Jana JK alitetea uwanja wa ndege wa Chato akasema ni uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita, na tena akawauliza wasikilizaji kama hawakutaka mkoa huo uwe na uwanja wa ndege.
Nami namuuliza JK, uwanja wa ndege wa mkoa wa Pwani uko wapi?
Mkoa wa Pwani umesambaa kuanzia Bagamoyo, Chalinze, Kisarawe...