NCHIMBI sasa usubiri comeback

NCHIMBI sasa usubiri comeback

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,854
Reaction score
6,884
Baada ya kumsikiliza Nchimbi leo sasa asubiri comeback yake , maana baada ya kumsikiliza, sasa wapo jikoni wanajipika kuja na mashambulizi upya dhidi ya nchimbi, hivyo kaa tayari
 
Sasa nimegundua ni kwa nini yule Mzanzibari alimuita Yuda! Huyu jamaa ni kama hakubaliani na baadhi ya mambo yanavyo pelekwa. Ni vile tu hana ujasiri wa kukaa pembeni.
 
Baada ya kumsikiliza Nchimbi leo sasa asubiri comeback yake , maana baada ya kumsikiliza, sasa wapo jikoni wanajipika kuja na mashambulizi upya dhidi ya nchimbi, hivyo kaa tayari
Utabiri wa hali ya hewa unaonekana mashambulizi yataanzia kutokea Kisiwani Unguja
 
Sasa nimegundua ni kwa nini yule Mzanzibari alimuita Yuda! Huyu jamaa ni kama hakubaliani na baadhi ya mambo yanavyo pelekwa. Ni vile tu hana ujasiri wa kukaa pembeni.
Umedanganywa ukadanganyikwa,hii ni baada ya ile ziara kwa Mzee Warioba,wanataka kumdanganya mzee warioba na kutudanganya sisi wananchi
 
Baada ya kumsikiliza Nchimbi leo sasa asubiri comeback yake , maana baada ya kumsikiliza, sasa wapo jikoni wanajipika kuja na mashambulizi upya dhidi ya nchimbi, hivyo kaa tayari
Yale yale ya hayati Ndugai, Mwenyekiti wa Jumuia ya wazazi ccm kesha bweka na kulianzisha.
 
Baada ya kumsikiliza Nchimbi leo sasa asubiri comeback yake , maana baada ya kumsikiliza, sasa wapo jikoni wanajipika kuja na mashambulizi upya dhidi ya nchimbi, hivyo kaa tayari
Kila anapopewa nafasi ya kukaimu nafasi uraisi pale bosi wake anapokuwa na safari za nje ya nchi Nchimbi huwa anatoa hotuba zenye kuonyesha hali halisi ya kisiasa iliyopo nchini hivi sasa.

Kwa jicho la tatu naanza kumuelewa. Simba huwa hauiwi mawindo yake hovyo hovyo, hufanya hivyo pale tu njaa inapokuwa imemkabili.

Nafikiri hii ndiyo sababu ya yeye kutabanaishwa na u Yuda na wapambe na machawa wa Saumya. Acha mvua izidi kunyesha ili tupaone pale panapovuja.
 
Back
Top Bottom