nchi

  1. M

    Je, Tumekubali yaishe? Tumewaachia wajihesabie ushindi watafune nchi wawezavyo?

    Tumekubali yaishe? Tumewaachia ushindi watafune nchi wawezavyo? Ni maswali yasiyo majibu yanayoumiza moyo na kuitesa akili. Hivi tumeiacha Tanganyika ikilia na kuomboleza huku ikitafunwa mpaka mifupa? TUmekubali kuwa watumwa wa kundi dogo linalowashurutisha majeshi watushikilie kwa mtutu wa...
  2. Rungwe88

    Watanzania hali ya nchi imeshabdilika hivyo mnatakiwa kubadilika haraka iwezekanavyo kama ifuatavyo

    Nchi imeshabadilika baada ya maelfu ya mauaji ya Watanzania kufanyika bila hatia, hivyo wananchi wamejaa na chuki, hasira, visasi, sumu n.k dhidi ya utawala huu haramu uliopo unaoongozwa na samia. Watanzania hawa wapo ndani na nje ya nchi hivyo chochote kinaweza kutokea Sasa kulingana na haya...
  3. Fbn

    Bila kufanyika mapinduzi tusijidanganye kwamba CCM watatukabizi nchi.

    CCM Jina Chama Cha Mapinduzi. Kama ujaelewa Maana ya Mapinduzi basi kutoka madarakani ni ngumu.
  4. Fbn

    Kuna siku Somalia itakuja kuwa nchi ya amani na Tanzania kuwa Somalia ya zamani

    Kwa haya matukio na wakizidi kutawala kwa mkono wa chuma. Najaribu kuwaza kwa jinsi wanavyofanya matendo ya ovyo wakijichia jina la AMANI. Kibaya zaidi hawa somi alama za nyakati kuwa vipofu wanaokula nao wamewashika kwenye steji ngumu na watakuja kutoa maamuzi hatari.
  5. ERTUGRUL BEY

    PostGE2025 Tuwe Mabalozi Wa Amani Hatutaki Kuwa Wakimbizi Wa Nchi Yetu Wenyewe

    My people, Si kila anayetaka amani kwasasa hajaumizwa na yale yaliyotokea 29 Oct na yanayoendelea sasa hivi ikiwemo utekaji Natambua kwa baadhi yenu mnaweza kumuona kila mtaka amani na mpinga harakati za fujo ni adui wa Taifa hili,ukweli ni kwamba kila mpenda amani na mpingaji fujo ni mzalendo...
  6. Genius Man

    Mtu hawezi kuua watu vile kama hana ushirika na jeshi, nchi zenye jeshi lenye msimamo asingefanya yale, jeshi ni la kulaumiwa sana

    Mtu hawezi kuua watu vile kama hana ushirika na jeshi, nchi zenye jeshi lenye msimamo kama wa Gen Z asingefanya yale, jeshi ni la kulaumiwa sana
  7. Kizibo

    PostGE2025 Hongera kwa JWTZ kwa kutuliza nchi. Lakini Nina ushauri huu

    Moja kwa moja kwenye mada. Najua viongozi wa jwtz wako humu. Jwtz wenyewe (askari wenyewe) wako humu. Nawapongeza sana kwa kutuliza hali ya nchi. Ni wazi, bila jwtz kuwa deployed mitaani kwa wingi, polisi peke yao wasingeweza kutuliza hali ikawa vile ilivyokuwa jana D9. Pamoja na hayo...
  8. 888I

    DESEMBA 9: Ushindi wenye gharama, nani alishinda nchi Ilipofungwa?

    Wadau, Tumeshuhudia aina mpya ya "Uhuru Day." Badala ya sherehe, miji iligeuka kuwa "Ghost Towns" (Miji ya Kimya), ikiwa imejaa wanajeshi na polisi. Hakukuwa na maandamano ya wazi kwenye maeneo mengi, lakini biashara zilisimama, na hofu ilitanda. Uchambuzi wangu unaonyesha kuwa huu ulikuwa...
  9. Sales man

    Nchi haiwezi kukombolewa na watu wajinga!

    Mimi siisapoti CCM ila ni Mwafrica mwenye IQ kubwa Sana Najiuliza na nacheka Mange , Dangwa n.k hawa vilaza kweli wanaweza kukomboa nchi.!!!? Mkiendele na huu ujinga wakuwasikiliza watu waliojikatia tamaa na wajinga mtakuja kupata shida ya Akili Yule Mange kilaza aliyevujisha video ya prof...
  10. Genius Man

    Sisi bado tupo tu, wakifungua nchi sisi hao barabarani sisi hatujaondoka wala haibadilishi chochote lazima sababu kuu za maandamano zitatuliwe kwanza

    Sisi bado tupo tu, wakifungua nchi sisi hao barabarani sisi hatujaondoka wala haibadilishi chochote lazima sababu kuu za maandamano zitatuliwe kwanza. Waambieni sisi tupo sana
  11. Hance Mtanashati

    PostGE2025 Kiuhalisia wananchi wamefanikiwa zaidi kuliko serikali

    Kitendo cha serikali kutumia nguvu kubwa kuminya uhuru wa watu kuandamana na badala yake watu wametii na kuamua kukaa ndani, hapo kiuhalisi walioshinda ni wale walioamua kukaa kimya . Ni sawa unagombana na mtu unajimaliza kwa kila kitu, unamsukuma mtu, una mdhihaki, una mtusi lakini mtu huyo...
  12. Samia atosha tukutane2030

    Sasa turudi kuijenga nchi TRA iwe jeshi usu, hakuna mwananchi wa kukwepa kulipa kodi

    Yes. Serikali lazima iende mbele, miradi muhimu yote lazima iendelezwe na miradi mipya lazima ianzishwe. Option ni moja tu kukusanya kodi kwa wingi. Kuna watu wanaitwa wamachinga wako Dar es salaam na majiji mengine wanateneza faida nyingi sana kuliko hata baadhhi ya wafanyabiashara wenye...
  13. K

    PostGE2025 Mama Samia utaongoza nchi ya matukio tu! kwa miaka yako yote iliyobaki!

    Mama Samia utaongoza nchi ya matukio tu! kwa miaka yako yote iliyobaki! ni bora uondoke au utakufa kwa mawazo tu maana hii nchi haitapowa tena.
  14. K

    Tatizo la CCM na Samia ni kiburi tu. Familia 99% nchi 1%

    Tatizo la CCM na Samia ni kiburi tu. Familia 99% nchi 1%. Je hii ina maana gani kama nchi 1. Mzunguko wa Pesa umepungua na utapungua kwasababu uwekezaji umepungua, watalii wamepungua na uwekezaji utapungua. Kwa mfanya biashara sasa atapata riba ya juu sana kama anakopa bank za nje kuja...
  15. Keynez

    Mbinu ya Serikali kuzuia maandamano itaifilisi nchi

    Kuna watu wanatoa maneno ya kejeli kuhusiana na ukimya uliotawala nchi nzima siku ya leo 09/12/2025. Watu wasichojua ni gharama kubwa ambazo serikali na vyombo vyake imeingia siku ya leo kuendesha operation yake. Kuanzia gharama za kusafirisha watu na vifaa, gharama za malazi ambapo maaskari...
  16. Econometrician

    Ninaona giza mbeleni kwa upande wa kiutawala wa nchi

    Ninaona giza mbeleni kwa upande wa Muungano wetu wa Tanganyika +Zanzibar kimuundo na kiutawala. Tukumbuke kuwa zile zilikuwa zinaitwa kero za Muungano, sasa hivi ni kama hazipo hii ni kutokana na Rais wa Jamhuri kwa sasa ni Mzanzibar-so hope issue nyingi zinashughulikiwa ipasavyo.Ikitokea tena...
  17. Ex Spy

    Mwijaku na “Wema wa Mama” wakimbia nchi, wanahofia nini?

    Wema ‘wa Mama’ ameelekea South Africa, na ameenda jana Disemba 7 na taarifa za aliko tunazo. Mwijaku yeye katimkia Dubai juzi Disemba 6. Na aliko taarifa zake pia tunazo. Sasa hawa watetezi wa Mama kwanini wanaondoka dakika za lala salama?
  18. curie

    Nchi Yote ipo kwenye panic mood?

    Ripoti ya mashirika ya haki za binadamu inaonyesha kuwa ukandamizaji wa vyombo vya siasa, wapinzani na waandishi wa habari umeongezeka. Watu wanashtakiwa, kukamatwa bila masharti, kuondolewa uhuru wa kujumlisha na kuandamana. Vikwazo dhidi ya uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru...
  19. loose Nut

    Vijana nawaombeni mniahidi mkichukua nchi kesho D9

    Mimi mzee wenu kijana wa zamani napenda kuomba msamaha kwa niaba ya vijana wa zamani kwenu Gen Z tulishindwa kupambana kuweza kuhalalishwa uvutaji wa bangi. Siyo eti tulikosea hapana, tulijaribu tukashindwa kwa nia nzuri tu. Hii kitu imetuuma sana vijana wa zamani. Waliotangulia walitamani...
  20. Mcmillan de Maghayo

    Ifahamu nchi yenye visiwa vingi

    Mzuka Wana Jamvi! Naam siyo nyingine bali Sweden. The land of the Abba, the land of Volvo and the land of Scania ( King of the road). Sweden ni taifa linaloongoza duniani kuwa na visiwa vingi. Idadi ya visiwa Sweden ni 221,800. Hii idadi ni nyingi. Visiwa vyake vingi havijawahi kukaliwa ama...
Back
Top Bottom