nchimbi

Emmanuel John Nchimbi (born 24 December 1971) is a Tanzanian CCM politician and was a Member of Parliament for Songea Town constituency from 2010 to 2015. Currently, he is Chama Cha Mapinduzi General Secretary. He was the Minister of Home Affairs.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    PostGE2025 Wasira, Nchimbi and Rose Migiro. CCM inakufa, huyu atarudi kwao na kuwaachia mfu. Mshaurini mema na si kujikomba

    Hili li muungano linaweza kufa wakati wowote na yeye atarudi kwao. Mtabaki na mfu CCM wenu peke yenu. Mshaurini ukweli na utawaweka huru! Nyote watatu semeni Amen.
  2. M

    PostGE2025 Wanazuoni wa Kiislamu: Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi ambaye ni Mkatoliki katumwa na Fr. Kitima na viongozi wa Kikatoliki ndio maana yupo kimya?

    Umoja wa Wanazuoni wa Kiislam wamemshukia Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa kuhusisha ukimya wake na Hkatoliki wake. Wameenda mbali na kumtuhumu kuwa ametumwa na Padri Kitima na viongozi wa kikatoliki.
  3. F

    PostGE2025 Dr. Emmanuel Nchimbi ni mtu mwenye bahati sana

    Kwa kweli sitaongea mengi kuhusu jambo hili, ila itoshe kusema kuwa Dr. Emmanuel Nchimbi ni mtu mwenye bahati sana katika maisha yake na historia yake inaonesha nafasi nyingi kubwa za kiuongozi zimekuwa zikimfuata zenyewe bila yeye kufanya jitihada kubwa. Asanteni.
  4. Hance Mtanashati

    PostGE2025 Nchimbi asijipe tumaini la kushika nchi kama Samia atakutwa na hatia na kuvuliwa Urais

    Kuna baadhi ya watu hawamtaki Samia ila wanamuunga mkono Nchimbi. Ila kiuhalisia wote hawafai, Samia akivuliwa urais itabidi aondoke yeye, makamo wake na baraza lote la mawaziri . Itakuwa sawa na kutwanga maji kwenye kinu kama Samia sheria itambana ajihudhuru halafu Nchimbi akapandishwa kuwa...
  5. October 2pm

    Nini kinamfanya Emmanuel Nchimbi kuwa na furaha muda wote kuliko kiongozi yeyote nchini?

    Mayi! Mimi mwenyewe au nanyi mwaona? Yaani Emmanuel bhana anafuraha muda wote kuliko kiongozi yeyote hapa nchni. Anayefuata ni Baba Levo. Nyie embu nijuzeni kunani? Maana sio bure. Jamaa yenyu stress Hana. Amzidi furaha Mama Samuya, samuya body language yake tuu yaonyesha ako na stress full...
  6. Bawabu wa pili

    PostGE2025 Mbona Nchimbi yupo kimya? Simuoni akihaha na haka kaupepo kanakoendelea

    Wakuu Balozi Nchimbi yuko wapi? Mbona kama hili sakata la tumbo joto kuhusu Serikali na hizi report za kimataifa kuhusu haya mauaji mbona kama Nchimbi havimuhusu hivi. Wako sawa huko ndani kweli? Alie karibu na Nchimbi huko anisaidie kumsalimia
  7. B

    Makamu wa Rais Dr. Emmanuel Nchimbi awasili Zambia

    19 November 2025 Lusaka, Zambia Makamu wa Rais Emmanuel Nchimbi awasili Zambia Kushiriki utiaji saini wa makubaliano ya ufufuaji wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania – Zambia (TAZARA) Makamu wa Rais wa Tanzania, John Nchimbi, amewasili nchini Zambia kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Vyombo vya...
  8. Genius Man

    Raia Samia, Nchimbi na Mwigulu hawana uhalali wowote wa kuweka mtu lock down kuelekea #D9. Sisi hatupo chini ya mtu yeyote

    Ndugu Samia, Nchimbi na ndugu Mwigulu hawana uhalali wowote wa kuweka mtu lock down kuelekea #D9, sisi hatupo chini ya mtu yoyote. Sisi hatuna serikali kwa mujibu wa katiba, serikali lazima itokane na wananchi hakuna uhalali wa serikali ya kujiteua.
  9. Roving Journalist

    PostGE2025 Dkt. Nchimbi: Amani ya kudumu haiwezi kupatikana bila maendeleo jumuishi na endelevu

    Wito wa amani, usalama na maendeleo kama ilivyosadifu kaulimbiu ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR), ulitawala kwenye hotuba za viongozi ikiwemo ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Emmanuel John Nchimbi, aliyoisoma...
  10. Roving Journalist

    Dkt. Nchimbi ashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) Jijini Kinshasa

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel John Nchimbi ameshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) ukiwa ni mkutano wake wa kwanza kushiriki nje ya mipaka ya Tanzania kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, tangu alipoapishwa...
  11. Genius Man

    PostGE2025 Hii ndio Serikali ya viziwi ambayo haiwezi kuongea na Wananchi mtaani Samia, Nchimbi wala Mwigulu

    Ifahamu serikali isiyokubalika ipo tu Ikulu na bungeni kwasababu wananchi hawajachukua majengo yao, hawa hawawezi kusimama mbele ya umma hata mmoja tangu machafuko ya Oktoba 29 ambapo kumetoa mwelekeo wa msimamo wa wananchi jinsi watakavyofanywa watakapokuja mitaani. Wananchi tumewakataa hakuna...
  12. dorge

    Nimekuwa na Imani sana na Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Emmanuel

    Kama utakumbuka alikataa wazi wazi jambo fulani Inakuwaje kwenye hili amekaa kimya, sijui misimamo yake Watu bwana dah!
  13. K

    Nchimbi hapana, tunataka mtu ambaye sio mwanasiasa

    Eti wanataka wampe Nchimbi hapana tunataka mtu wa serikali ya mpito asiye na chama chochote ili tuweze kuandika katiba. Hatuwezi kumtoa Mama na kuacha mwana mtandao mbaye wenyewe ndiye wamtakae kuliko hata Samia
  14. Mudawote

    Dr Nchimbi hongera kwa kuvumilia!

    GTs, Nimpongeze kwa dhati kabisa toka Moyoni Dkt Nchimbi kwa uvumilivu wake. Hakika huo moyo Dkt Mpango hana kabisa. Ila pia pole sana kwa wananzuoni kutoka Chuo Kikuu Mzumbe na IDM, maana ndiyo Chuo kimetoa rais wa kwanza ila ndiyo hivyo haelewi kabisa kinachoendelea na vilio vinavyoendelea...
  15. McLaren

    GE2025 Emmanuel Nchimbi: Hali ya Usalama nchini imetengemaa

    Mgombea Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Emmanuel Nchimbi, akiwa wilayani Kibiti, mkoani Pwani, kwenye, amewaambia wananchi wa Wilaya hiyo kuwa katika Uongozi wa Rais Samia hali ya usalama nchini imetengemaa kutokana na maboresho makubwa yaliyofanywa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama ikiwemo...
  16. Just Pray

    GE2025 Dk. Nchimbi: CCM tutaongeza upatikanaji wa ruzuku ya mbolea vijijini

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kuongeza ruzuku ya mbolea kwa wakulima, ikiwa ni mkakati wa kuongeza tija ya kilimo, kuinua kipato cha wananchi na kuboresha maisha ya wakulima hususan wa maeneo ya vijijini mkoani Iringa. Mgombea Mwenza wa Urais wa chama hicho, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi...
  17. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Polepole: Muulizeni Nchimbi ni nani alihuduma kama waziri wa mambo ya ndani aliyetaka kuligawa eneo la polisi line Namanga

    Muulizeni Nchimbi ni nani alihuduma kama waziri wa mambo ya ndani aliyetaka kuligawa eneo la polisi line hapo Namanga Morroco polisi ostabei lile eneo lote kwenda kwa bwana yule ambaye anatubagaza hadi kwenye madini.
  18. DuaZaMama

    GE2025 Nchimbi: Tutafuta kuzuia miili hospitalini kisa deni

    Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi ameahidi kufutwa kwa utaratibu wa kuzuia miili ya Marehemu Hospitalini kwa sababu ya deni la matibabu. Dkt. Nchimbi amesema haya leo Septemba 25 katika mkutano wa kampeni uliofanyika jimbo la Kilolo, Iringa kwa...
  19. britanicca

    GE2025 Za ndani kutoka CCM zinaeleza kuwa Emmanuel Nchimbi muda wowote anaachia ngazi kwa kujiuzulu

    Za ndaaaniiii Nchimbi Jana alitolewa kwenye kikao kwamba hahusiki, Leo mpango, wa kujiuzulu unasukwa Muda wowote kuanzia leo ataachia ngazi katika nafasi zote - Ugombea mwenza na katibu mkuu Britanicca
  20. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Polepole: Ule mkutano waliotisha wa Online wa CCM, ulikuwa wa kwenda kumtoa mgombea mwenza (Nchimbi)

    Polepole: Ule mkutano waliotisha wa Online wa CCM, ulikuwa wakwenda kumtoa mgombea mwenza( Nchimbi) ila kwa sababu mgombea mwenza ni mjanja tu, na ndio maana ile siku Kikwete pale Kawe alisema Nchimbi anajua. Wakamkaba mama Samia huku na huku, akaogopa wakamtisha kwamba mama kama unachoma betri...
Back
Top Bottom