Habari za hapa wana jukwaaa!! nimeingia JF kwa lengo la kutafuta mwenza wa maisha, mimi naamini popote inawezekana kwa uwezo wa Mungu.
Mimi ni mwanaume wa miaka 36
Mrefu - maji ya kunde
Sio mnene sio mwembamba
Naishi dar es salaam
Nafanya kazi na biashara
Mkristo / Lutheran
Mke nayemtafuta...