ANKO JEI
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,319
- 2,503
Habari wakuu, naombeni msaada wa haraka kwa ufafanuzi au ushauri.
Nimekua na passion ya kuja kufundisha vyuo vikuu kwa muda sasa, lakini kuna jambo linanitatiza hapa.
Undergraduate nilisoma Human Resources Management (GPA 3.2) Naomba izingatie hii GPA. Kozi hii haikuwa passion yangu, nilisoma tu kutokuwa na muongozo mzuri kipindi hicho.
Baada ya miaka zaidi ya 7 nikipiga mishe zangu, nikaamua nikasome kitu napenda, nikasoma Post Graduate Diploma ya Mass communication (GPA 4.8)
Je nikisoma masters na nikafaulu vizuri, naweza kuwa assistant lecturer kwenye vyuo vikuu nchini?
Je PGD itafunika udhaifu wa undergraduate? Au yanipasa nianze bachelor degree upya?
Naombeni ushauri wenye uelewa na uzoefu.
NB: usianze Ushauri wa achana kusoma na kuajiriwa katafute pesa, nisiwe muongo, nina vibiashara vinaendesha maisha vizuri, hapa naongelea kufukuzia passion, ile kitu roho inapenda.
Asante
Nimekua na passion ya kuja kufundisha vyuo vikuu kwa muda sasa, lakini kuna jambo linanitatiza hapa.
Undergraduate nilisoma Human Resources Management (GPA 3.2) Naomba izingatie hii GPA. Kozi hii haikuwa passion yangu, nilisoma tu kutokuwa na muongozo mzuri kipindi hicho.
Baada ya miaka zaidi ya 7 nikipiga mishe zangu, nikaamua nikasome kitu napenda, nikasoma Post Graduate Diploma ya Mass communication (GPA 4.8)
Je nikisoma masters na nikafaulu vizuri, naweza kuwa assistant lecturer kwenye vyuo vikuu nchini?
Je PGD itafunika udhaifu wa undergraduate? Au yanipasa nianze bachelor degree upya?
Naombeni ushauri wenye uelewa na uzoefu.
NB: usianze Ushauri wa achana kusoma na kuajiriwa katafute pesa, nisiwe muongo, nina vibiashara vinaendesha maisha vizuri, hapa naongelea kufukuzia passion, ile kitu roho inapenda.
Asante