simu janja yako.Kwa kujisomea vitabu vya kwenye makundi yafuatayo; #UfugajiWaKuku #KuleaVifaranga #ChakulaChaKuku #KilimoChaVitunguu #KilimoChaNyanya #KilimoChaTangawizi #KilimoChaTikiti #IceCream #Bites #Mapishi nk...
  7. SIR.NOM

    JamiiForums Tanzania Timiza ndoto za Ujasiriamali wako,kupitia uzi huu

    Fanikisha ndoto yako ya ujasiriamali.Kwa kujipatia ujuzi mwenyewe kupitia simu janja yako.Kwa kujisomea vitabu vya kwenye makundi yafuatayo; #UfugajiWaKuku #KuleaVifaranga #ChakulaChaKuku #KilimoChaVitunguu #KilimoChaNyanya #KilimoChaTangawizi #KilimoChaTikiti #IceCream #Bites #Mapishi nk...
  8. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Ndoto za Ujana, Siasa za Ugaibuni

    "Wanasiasa wengi wa upinzani Afrika ni kama watoto wa Kitanzania waliokuwa na ndoto za kuwa madaktari, marubani, wahadisi n.k., hadi walipopewa hesabu ya kidato cha pili, wakaamua bora wauze chipsi."— Alloyce, P.R. 😄
  9. Knock life

    JamiiForums Tanzania Kuna umuhimu Mkubwa wa kuwa na ndoto kubwa sana

    Ni nani Leo angejua mtoto wa kimasikini kutoka Tandale angefanya Show Uingereza London na ticket kuwa sold out In this life everything is possible keep chasing ur dreams and don't give up.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Makinika! Hakuna tofauti ya ndoto na mtu, ndoto ndiyo mtu mwenyewe

    Salaam, Shalom! Ndoto ni Nini? Umewahi ota ndoto ukadhani unaota? Usilolijua ni kuwa, hakuna kinaitwa kuota ndoto! Ukisikia Imeandikwa akalala, Kisha akaota ndoto, SI maigizo, ni tukio halisi la wewe mwenyewe kuona kwa macho ya Roho Katika ulimwengu wa Roho. Mtu alalapo, afungapo macho ya...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Namshukuru Rais kwa kunifanya Mnyiramba wa kwanza kusaini kwenye noti ya nchi. Nimetimiza Ndoto ya muda mrefu

    Mwigulu ajivunia kutimiza ndoto ya muda mrefu kusaini noti ya Tanzania "Kipekee nimshukuru Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuniamini kutumikia Taifa kwa nafasi ya Waziri wa Fedha tangu alipoingia madarakani. Huu ni uthibitisho wa imani kubwa aliyokuwa...
  12. nipo online

    JamiiForums Tanzania Watoto ninaowafundisha hakuna alie na ndoto ya kua mwalimu hi imekaaje?

    Kwamba career yangu inadharauliwa adi na watoto? Nimemaindi sana
  13. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Nimeota ndoto...

    Walikuwepo watu wengi, wengine wazungu, wengine waafrika. Nilikuwa nafanya discussion na mwanamke mmoja wa Kizungu. Tulikuwa tunaongea lakini yeye alikuwa mbali kidogo, anaongea sisikii vizuri. Yeye hajaelewa kwamba simsikii, kwamba anaongea peke yake. Nikawaambia walio karibu naye wamwambie...
  14. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Gorofa yenye master bedrooms juu siyo ghali kihivyo so timiza ndoto yako usiogope call us +255624004650

    HAPA CHINI 3BEDROOMS JUU MASTER BEDROOMS NA KASEBULE KDGO YAAN SIMPLE NA AFFORDABLE SANA PLOT SIZE KUANZIA 20X20M AU 20X30M UNAHITAJI NN ZAIDI CALL US +255624004650 OFISI ZETU ZIKO SINZA DAR ES SALAAM PICHA ZA IDEAS ZINGINE KWA CHINI
  15. Surya

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya Ndoto: Ukiona Mbwa (Dog) kwenye ndoto

    Ukitaka kutambua siri iliyojificha ambayo haina ushahidi wa kutosha kwa macho ya nje unahitaji sana kujua ulimwengu wa roho, Mchawi ni mtu wa kiroho ndio maana anaweza kufanya mambo mengi ya ajabu ambayo binadamu wengine hawawezi, ni ujuzi na maarifa (elimu) anakua nayo. Ipo hivo hata kwa mtu...
  16. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu ambayo Mungu amekuepusha, ili Utimize ndoto zako

    Maeneo matatu ambayo Mungu amekuepusha nayo ili Utimize ndoto Yako, ✒️Gerezani(uhuru) ✒️makaburini(umauti) ✒️ Hospitali(magonjwa) Ikifikia hatua umekata Tamaa, Basi Lia sana na Mungu kwa sababu yeye ndio anajua tamati Yako. Aliekuumba ndio anajua jinsi ya kukutunza usipoteze Sana Thamani...
  17. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 G55 mkutano wa CHAUMMA: Tulimpambania Lema akawa mbunge miaka 10, leo anasema CHADEMA sio sehemu ya kutimiza ndoto za ubunge

    Wakuu Bado maumivu ya hawa G55 ni makali na yanawachoma sana, baada ya kuambiwa CHADEMA sio sehemu ya kutimiza ndoto za ubunge kwa watu binafsi bali ndoto za wananchi. Hawa majamaa wanajali matumbo yao wanasahau chama kama CHADEMA kinatakiwa kupambania maslahi ya wananchi. Watu wa aina hii ni...
  18. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Ishi ndoto zako, mbinu za kujiepusha na magonjwa ya Figo na mfumo mzima wa Mkojo

    Habari wakuu, nimewaandalia video fupi kuelezea juu ya mbinu za kujiepusha na magonjwa hasa yatokanayo na kufeli au kudhoofika kwa Figo na mfumo wa mkojo kwa ujumla, hope utaelimika na kuiishi uwe na afya njema.
  19. Benson Mramba

    JamiiForums Tanzania Vinara wa G55 wote wameshanufaika na CHADEMA. Hawana ndoto tena wala cha kupoteza

    Kwanza nikiri kuwa mimi nawafahamu vinara wote kwa uzuri, ubaya, madhaifu na skendo zao n.k. Kwa muda mrefu tangu 2017 niliandika humu kuwa Mh Mbowe amezungukwa na watu wasiokuwa na akili, wezi na wabinafsi. Waliokuwa wananifuatilia watakumbuka na niliwataja kwa majina mara zote Kinachoendelea...
  20. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Hata mchepuko ana ndoto ya kupata bwana aliyetulia na muelewa" Yani mwanadamu lazima ajivutie kwa upande wake hata kama yeye havutiki

    Namiini Shetani hajiiti shetani kama tunavyomuita huku, anajiita lucifer ingawa ana matendo ya kishetani. Ni kwa kiasi gani mwanadamu ni mnafiki? Sometimes tuna stahili yanayotukuta kwa maana sisi wenyewe ndio ma-engineer wa vituko hivyo. Umekula wake za watu weeeeh sasa unataka kuoa at 37 na...
Back
Top Bottom