Brother uliyeoa,nisikilize mie Didas Tumaini nikujuze:
Acha nikupe dawa ya akili, labda itakujaza maarifa sahihi ya kutunza ndoa yako.
=> Mwanaume anayejitambua lazima anajua majukumu yake, na kamwe hawezi kuyakwepa.
Bro, unapooa basi jua majukumu yako sio tu kuacha hela ya kula asubuhi, na...