Tanzania tuna ndege za Bomberdier, Boeing na Airbus.
Ndege zetu Ni mpya Sana na Ni nzuri Sana, Tena tulinunua kwa pesa taslim. Kama tujuavyo, usafiri wa ndege Ni wa gharama kubwa, Tena na vipuli vyake ni gharama kubwa, na vinauzwa tu na mzalishaji wa ndege.
Airbus ni Ufaransa, Boeing USA, na...