sabuwanka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 690
- 751
Hongereni wanaume marijali mnaotunza familia zenu na watoto Jambo linalopunguza watoto wa mitaani , Leo nilikuwa katika usafiri wa public transport kulikuwa na majaridiliano makali kuwa wanaume wote wenye michepuko huwa wanamudu changamoto za ndoa na kuepukana na talaka!!! Waliotoa msimamo huwa walitoa hoja kuwa mke ndani akinuna unakuwa na mahali pa kupunguzia stress, ukinyimwa unapakujihifadhi,hivyo ukirudi ndani unakuwa stress-free!!!! ikitokea misuko suko ya ndoa michepuko anakuwa shork up absorber, hivyo hutikisiki!!!Je kuna ukweli juu ya hili? Karibuni