ndoto

Ndoto Za Elibidi is a 2010 Kenyan film.

View More On Wikipedia.org
  1. Paspii0

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi wa mpira,Je, tupo katika uwanja wa ndoto?

    👉🏾Asubuhi, redio zinawashwa utasikia "Simba leo wamelala," "Yanga wameng'ara," "Mechi ya marudiano itakuwaje?" Saa nne bado tuko hapo, mchana hadi jioni, sauti za mpira, kamari, na kubeti zikitawala. Mtangazaji anapaza sauti, lakini si kwa kilimo, si kwa viwanda, wala kwa elimu ya uzalishaji...
  2. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, mapenzi ya kweli yapo au ni ndoto?

    JE, MAPENZI YA KWELI YAPO? AU NI NDOTO TU? 🌹 Mapenzi ni hisia tamu ambazo kila mtu anatamani, lakini je, mapenzi ya kweli yapo au ni hadithi tu? Wengine wanaamini kuwa mapenzi ni kujitoa bila masharti , wakati wengine wanasema kuwa mapenzi ya kweli yanazidi kuwa nadra katika dunia ya sasa. ✅...
  3. U

    JamiiForums Tanzania Nifanyaje mwanangu ndoto yake ni kuwa polisi

    Habari ya jion Leo mchana nimejarbu kumuuliza Binti yangu ndoto yake ni ipi katika maisha yake huwezi amini anasema atamni kuja kuwa POLISI Je kama mzazi naweza kubadili au kisitisha ndoto ya mwanangu binafsi natamani mwanangu awe hata nesi au mfamasia sasa hii ndoto ya kuwa POLISI...
  4. O

    JamiiForums Tanzania Mimi ni kijana wa miaka 22 ni ndoto na malengo yakuwa na billion 1 kwenye account kabla ya 30 year

    Hamjambo wanaJF , Mimi ni kijana wa miaka 22 ni ndoto na malengo yakuwa na billion 1 kwenye account kabla ya 30 year . Saivi nina 1 m kwenye account nimeanza . Najua zitakuja comment za kunikatisha tamaa ila that is my purpose on earth. I never lose until I win
  5. R

    JamiiForums Tanzania Huawei waliishia wapi na ndoto zao za kutawala soko la simu duniani, Huawei bila Playstore ni kama chapati bila mafuta,

    Trump aliwapiga nyundo Huawei mwaka 2019, Hii ilipelekea makampuni kama google kuikataza Huawei kutumia huduma zao kama Playstore. Huawei wakaachana na android wakaamua kutumia System yao inaitwa Harmony OS wakiapa kupindua meza na kutawala soko la simu duniani. Hali imekuwa tofauti sana...
  6. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Ndoto ya JPM mwezi mmoja kabla hajafariki.

    Akitokea Kijijini Chato akapita Dodoma,akamwapisha Jaji mmoja aliyetoa hukumu kwa lugha ya kiswahili,ndani ya wiki mbili ndani ya Ikulu ya Dodoma akaota ndoto,kwa kiingereza wanasema "nightmare" kesho yake wakiwa jogging na mkewe,akamuhadhithia ile ndoto akamwambia,"Mwenzio Jana usiku nimeota...
  7. DeepPond

    JamiiForums Tanzania Johari: Nipate mume yeyote, kigezo ni awe anapumua

    "Mwanamke yeyote ndoto yake kubwa kuwa na Mume, katika maombi yangu yote hilo naliomba sana lakini siwezi kumpangia Mungu atayajibu lini". "Mkisikia natangaza harusi mjue maombi yamejibu, nipate mwanaume yeyote ili mradi TU awe anapumua" - Muigizaji Johari Chanzo: EATV
  8. Tman900

    JamiiForums Tanzania Ndoto Yake Iko Nje Ya Uwezo Wangu.

    Mi ni mtu wa kipato cha Kati, nimewaza saidia Vijana kadhaa, Mmoja aliosoma DMI. Na alipo maliza Chuo tulipambana kumtafutia kazi. Mambo yakawa Heri akapata kazi Sasa Yuko kijana yeye alimaliza form 4 na Ana Division 3, Toka nimemfahamu kwa siku ya kwanza ktk hizi Familia Zetu za kawaida...
  9. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Mrema: CHADEMA imeua ndoto za waliotaka kugombea, mpaka 2030 sina uhakika kama tutakuwepo

    Wakuu, Akiwa anazungumza leo, John Mrema amesema kuwa CHADEMA imeua ndoto za wanachama wengi waliotaka kugombea kwenye Uchaguzi ba kuongeza kuwa hana uhakika kuwa kama chama hicho kitakuwepo hadi kufikia mwaka 2030 "Jambo la pili ni chama chetu kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi na...
  10. De Opera

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoto nyevu yenye utata, na damu halisi

    Habari za muda huu mwana JF? Natumaini siku yako iko poa kabisa. Leo kuna ndoto umempata rafiki yangu ambaye mara kadhaa huwa akinieleza kuhusu baadhi ya ndoto zake ambazo huwa zinamshinda kuzielewa. Iko hivi: Leo usiku muda wa saa 9 usiku kuelekea saa 10, ameota ndoto akifanya mapenzi na...
  11. Jumanne Mwita

    JamiiForums Tanzania Ndoto ya CCM ni kuona kila Mtanzania anakuwa Mjinga

  12. Program Manager

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya ndoto hii?

    Mwenye kuelewa maana ya ndoto hii na anipe tafsiri. Tulikuwa tuna kampeni za uchaguzi mkuu, Mimi nilikuwa Mfuasi wa Chama Fulani Cha upinzani lakini nilikodiwa kufanya kampeni kwenye chama kinachotetea kiti. Mgombea wa Chama kilichonikodi ni mama,naye alikuja kwenye kampeni hizo Kwa malengo...
  13. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Katika mstari wa leo, Maisha yakiwa ndoto ya kudra na historia, je, ni nani atauvunja ukuta ili tuweze kuona mbele?

    Bila shaka wote mko vizuri wakuu… Okay, kuna watu husema wako na full control ya maisha yao lakini in reality hakuna mtu ambae ako na full control ya maisha yake kwa maana maisha yamegawanyika katika mafungu manne, na kwenye hayo mafungu manne ni fungu moja tu ndio ambalo mtu anaweza...
  14. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Hamisa Mobetto ajitabiria kuwa baada ya miaka mitano atakuwa mwanamke wa ndoto yake, atastawi kiuchumi, mwenye furaha na aliyefanikiwa

    Hamisa Mobetto ajitabiria kuwa baada ya miaka mitano atakuwa mwanamke wa ndoto yake, atakua kiuchumi, mwenye furaha na aliyefanikiwa Baada ya kutoa kauli hiyo walimwengu wameenda mbali na kusema kuwa wanaelewa anachomaanisha, wanasema kuwa anamaanisha hivi sasa yupo kwenye shamba la AK baada ya...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Kama nafsi/roho huendelea kuishi baada ya kifo, Ndoto yangu niufahamu ukweli kuhusu ulimwengu

    Kama baada ya kifo nafsi/roho huendelea kuishi na kupata fursa ya kuonana na muumbaji wa ulimwengu, basi ndoto yangu na ombi langu kuu mbele ya muumbaji ni kupata fursa ya tour. Yaani deep time travel tour back in time miaka bilioni 15 iliyopita, nishuhudie nini kilikuwepo kabla ya Big bang...
  16. Money Penny

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ivi ukiota mwanaume usiemjua anakubusu mdomoni kwenye ndoto ina maana gani?

    Haya swali ndio hilo Leo jumapili mnijibu basi Msije sema spiritual husband maana hamnaga hicho kitu, Mungu hajaweka hivyo
  17. Top Gun

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini masikini ndio wanaoota ndoto za ajabu na makorokoro mengi?

    Sijawah kusikia tajiri kasema ameota amerudi kwa bibi kula kisamvu kilichonganywa na togwa😂😂 Wala haujarogwa, ni akili yako ina reflect tabu zako za maisha yako asilia😂😂
  18. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe tulikotoka, Wasabato Masalia na ndoto ya kwenda kumhubiri Papa Aache 666 na afuate ibada za Jumamosi

    "Wasabato Masalia"....Hawa siku hiyo waliamka Asubuhi na Mission Moja hivi"Kuihubiri Injili Ulimwenguni Pote", wakaenda kupiga kambi uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere Dar-es-salaam, wakisubiri safari yao ya kimiujiza kwenda kuhubiri neno la Bwana kule Iraq na penginepo Duniani hii...
  19. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania SIJAJUA NAWAZA, AU NAFIKIRIA AU NI NDOTO KWAMBA KWA TANZANIA INGEKUAJE KWA MFANO'

    Kwa miaka miwili ya IBRAHIM TRAORE aliyoifanyia Bukinabe, vitu ambavyo dunia nzima inaviona, kwa wananchi wake ndio usiseme. Kwa hiki chama chetu nadhani wangevua na mashati kwa sababu wako talented kwenye nyimbo za mapambio Anakuja kiongozi mkubwa kabisa hii miaka minne haijawahi kutokea, kule...
  20. kiredio Jr

    JamiiForums Tanzania Ndoto ya usiku wa leo imenitisha, msaada kwa anayejua tafsiri au maana

    Usiku wa leo nimeota ndoto ya ajabu sana, nimeota kuna mtu ninaye mfahamu ananikimbiza na kutaka kunidhuru. Nikaanza kumkemea kwa maombi huku namnyooshea kidole, ghafla nikaanza kupaa angani mpaka nikafika kilele cha juu mawinguni, chini nikawa naona mazingira tofauti kabisa ambayo sijawahi...
Back
Top Bottom