natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Natafuta kazi ya kufundisha masomo physics na mathematics

    Naitwa Pastory Augustino Nipo morogoro Naomba kama kunamtu anafahamu sehemu yenye uhitaji wa mwalimu wa masomo tajwa anisaidie aisee, Level yangu ni diploma
  2. Natafuta kazi ya marketing/ afisa mikopo/ procurement

    Habari wakuu, Mimi ni Kijana wa kitanzania Mwenye umri wa miaka 29. Banda ya kumaliza kidato cha nne nilijiunga na chuo cha utumishi wa umma TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE, TABORA CAMPUS. Nilisoma kozi ya Ugavi na manunuzi kwa ngazi ya diploma Lakini kutokana na changamoto za kifamilia...
  3. K

    Natafuta kazi ninaweza kusoma, kuandika na kuongea lugha ya Kireno

    Habari ndugu zangu, Hope mko poa na majukumu ya kazi. Mimi ni mtanzania mwenzenu natafuta kazi ya kuniingizia kipato cha halali iwe ni kwenye kampuni za kitalii au kwenye mashirika yanayohitaji mtu mwenye ujuzi na lugha ya Kireno. Nina shahada ya usimamizi wa soko la utalii vile vile nina...
  4. Natafuta shamba la kukodi DSM au mkoa wa pwani

    Nahitaji ekari moja au mbili shamba la kukodi kwa ajili ya kilimo kwa maeneo tajwa hapo juu,kuwe na maji ya kumwagilia,
  5. Natafuta kazi kuosha magari

    Habari wapendwa poleni na majukumu. Wapendwa kijana wa kuosha magari anatafuta kazi. Nina uzoefu na nina uwezo wa kuosha gari vizuri kabisha na kutumia mashine mbalimbali. Naishi dsm gongo la mboto ila nipo tayari kufanya kazi mahali popote . Nina uwezo wa kumshawishi mteja na nina uwezo wa...
  6. B

    Natafuta Mhasibu wa kuniandalia Zero Return

    Kampuni haijawahi kufanya kazi. Imefunguliwa mwaka 2019. 0712464478
  7. G

    Natafuta kazi/ internship/kibarua chochote taaluma yangu accounting and finace+driving

    Dear sir/madam Natafuta naishi dar es salaam gongo la mboto natafuta kazi yeyote au kibarua cha kuendesha maisha a) Nina umri miaka 24 b) Sijaoa c) Taaluma yangu accounting & finance uzoefu wangu custormer cara na sales kwa miaka 3 pia nina uzoefu wa driving miaka 4 d) Nina uwezo wa...
  8. G

    Natafuta kazi hata kibarua

    Habari Madam/sir Natafuta kazi hata kibarua cha kuendesha maisha yangu. #Ninaweza kufanya kazi yeyote tofauti na taaluma nilizonazo a) ninaumri wa miaka 24 b)Naishi gongo la mboto DSM c) taaluma yangu stashahada accounting&finance nina uzoefu wa customer care , sales 3yeaes d) nina...
  9. Natafuta Binti (Dada wakusaidia Kazi) Awe na Sifa hizi

    Habari. Natafuta binti wakusaidia kazi kidogo za ndani. Awe na Umri at least kuanzia miaka 20 nakuendelea. Akiwa amefika Kidato cha Nne itapendeza sana. Aweze kuishi kirafiki kabisa, Nyumba ina Watu Wawili tu! Means yeye atakuwa watatu. Atalipwa Tsh. 100,000/= kwa Mwezi. + Posho (kulingana na...
  10. Natafuta Printer main board hp laserjet pro mfp m125a

    Niwasalimu ndugu zangu nyote katika mtandao wetu pendwa JF. Bila kupoteza muda ndugu zangu natafuta mother board ya printer hp laserjet pro mfp m125a. Kwa anayejua wauzaji wa hapa Tanzania au kama unayo tafadhali naomba ushirikiano wa kuweza kuipata. Natanguliza shukran. Picha ya mother board husika
  11. Natafuta hiki kifaa

    Tafadhali mwenye kujua hiki kifaa kinaitwaje na kinauzwa wapi anijuze. Kinafungwa kwenye gudulia linakuwa kama water dispenser na kinachajiwa, Chaja yake kama ya simu. Nimekikuta sehemu ambapo hakuna wa kumuuliza.
  12. Y

    Natafuta kiwanja Bunju au Mbweni

    Salaam wadau. Ninatafuta kiwanja lililopimwa kwenye mradi wa viwanja 20,000 eneo la Bunju au Mbweni. Ukubwa wa kiwanja kiwe si chini ya sqm 1,500. Kama unacho tafadhali tuwasiliane hapa au PM. Tafadhali uje na bei kabisa.
  13. K

    Natafuta kazi ya kusimamia mradi wa biashara

    Habari za za leo watu jf mm n mkazi wa Dar, Nina miaka 24 mwanafunz wa degree bachelor of Economics and int trade. Niko China kimasomo, lakin kwasabb y corona, Bado tuko bongo turirud since 2020 niko naendelea n online studies. Lengo la kuandika ni kuwa naomba kazi yoyote y kusimimamia mradi...
  14. Natafuta mwanamke mchaga

    Natafuta mwanamke mchaga wa kuoa awe mmachame au mrombo itapendeza Umri kuanzia miaka 22.awe tayari kupima na kuolewa ndani ya miezi sita
  15. Natafuta vifaa hivi vya Nissan Dualis, DBA-KJ10

    Husika na kichwa cha habari hapo juu, Namshukuru Mungu ni mzima hata sasa, Jumapili nilinusurika ajali mbaya san, Kikubwa Uzima. tuende kwenye Mada Kama unajua/unauza vifaa hivi vya nisaan dualis niuzie upate pesa chap chap 1. Engine Cover, hii ndio ninayohitaji. 2. Inner fender(madgad)...
  16. M

    Natafuta Marketing Officer

    Habari. Natafuta Marketing Offier kutoka Kenya (Awe Kenyan). Sehemu ya Kazi ni Dar-es-salaam. Qualification ni Bachelor in Marketing with 3 years of experience. Most awe dedicated and results oriented Reach me through email csmsola@gmail.com or Whatsup Number +255713664912
  17. Dereva natafuta kazi

    Habari ndugu zangu! wapambanaji na watafutaji wenzangu..kweli kazi ni changamoto sana kupata..na hasa kama auna connection utasota sana..itokee tu mkono wa mungu ukuguse! jina langu naitwa James Patrick.nina miaka 26 na naishi jijini dar es salaam..nimekuja tena mbele yenu wana jamii...
  18. Natafuta kazi, nina Degree ya Property and Facilities Management

    Habari Za MAJUKUMU wanaJF, Naombeni msaada kwa mwenye connection ya kazi kwenye makampuni ya MABASI ya mikoani au Mwendokasi (kondakta/Mkata ticket ofisini au Agent). Elimu yangu KIDATO CHA SITA. Nipo Dar es Salaam. Asanteni
  19. R

    Natafuta mwekezaji mwenye compressor

    Mimi ni mchimbaji mdogo nipo na eneo la uchimbaji tatizo ni vitendea kazi,natafuta mtu mwenye kuweka compressor tu kwa ajili ya uchimbaji. Nitamlatia shares,Kama na Kuna mwenye kuweza kupata ball mill(crusher pia)karibuni
  20. B

    Natafuta mke mwenye HIV positive

    Ninajitokeza hapa nina nia ya dhati na kweli kutoka moyoni nimejitokeza hapa natafuta mke wa maisha mwenye HIV Positive, siitaji mpenzi naitaji mke! Napatikana Dar es Salaam, nina miaka 52, maji ya kunde, urefu futi tano inchi saba, slim body. Mke ninayemuitaji awe HIV Positive! Awe mweupe...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…