Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Wiki iliyopita nilialikwa kwenye harusi ya rafiki yangu. Ameolelwa na mzungu na ilibidi Sheikh aitwe mzungu amkane Yesu kwanza.
Tulipika pilau chai ya viungo, maandazi, vitumbua visheti. Bwana harusi kumbe alikiandaa na sanduku 5 za bia, box 2 za wine na chupa 5 za Jack Daniel. Mkewe kwa mstuko alimwambia pombe hairuhusiwi. Bwana yule alisema iwekwe jikoni lakini walevi wanywee kwenye vikombe vya chai Sheikh asione.
Hakumfahamisha ndugu yake yeyote, bwana harusi alikuwa mwenyewe lakini wapambe wa bibiharusi tulitinga na madera.
ilimchukua mwaka mmoja kutafakari kwakua shost alimwambia hawezi kuishi bila ndoa.
Tulipika pilau chai ya viungo, maandazi, vitumbua visheti. Bwana harusi kumbe alikiandaa na sanduku 5 za bia, box 2 za wine na chupa 5 za Jack Daniel. Mkewe kwa mstuko alimwambia pombe hairuhusiwi. Bwana yule alisema iwekwe jikoni lakini walevi wanywee kwenye vikombe vya chai Sheikh asione.
Hakumfahamisha ndugu yake yeyote, bwana harusi alikuwa mwenyewe lakini wapambe wa bibiharusi tulitinga na madera.
ilimchukua mwaka mmoja kutafakari kwakua shost alimwambia hawezi kuishi bila ndoa.