naweza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Ni wapi naweza kupata solar

    Nahitaji kuwasha taa kumi na mbili Tv Je ni wapi naweza kupata solar kwa ajili ya kazi hizi kwa bei poa
  2. Y

    muajiriwa mwenye check no. Naweza Fanya interview

    Habari Wana JF Mimi ni muajiriwa sehem flan nimeshapatiwa check no. Ila bado sijathibitishwa kazin lakin kabla ya hii ajira kunataasisi ya serikali nilikua nafanya kaz kwa mkataba na nilikua mmoja kati ya watu niliepewa kipaombele Cha kufanya interview ya hiyo tasisi pindi wanapohitaji kuajiri ...
  3. D

    Wapi naweza pata wauzaji wa Gas Grills za majumbani hapa Dar

    Wakuu poleni na majukumu. Nahitaji gas grill kwa ajili ya matumizi ya nyumbani. Wengine wanaziita tabletop gas grills. Nishaulizia sana madukani ila naonyeshwa vitu sio. Ni jiko maalum la kuchomea nyama na vyakula vingine lakini linatumia gas badala ya mkaa au umeme. Naombeni mwongozo...
  4. Augustking

    Wapi naweza kupata office space km hii

    Habari wana JF Moja kwa moja kwenye mada. nimechoka kufanyia kazi nyumbani mimi ni frelancer nahitaji office space ukubwa km huu kwenye hii video maana wateja wangu wengi ni wa online. naomba km kuna mtu anaweza kuniunganisha na dalali au muhusika anaeweza kunisaidi. najua JF humu wadau wapo...
  5. music mimi

    Kivipi naweza kupata email ya ikulu, serikali, international organisations ili kuwasilisha malalamiko yetu eneo la kazi (whistleblowing)?

    Ninapofanya kazi sio shwari kuna mambo mengi hayapo sawa. Huyu muwekezaji ana nguvu na anajeuri ya kupindisha mambo ya kisheria kuanzia kwa wafanyakazi mpaka mambo ya kimamlaka na ukosefu wa uadilifu. Nataka nifikishe ili jambo kwenye vyombo vya serikalini na watetezi wa haki za wafanyakazi...
  6. jashmoe32

    Msaada wa wapi naweza kupata Star Anise

    Habari, Mwenye kujua wapi naweza pata star anise na bei yake ntashukuru sana. Nimeambatanisha na picha na nahitaji liwe jekundu hivo hivo
  7. Shuku_

    Je, Naweza kuchagua jinsia ya mtoto kabla sijamzaa.

    Hamjambo 👋🏽 👋🏽 Mimi ni mwanamume. Wajuzi wa jambo hili naomba mnipe mbinu ya namna ya kufanya. Maana nahitaji uzao wangu uwe Y, X, Y, X mpaka mwisho, ila mtoto wangu wa kwanza awe wa kiume.
  8. nipo online

    nimerudishiwa pesa yangu na DSTV, je naweza itoa kama cash?

    wiki 3 zilizopita nilinunua kifurushi dstv lakini decoder ilikua mbovu Leo nikaomba kunihamishia mwamala wangu na wamenipa, sasa nauliza je, naweza itoa kama fedha kesh? au inatolewa vip? asanteni. Nb kwa sasa nilinunua decoda mpya nilisha lipia ko wamehamishia katika hii decoda mpya
  9. S

    Nijulishe, baada ya dramacool kufunga site zao, wapi tena naweza kudownload koreandrama for free?

    Msaada tafadhali, nahitaji kucheki series za kikorea ila ndio hivyo tangu dramacool waamue kushut down site zao zote, nimekosa mbadala. Nipeni mautundu niburudike....
  10. bestboy

    Wapi naweza kupata Common Interface adapter ya Samsung TV?

    Habari zenu wanajf. Nahitaji msaada wa kupata kifaa kwa ajili ya matumizi ya camcard kwa samsung tv. Kuna port nyuma ya TV lakini inahitaji adapter ili kupokea Camcard. Kwa yeyote anayefahamu wapi naweza kupata kwa hapa Dar nitashukuru kupata mawasiliano yao. Asanteni.
  11. youngkato

    At least naweza kuwaambia graduate wafanye Freelancing na wakafanikiwa

    Japo sio wote watafanikiwa ila at least nina uhakika vijana wanne kati ya kumi watapata kazi. This is proved, hizi elimu zetu zimeletwa na wazungu, zinafundishwa pia kwenye nchi zao. Kwahiyo ukishapata hii elimu mfano sheria, afya, sayansi zote, etc itumie kuwasaidia kazi kwa kufanya...
  12. Prof_Adventure_guide

    PCB Hii Si Ya Watoto, Ila Naweza Kukubadilisha Uwe Beast! Njoo Nikulazie Kitabu!

    Kama wewe ni msee wa PCB (Physics, Chemistry, Biology) au unayo mtoto anakamua advance na anazidiwa na hizi topics ngumu– basi stop struggling alone, coz I'm the plug you’ve been looking for! Mimi si mwalimu wa kawaida – niko street smart na book smart all in one. Najua hizi topics hazicheki na...
  13. Angelikaa

    Je, ni biashara gani naweza kufungua karibu na Mahakama??

    Biashara gani naweza kufanya katika fremu ndogo yakujibanza iliyoko barabarani karibu na mahakama?
  14. Prakatatumba abaabaabaa

    Ni nchi gani hapa Afrika naweza kwenda kuishi kwa amani?

    Dah Mimi sio mwanasiasa, ila jambo lililotokea Leo limeniuma sana, nimewaza leo yanatokea kwa wenzagu kesho yanaweza kutokea kwa Familia yangu au watoto wangu, Mwisho nitaishi kwa visasi na chuki.. Naona hii sio siri tena, walioko madarakani hawataki kuachia kwa namna yoyote ile, tumekubali...
  15. G

    Naweza pada dalali dodoma wa kuniuzia mashine mbili za kunyolea saluni kwa haraka maana nimekwama haswa

  16. H

    Chuo gani kwa hapa kwetu Tanzania naweza soma Master's degree in sign language interpretation

    Baada na kuhitimu na kuitumikia ipasavyo Bachelor of Education Special Needs. Nahitaji kua mbobezi Zaid katika maswala ya ukalimani na lugha ya alama, naomba kufahamishwa ni chuo gani hapa nchini kinatoa kozi tajwa kwa level ya Masters
  17. M

    Kuskim nyumba kabla ya kuweka Gypsum board?

    Members nawasalimu, Ningependa kufahamu kama ninaweza kuskim nyumba yangu kabla ya kuweka Gypsum board ? Nyumba yangu imefikia hatua ambayo nimeshawasha umeme wa tanesco ila ni sehemu chache sio zote na kuna kijana nimemuweka hapo,hivyo natakiwa awamu hii nimalizie wiring sehemu zote ili...
  18. M

    Mke wangu amekuwa akizungumza kauli zenye utata na dharau, ni namana gani naweza kuvunja ndoa?

    Mimi ni mtumishi na mke wangu ni mtumish wa umma, Kwa hivi karibuni amekuwa akizungumza kauli zenye utata na dharau jambo ambalo linanikwaza pia. Pia ni mbishi kwenye mambo mengi plus ujuaji mwingi, nimefikiria nivunje ndoa kiaina ili niishI maisha yangu peke yangu bila bughudha ya mtu...
  19. H

    Kwa maovu waliyotendewa WAAFRIKA kutoka kwa warabu na wazungu kupitia Yesu na Muhamad naweza sema hawa ndiyo SHETANI WENYEWE

    Habarini za usiku, Je, inawezekana vipi kuwe na shitani mwingine zaidi ya Yesu na Muhamad iwapo hawa ndiyo walitumika na wazungu na warabu kuwafanyia WAAFRIKA mabaya ambayo ndiyo DHAMBI zenyewe? Yaani mwarabu amtumie muhamad kuja Afrika kuwakamata Waafrika walioumbwa na Mungu na kwenda kuwauza...
  20. Wang chung

    JE NAWEZA KULIMA NYANYA MKOA WA NJOMBE?

    Mimi ni kijana ambaye Nina nia ya kuwekeza kwenye kilimo Cha nyanya ila Sina elimu kuhusu nyanya vizuri. Napenda kujua je naweza kupanda nyanya mkoa wa njombe ? Na kama inawezekana ni mwezi gani naweza kupanda ? Na ni mbegu aina gani inakubali vizuri njombe ? :.Mawazo Yako ni muhimu sana
Back
Top Bottom