YEHODAYA JF-Expert Member Aug 9, 2015 36,910 51,903 Oct 26, 2020 #1 Baada ya nchi za Zimbabwe, Uganda na Zambia kufungua anga zao zilizofungwa sababu ya Corona Shirika la Ndege la ATCL laanza safari zake za ndege kwenda Entebbe, Harare na Lusaka Karibuni tupae na Ndege alizotununulia Dkt. Magufuli
Baada ya nchi za Zimbabwe, Uganda na Zambia kufungua anga zao zilizofungwa sababu ya Corona Shirika la Ndege la ATCL laanza safari zake za ndege kwenda Entebbe, Harare na Lusaka Karibuni tupae na Ndege alizotununulia Dkt. Magufuli
kasulavenance JF-Expert Member Jan 23, 2020 759 905 Oct 26, 2020 #2 Halafu utasikia mtu anasema hakuna cha maana Magu kafanya! Ukizoea umaskini mbaya!