ndoa

  1. Funuki Nungula

    Urafiki hadi ndoa

    URAFIKI HADI NDOA Vijana wengi wanaingia katika matatizo wakati wa ndoa zao kwa sababu wanasahau kiungo muhimu Cha ndoa. Kiungo hiki ni urafiki, yaani kijana wa kiume au wa kike anatakiwa kumfanya rafiki Kwanza mtu yule ambaye anategemea kuwa mwenza wake. Ili amjue tabia yake Kwanza ndipo...
  2. Yoda

    Kutambulishwa ukweni na kutolewa mahari sio uhakika wa ndoa

    Umewahi kupeleka mahari kisha hukurudi tena na ukaachana na ndoa? Umewahi kutolewa mahari na muoaji hakurudi tena? Umewahi kushuhudia mahari imetolewa na ndoa ikafia njiani? Kwa kuwa tunafahamu mahari ni hatua ya mwisho kabisa kuelekea ndoa kipi kinaweza kusababisha mahari kutolewa na...
  3. Numbisa

    Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian inakimbilia kwenye talaka

    Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian yapumulia mashine na kutaka kutalakiana. Kwa mujibu wa media za Marekani kwa muda Sasa ndoa yao Haina afya nzuri na ilidhoofu kwa kiasi kikubwa mwaka 2020 ambapo mastaa hao wamekuwa wakiishi Kila mtu kwake huku Kim akiwa na watoto Kwa mujibu wa taarifa Kim...
  4. L

    Kwanini ndoa zisisajiliwe kwa njia ya mtandao?

    Niende moja kwa moja kwenye mada, Nilikuwa naangalia jinsi mama, dada, shangazi zetu wanavyotelekezwa na wanaume kuhama miji na kwenda kuoa tena wake wengine. Pia hao wake wengine bila kujua kwamba jamaa ana mke wa ndoa tayari. Mwisho wa siku kutengeneza sintofahamu. Wazo langu ni kwa nini...
  5. L

    Kwanini ndoa zisisajiliwe kwa njia ya Mtandao (Digital)

    Niende moja kwa moja kwenye maada Nilikuwa naangalia jinsi mama, dada, shangazi zetu wanavyotelekezwa na wanaume kuhama miji na kwenda kuoa tena wake wengine. Pia hao wake wengine bila kujua kwamba jamaa ana mke wa ndoa tayari. Mwisho wa siku kutengeneza sintofahamu. Wazo langu ni kwa nini...
  6. mama D

    Ndoa ni jukumu linalohitaji upendo wa kweli na kujitoa

    Ndoa ni chama cha majukumu makubwa sana, majukumu ya kujenga familia na kujenga jamii bora na baadae taifa bora. Tulio kwenye ndoa tupongezane na wanaotegemea kuingia chamani mjue tuu hili ni jukumu zito lenye raha na starehe ndani yake na linalohitaji watu wawili wenye upendo wa kweli, upendo...
  7. sky soldier

    Tujiandae kwa wimbi kubwa la ndoa na mahusiano kuvunjika kwasababu ya video za chumbani tunazorekodi

    Kwa sasa hivi smartphone zimekuwa kawaida sana kumilikiwa na watu wengi hususani vijana, Smartohone hizi zina kamera ambazo baadhi ya vijana huzitumia kujirekodi wakiwa katika ibada ya utamu. Miaka inavyoenda vijana wanaoa na kuwa na familia, mda huu wanakuwa wamesahau uchafu wao ambao upo...
  8. T

    Tatizo la maumivu makali wakati wa kufanya tendo la ndoa

    Wakuu habari ya wakti huu. Nina mwanamke wangu ambae anapata maumivu makali sana wakati wa kufanya ngono, hata penetration ni issue. Ukufanikiwa ku-penetrate bado analalamika maumivu makali. Kwa ujumla uume ukigusa tu ukeni anaanza kulalamika maumivu makali. Amewahi kwenda kwa specialist kule...
  9. GIRITA

    Nguvu za giza zimevunja ndoa ya jirani yangu

    Jamaa alikuwa anaishi vizuri na mkewe,wameoana kwa shangwe na furaha kubwa, wakabahatikiwa kupata mtoto mmoja katika ndoa yao. maisha ya ndoa yalianza kubadilika baada ya rafiki yangu kuanza safari za kikazi mara kwa mara,ndipo shemeji akaanza tamaa za kimapenzi kwa kijana mmoja mkopesha...
  10. mama D

    Mabinti ambao hamjaingia kwenye ndoa

    Wanaume makini wapo..... tena wengi tuu. Kabla ya kufanya maamuzi piga goti umshirikishe Mungu, sikiliza moyo wako huku ukishirikisha ubongo wako. Kumekua na maneno mengi ya kuwakatisha tamaa lakini za kuambiwa changanya na zako
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    Upako wa tendo la ndoa unapopanda madhabahuni

    Nabii kakasirishwa sana na kifo Cha mende, Sasa Ni wakati wa kuwafundisha waumini style zenye upako kama ile style ya kijanja popo kanyea mbingu
  12. Bujibuji Simba Nyamaume

    Upako wa tendo la ndoa unapopanda madhabahuni

    Nabii kakasirishwa sana na kifo Cha mende, Sasa Ni wakati wa kuwafundisha waumini style zenye upako kama ile style ya kijanja popo kanyea mbingu
  13. Chungu chachu tamu

    Hivi wanaume na wanawake ni wapi huongoza kwa kujisahau katika ndoa?

    Salam sana Ama baada ya salamu Kumekuwa na kauli kuwa watu wengi wamekuwa wakijisahau sana majukumu yao baada ya kufunga ndoa na wapenzi wao. Kila upande huulalamikia upande mwingine kuwa wamejisahau sana. MALALAMIKO YA WANAUME Wanaume wamekuwa wakiwashutumu wanawake kubadilika sana katika...
  14. Bwana Fulani

    Uko upande gani?

    Utafiti wa Taasisi ya Kinsey Indiana University Marekani umehitimisha kuwa Mwanaume uchepuka kwenye uhusiano/ndoa yake ni dalili ya kuwa na akili ndogo (low IQ), "Wanaume wenye akili kubwa muda wa kuwasaliti Wapenzi au Wake zao hawana kabisa, wanatulia na Mtu mmoja"
  15. E

    Kwanini wanawake walio wengi wanatumia ushirikina kwenye mahusiano ya ndoa?

    Habari za Leo wakuu. Wakuu nina swali... Hivi ni kwa nini wanawake walio wengi wanatumia ushirikina kwenye mahusiano ya ndoa? Na je tufanyeje ili kuwadhibiti? Labda nikupe tu mfano mmoja. (Wanawake ndio wanaongoza kwenda kwa waganga kuchukua limbwata za kuwafunga waume zao) Lengo hapa ni...
  16. Kibosho1

    USHAURI: Mnaotaka kufunga ndoa kwa sherehe kubwa zingatieni haya kuepuka lawama za watu

    Wachumba, Marafiki nawapa salaam kwenu. Kwa wakristo nashauri tusome Luk 14:28 ili twende sawa. Kwa dini nyingine na wasiokuwa na dini twendeni na msamiati huu. "Ukitaka cha uvunguni sharti uiname" Nimehudhiria baadhi ya harusi nyingi sana hasa mwaka huu lakini mambo siyo ya kuridhisha kabisa...
  17. Superbug

    Kuna tofauti gani kati ya kijana mwenye watoto ambaye hajafunga ndoa na kijana aliefunga ndoa ambaye hana watoto?

    Wakulungwa Kuna tofauti gani kubwa kiviiiiiiiiiiileeee Kati ya Hawa vijana wawili. 1. Ana watoto hajafunga ndoa na anaishi vizuri na mkewe na Wana watoto wazuri tu na wanatarajia kufunga ndoa Mambo yakikaa sawa. 2. Amefunga ndoa ila hana watoto ila Mungu atawajalia watapata. Kati ya hao...
  18. 2

    Msaada Wenu: Uliwezaje kupita salama mpaka Ndoa kwenye Mapenzi ya namna hii?

    Habarini za jumapili
  19. Saa 7 mchana

    Mwenye Picha ya cheti cha Ndoa naomba a-share na sisi tafadhali

    Tunajua kuwa Ndoa ni mkataba, so nmeonelea ni vyema kuomba kujua mahudhui ya aina hii ya maktaba. Itapendeza zaidi kama vikipatikana tofauti tofauti yaani cha ⭕ Kikristo ⭕ Kiislamu ⭕ Kiserikali Kama vitakuwa vinatofautiana. Asante.
  20. Jaji Mfawidhi

    Mama mkwe huyu anaweza kuharibu ndoa ya Mwanawe wa kike. Suluhisho ni nini?

    Kuna mtu kanipa kisanga hapa nimeona niwashirikishe ili nimshauri. Kijana anaishi Mbeya kabila Msangu kaoa mwanamke Mnyakyusa. Baada tu ya kuoa mama wa binti akahamia kwa kijana (mkwe wake] na kuacha familia yake huko Uyole. Baada ya miezi 6 mama mkwe akaleta wajukuu zake wanne pale kwenye ndoa...
Back
Top Bottom