Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Binafsi nilitarajia usiri wa bei katika kununua
hizo ndege baada ya kukubaliana bei ndio iwe chanzo cha usiri wa mikataba ya manunuzi kwa malengo ya kibiashara(mteja mwingine nae aje ani-gotiate bei na terms za manunuzi kivyake).
Sasa kama gharama ya kununua hizi ndege imetajwa,nini tena msingi wa usiri huu?
Je,inawezekana bei iliyoko katika mikataba ni tofauti na iliyoko katika vitabu vya Bajeti?
Na je,kuna logic ya kujadili vitu vilivyoko katika mikataba ya siri?
Tusaidieni katika hili.
hizo ndege baada ya kukubaliana bei ndio iwe chanzo cha usiri wa mikataba ya manunuzi kwa malengo ya kibiashara(mteja mwingine nae aje ani-gotiate bei na terms za manunuzi kivyake).
Sasa kama gharama ya kununua hizi ndege imetajwa,nini tena msingi wa usiri huu?
Je,inawezekana bei iliyoko katika mikataba ni tofauti na iliyoko katika vitabu vya Bajeti?
Na je,kuna logic ya kujadili vitu vilivyoko katika mikataba ya siri?
Tusaidieni katika hili.