Lizzy116
Member
- Nov 23, 2019
- 12
- 19
PADRI wa Kanisa Katoliki, Dk Bernard Msike ambaye aliwafungisha ndoa staa wa Hip Hop, Bonaventure Kabogo ‘Stamina’ na mkewe Veronica Peter katika Kanisa la Mt. Maria Consolata mkoani Morogoro, amewaita wanandoa hao kanisani kwa ajili ya usuluhishi. Padri huyo aliwafungisha ndoa hiyo Mei, 2018 ambayo imedumu kwa takriban mwaka mmoja na miezi kadhaa kisha kumwagana na kuzua gumzo kama lote mitandaoni wiki iliyopita.
STORIUSTAN SHEKIDELE, RISASI
STORIUSTAN SHEKIDELE, RISASI