nchi

  1. loose Nut

    Vijana nawaombeni mniahidi mkichukua nchi kesho D9

    Mimi mzee wenu kijana wa zamani napenda kuomba msamaha kwa niaba ya vijana wa zamani kwenu Gen Z tulishindwa kupambana kuweza kuhalalishwa uvutaji wa bangi. Siyo eti tulikosea hapana, tulijaribu tukashindwa kwa nia nzuri tu. Hii kitu imetuuma sana vijana wa zamani. Waliotangulia walitamani...
  2. Mcmillan de Maghayo

    Ifahamu nchi yenye visiwa vingi

    Mzuka Wana Jamvi! Naam siyo nyingine bali Sweden. The land of the Abba, the land of Volvo and the land of Scania ( King of the road). Sweden ni taifa linaloongoza duniani kuwa na visiwa vingi. Idadi ya visiwa Sweden ni 221,800. Hii idadi ni nyingi. Visiwa vyake vingi havijawahi kukaliwa ama...
  3. Mende mdudu

    Wanajeshi wa Benin watangaza mapinduzi ya kijeshi nchini humo

    Kikundi cha wanajeshi kilionekana kwenye televisheni ya taifa ya Benin kikitangaza kuvunjwa kwa serikali katika kile kinachoonekana kuwa mapinduzi nchini humo, iliyopo Afrika Magharibi. Mapinduzi hayo yametangazwa leo siku ya Jumapili kumng’oa madarakani Rais Patrice Talon, ambaye ameiongoza...
  4. Idugunde

    PostGE2025 Gerson Msigwa yupo sawa?.Kama X wanakiuka sheria za nchi kwa nini anaitumia kutolea taarifa?

    Kitendo cha X kuvunja sheria za nchi na mkawaambia wajirekebishea ili muwafungulie. Na wao hawajajirekebisha hili kosa . Kama ni kosa kwa nini wewe undelee kulitumia kama njia ya kupeleka habari?
  5. Idugunde

    TCRA wanakiuka ibara 18 ya katiba ya JMT . Mpaka sasa hawajaifungulia JamiiForums kitendo ambacho ni kinyume na sheria za nchi hii

    Ibara ya 18 ya katiba ya JMT imempa kila mtanzania haki ya kushiriki katika mijadala, kupeana taarifa na kuwa huru kupata habari. Kifungo cha Jamii forum jukwaa ljnalowaunganisha dunia nzima Watanzania kilisha keo saa sita usiku. Lakini mpaka sasa hivi Jamii forum haijafunguliwa Jambo ambalo...
  6. DuaZaMama

    PostGE2025 Larry Madowo: Sijalipwa na mtu yoyote kuchafua taswira ya nchi yoyote

    Mtangazaji wa CNN na mwandishi wa makala kuhusu matukio ya Oktoba 29 yaliyotokea Tanzania amesema kuwa hajalipwa na mtu yeyote kwa lengo la kuichafua nchi yoyote. Ameeleza kuwa badala ya hoja na ushahidi uliomo kwenye makala kujibiwa au kukanushwa, amekuwa akishambuliwa binafsi. Aidha, ameweka...
  7. Chibike

    KERO Angalia vyanzo vyote hivi vya maji, na wananchi wa Morogoro wanateseka na maji. Hii nchi ina akili?

    Vyanzo kuu vya maji vya Mkoa wa Morogoro: 1. Mito mikuu: · Mto Wami - unaopita Morogoro mjini · Mto Mgeta/Ruvu - ni tawimto muhimu · Mto Mkondoa · Mto Ngerengere 2. Milima na Mito Midogo: · Milima ya Uluguru - huchota mvua nyingi na kuleta mito mingi. · Mito ya Uluguru (kama...
  8. CHAGOSI GERALD

    12. Kama vijana hawatamiliki nchi, nchi itawamiliki

    Kama vijana hawatamiliki nchi, nchi itawamiliki. Na mkiiachia iwaendeshe, haitawaendesha kama binadamu- itawaendesha kama mizigo. Kama gunia la mahindi lisilopiga kelele. Hayo ndiyo mmeanza kuyaona sasa. Na bado mnafikiri ni kisiasa. Bado mnafikiri CCM au CHADEMA au ACT ndo watakuja kuwaokoa...
  9. Trayvess Daniel

    PostGE2025 Hakuna watu wa nje wa kuja kutusaidia kuondoa udhaifu wa kimamlaka tulionao bali ni NGUVU YA UMMA/WANANCHI/WENYE NCHI

    Mtu wa nje/jirani hawezi kujua ugumu unaopitia bali wewe mwenye nyumba ndio muhusika Najua watu wengi wanatamani sunctions na international organizations kufanya jambo. Ni jambo zuri na la kheri katika kusaidia kupush mapinduzi tunayoyapigania. Lakini vinara wa kwanza wa haya mapinduzi ni sisi...
  10. Fbn

    Rwanda ndio nchi mojawapo Aafrika kwa sasa inatengeza silaha na vifaa vya ulinzi bila kutegemea mataifa mengine kuangiza

    Rwanda ni moja ya nchi chache barani Afrika ambazo zimeanza uzalishaji wa silaha za ndani, ikiwemo magari ya kijeshi, silaha, munisyoni, na drones. Hii ni hatua kubwa katika kuimarisha sekta ya ulinzi ya nchi hiyo na inaweza kuwa mfano kwa mataifa mengine ya Afrika katika kupunguza utegemezi wa...
  11. Genius Man

    Nchi nyingine zinatutambua kama waandamanaji lakini Serikali yetu inatuona kama wahaini huku wauaji na watekaji ikiwanyamazia

    Nchi nyengine zina tutambua kama waandamanaji lakini serikali haramu inatutambua kama wahaini huku wauwaji na watekaji ikiwanyamazia. Watake wasitoke watajijua wenyewe sisi tutakinukisha.
  12. Foffana

    KERO Hivi hii shida ya maji ni huku tu au nchi nzima?

    Hello Wakuu Hii mitaa yetu huku Dar es Salaam tunakabiliwa na changamoto ya maji karibia wiki nzima na sio kawaida kabisa Naomba kuuliza ni viunga vyetu tu hivi vya kimaskini au nchi nzima hili tatizo lipo? Hii hali ikiendelea hivi mbele kutakuwa kubaya sana
  13. Abraham Lincolnn

    Heshima ya nchi imeporomoka kisa kulinda maslahi ya mgombea mmoja na CCM

    Kwa miaka mingi Tanzania imekuwa ikiheshimika kama msuluhishi wa vita mbalimbali na alama ya ukombozi na uhuru katika ukanda huu wa maziwa makuu na hata Afrika kiujumla. Tanzania ilipeleka wanajeshi wake huko Congo DRC kusaidia mgogoro baina ya Congo DRC na Rwanda, ila cha kushangaza Rais wa...
  14. TODAYS

    PostGE2025 MFANO MZURI: Sababu Mojawapo ni Bora Jeshi Lichukue Nchi

    Kila anayevuta kamba anaangalia eneo lake ili ale kwa kutulia ikiwa ndefu. Mwingine anakwambia 'hujui hasara za kiuchumi Jeshi kuchukua nchi, yaani blah blah ni nyingi sana. Wajeda wenye akili wanafanya mambo mazuri tena kwa haraka kuinua uchuni na kuijenfa nchi kwa faida ya kila mtu, ila...
  15. jiwe angavu

    Ni wakati muafaka Mashehe kuwajibu Nchi wa Hisani

    Baada ya matamko ya nchi wahisahi kuhusiana na matukio ya liyotokea kabla na baada ya uchaguzi(feki) uliofanyika Tanzania. Kama ilivyo ada mashehe wetu wasiwasite kutoka na kuitetea Serikali kama wa fanyavyo dhidi ya Matamko ya TEC. Kwa kutoa matamko makali dhidi ya hawa mabeberu wanayoiandama...
  16. curie

    Bila CHADEMA nchi haitawaliki

    Chadema ndicho chama kilikuwa kinatuliza hali ya hewa .. Upinzani wa sasa ndo Upinzani wa GEn Z
  17. sanalii

    Ni nani anawajibu wa kuingilia kati katika nchi pindi mambo yanapokwenda mlama?

    wa sasa ni kama tuko na taifa lililoshindwa " Failed state", 1. kimataifa tumechafua image, ndani hakueleweki, 2. vyombo vya ulizi vina fanya vinavyotaka, 3. Viongozi wanakula kwa urefu kwa kamba zao, 4. Chaguzi zinafanyiwa figisu na uhuni waziwazi huku bado wakijisifu wameshinda. 5. Watu...
  18. Q

    PostGE2025 Serikali ya Tanzania yajibu matamko EU, Marekani na mashirika ya kimataifa

    Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki katika taarifa kwa vyombo vya habari imesema Serikali imepokea taarifa na matamko kwa umma yaliyotolewa kwa nyakati tofauti na washirika wa maendeleo na Serikali za mataifa mbalimbali kuhusu matukio ya Oktoba 29, 2025. Wakati na baada ya...
  19. Bawabu wa pili

    PostGE2025 Maganya: Tukilivuruga Tiafa, Nchi ikawa haitawaliki, tuatenda wapi?

    Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi CCM imetoa tamko leo Disemba 5, 2025 jijini Arusha, ikiwataka Watanzania kuacha vitendo vya vurugu na uharibifu wa mali za umma na binafsi, ikisisitiza kuwa njia hiyo siyo suluhisho la changamoto za Taifa. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Mwenyekiti...
  20. Genius Man

    PostGE2025 watu wamejisimika madarakani kinyume cha sheria eti wanaita maandamano ni vurugu wakati wameuwa na kupindua nchi waache wajitoe akili

    watu wamejisimika madarakani kinyume cha sheria eti wanaita maandamano ni vurugu wakati wameuwa na kupindua nchi waache wajitoe akili. Sisi tutawazibua masikio na kuwafukuza au kuwakamata D9
Back
Top Bottom