Yvonne Ndege is an international journalist, and media and communications professional. She started her career at the British Broadcasting Corporation, as a graduate trainee in London, United Kingdom.
Imeshatua wakuu, tusubirie dawa.
Hao hapo madaktari wetu bingwa ambao ni ujumbe kutoka Tanzania wakiwa Antananarivo.
UPDATES
Hatimaye Waziri wa mambo ya nje Prof. Palamagamba Kabudi amekabidhiwa mzigo wa kutosha kabisa wa COV tayari kuuleta Tanzania kuanza kutumika kwaajili ya Covid 19.
Ndege aina ya Flamingo wamepata uhuru wa kucheza katika mji wa Mumbai kwa kuwa watu wako katika kipindi cha zuio. Kawaida ndege hao huvamia miji hiyo kuanzia mwezi September hadi Mei, kwa mwaka huu wameonekana kuwa wengi zaidi
Imeripotiwa kwamba wamekuwa wengi kwanye maeneo ambayo mwanzo...
If you play this song to a person who is possessed by evil spirits, the evil spirits will leave him immediately.
If your house or premise is harrassed by evil spirits then pray this song and the evil spirits will delay not to promptly leave Ur house.
Another virtue of this song is that if u...
Ndege za mizigo hazijapigwa ban na bado zinaruhusiwa kufanya kazi kimataifa, mwanzo wakati huu wa corona ambapo kila nchi inaagizia vifaa na madawa yanayohitaka kwa haraka, kuna demand kubwa sana ya safari za charterd cargo flights .
KQ inazo ndege ambazo ni spesheli za cargo lakini kwavile...
Hii ni tuhuma nzito sana na imetolewa na mwanasiasa mmoja machachari katika kuibua tuhuma na kwakweli imeaniacha hoi!
Eti fedha zimetolewa benki kubwa na kuhamishiwa akaunti nyingine kabla ya kulipwa kwa kampuni inayotengeneza ndege!!!
Tunasubiri majibu/ufafanuzi kutoka kwa wahusika kwani...
Habari wakuu,
Katika hali ya kawaida,ni wazi kuna uhusiano wa kibiashara kati ya ndege zinazotoka nje na zile zinazofanya safari zake za humu nchini.
Kwa mfano,abiria wakitua hapa nchini kupitia JNIA wakitokea nje ya nchi,baaadhi yao watatumia ndege zinazofanya safari za humu nchini kuelekea...
Afisa wa polisi wa Ujerumani akiwa amevalia barakoa wakati akimkaribia dereva wa gari katika mpaka wa Ujerumani na Uswizi baada ya nchi hiyo kutangaza udhibiti wa mipaka kufuatia ugonjwa wa COVID-19, Machi 16, 2020. [Picha / Mawakala]
Maafisa wa forodha wa Ujerumani wanajaribu kufuatilia...
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amesema kuanzia tarehe 28/3/2020 hakuna ndege itakayotua katika uwanja wa ndege wa JNIA kwa kuwa mashirika ya ndege ya kimataifa yamesimamisha safari.
Makonda ameyataja mashiirika hayo kuwa ni pamoja na KLM, Emirates , SAA , KQ, Ethiopian Airlines na Qatar...
Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesimamisha safari zote za ndege kutoka nje ya nchi zikiwemo zinazoleta watalii.
Serikali imechukua uamuzi wa kuzuia ndege za watalii ili kulinda maisha ya watu wake japokuwa uamuzi huo una athari kubwa kiuchumi.
Waziri wa utalii mh Kombo amesema wageni...
Ethiopia waligoma kuzuia safari China, Kuna cases 104 mwafrica 1 amekufa, Congo pia.
Marekani wameshazuia, sisi haya mambo ya urafiki tuacheni, naiomba serikali nipo chini ya miguu yake wazuie safari zote, huu ugonjwa Ni mbaya.
Corona ikija kutuua au kuua ndugu zetu CCM haitapona, nasema...
Pana tetesi kwamba ndege ya shirika la ndege ya kenya ikiwa inatokea Lusaka Zambia, imeshindwa kutua uwanja wa ndege Jomokenyatta na hatimae kutua kwa dharura Arusha airport.
Wenye kufahamu zaidi hili sakata watujueze isijekuwa kuna namna.
Kama ni dharura kwa nini asingetua Mombosa au KIA...
Wakati baadhi ya nchi za wenzetu sasa zimefikia hatua ya kudhibiti raia wake kwa kuwataka wabakie majumbani, kufunga mashule na vyuo, kupiga marufuku mikusanyiko ya michezo kama soka, kufunga mipaka n.k zikiwa ni hatua za kudhibiti kusambaa kwa Corona, sisi tume-relax tukiamini udhibiti...
Tukiwaambia Corona saa hz ni tishio
Angalia Jana Ufaransa imezuia mashabiki wa PSG kwenda Uwanjani
Uingereza imetoa €30 billion kuzuia athari za kiuchumi
Angela Mekel amesema ugonjwa huu unaweza kuambukiza 75% ya watu usipozuiriwa
China itatoa $40 billioni kufidia athari za kiuchumi...
Rais Trump amesema hatua hiyo ni katika kujikinga na kusambaa kwa virusi vya corona. Pia amewashauri Wamarekani mwenye umri mkubwa kuepuka kusafiri ikiwezekana
Zuio hilo la Wasafiri kutoka Ulaya litakaloanza Kesho Ijumaa Machi 13, 2020 na kudumu kwa siku 30 halitawahusu Wasafiri kutoka...
Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesitisha safari zote za ndege kutoka Zanzibar na sherehe zote zinazohusisha wageni kutoka nje.
Waziri wa Afya Zanzibar Mh. Hamad Rashid amesema wamechukua hatua hizo ili kukabiliana na hatari ya Corona iliyoko huko duniani.
Source Star tv!
Kenya Airways’ decision to suspend employee Gire Ali has been voided by a Nairobi court after he moved to court to challenge the move.
At the same time, the court also stopped the Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) from arresting and charging Mr. Gire.
Gire, an Assistant...
Mhudumu wa uwanja wa KIA amesema katika kipindi hiki ambapo ugonjwa wa Corona Virus umepiga sana China, idadi ya watalii kutoka China imeongezeka maradufu kuja nchini.
Wachina wenyewe wakihojiwa wamesema pamoja na utalii wamekuja kutafuta sehemu salama kukimbia ugonjwa huo kwao.
Hii hali...
Nimesoma kuwa uwanja wa ndege wa kimataifa utagharimu dola za kimarekani 272 Millioni. Details zinaonyesha kuwa uwanja utakuwa na uwezo wa kupitisha watu Milioni moja tu kwa mwaka (1,000,000 passengers). Hicho kiasi cha abiria kwa mwaka ni kidogo sana kulingana na gharama za pesa hizo.
Dodoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.