natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. benny gilbert

    Natafuta mtu anayeweza kufanya online marketing

    Hello JF. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Natafuta mtu wa anaweza kufanya online marketing, awe anafanya UDALALI WA FURNITURE AMBAZO NITAKUWA NATENGENEZA. MFANO WA FURNITURE NI KAMA ZIFUATAZO KABATI LA WAZI NI 100K, STAND YA VIATU 50K, MEZA 50K. VITU VYOTE VIPO YOMBO -...
  2. Z

    Natafuta Mtaalam wa Solar system/Products ambaye anaweza kuwa business Partner

    Wadau Nimepewa nafasi ya kuwa sole distributor wa solar solutions/products kutoka wa manufacturer wa china, mimi sina utaalam wa hiyo makitu . Sasa kabla ya kufanya any commitment na kuingia mkataba na manufacturer, nahitaji mtaalam ambaye tunaweza tukashirikiana (partners in business)...
  3. Depretty

    Natafuta kazi

    Habari, Nahitaji kazi maeneo ya dar, nina ujuzi wa mambo ya saloon(ya kike na kiume) , lakini pia natafuta kazi za kuuza duka (languo, vipodozi, nk) kazi ya usafi, usaidizi wa ofisini, nyumban kwenda na kurudi) usaidizi wa shuleni hata upishi au kusaidia tu wale watoto na kazi zingine ambazo...
  4. Wisdom Flag

    NATAFUTA CAMERA NZURI USED BAJETI YANGU 800K

    Mwenye camera nzur used naomb tuwasiliane wakuuu bajet yangu 800k
  5. Imaniyanguitaniponyatu

    Natafuta kazi Dodoma

    Habarini wakuu, Mimj kijana wa kiume, muhitimu wa chuo kikuu mwaka huu mkazi wa Dodoma mjini. Natafuta kazi yoyote mjini Dodoma itayoweza nipatia mahitaji yangu ya msingi iwe ya taaluma au ya nguvu. Nimeshindwa kutafuta internship maana sina mtu yoyote nnaemjua aneweza nisaidia nipate hata...
  6. I

    Natafuta SCREEN ya camera SONY 720p

    Ndugu zanguni heshima kwenu! Jamani nimedondosha digital camera imekata kile kikaratasi kinachounganisha mawasiliano ya screen na camera yote, imesababisha camera ikiwaka kunakuwa na gizo tu kwenye kioo yaani kioo hakionyeshi kitu giza tu, na fundi ameshindwa kuunganisha, akanishauri ninunue...
  7. K

    Natafuta chumba Moshi

    Wakuu natafuta chumba Moshi maeneo ya karibu na KCMC..Chumba chenye choo ndani. Bajeti yangu ni 70k-90k kwa mwezi. Mwenye connection tafadhali naomba msaada
  8. Unique Flower

    Natafuta marafiki wenye ushauri positive nawahitaji

    Mimi humu sitafuti mpenzi. Hiyo sekta imepitwa na wakati the thing is natafuta marafiki wenye kutoa ushauri positive na connection mbali mbali umtanisuta ila nao umri umefikia kuwa na marafiki wa kujenga nasio wakubomoa. Kwa yeyote aliyetayari mnakaribishwa ila sio nijaze pm hapana only 2 ni...
  9. B

    Natafuta kazi yoyote mkoa wa Arusha

    Habari zenu wana jamvi. Mimi ni kijana wa kiume natokea mkoa wa Arusha. Ninaomba kwa yeyote mwenye connection ya Kazi yoyote halali kwa mkoa wa Arusha tupeane. Elimu yangu in Shahada ya Uhasibu na Nina uzoefu wa miaka 2 kwa nafasi ya uhasibu na miaka 3 kwa nafasi ya Afisa Masoko kwenye kampuni...
  10. Ferruccio Lamborghini

    Natafuta Mwalimu wa kumfundisha Mwanangu anayetarajia kuingia darasa la tano mwakani

    Nawasalimu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu natafuta mwalimu mzuri aliyebobea katika ufundishaji kwaajili ya kumfundisha mwanangu ambaye mwakani anatarajia kuendelea darada la tano maana amemaliza kufanya Necta juzi tu hapa. Kwa sasa dogo yupo tu...
  11. M

    Natafuta rafiki wa kike kwa ajili ya mahusiano ya kuelekea ndoa

    Wapendwa, Wasalaam! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta msichana ambaye tutaanza naye urafiki wa kimapenzi. Lakini lengo hasa ni kuona kama tunaweza kuelewana na kuelekea katika ndoa. Awe na sifa zifuatazo: - 1) Elimu: Form Four na kuendelea. Kama ni la saba, awe tayari...
  12. Secret Star

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
  13. D

    Natafuta kijana wa kazi kutoka Kigoma

    Habari za leo wadau. Natafuta kijana wa kulinda mji na kuweka msafi wakati wote kutoka kigoma. Awe; 1. MUAMINIFU, 2. mcha MUNGU 3. MKWELI na 4. MCHAPA KAZI KWELIKWELI Mshara ni Tzs 100,000/= kwa mwezi. Atatumiwa nauli ya kutoka huko kija huku. Naomba anitafute kwa namba hizi 0787998926...
  14. GEM mama

    NATAFUTA KAZI ZA UTENDAJI

    Wanaforums wenzangu naombeni msaada niweze kupata kazi ya utendaji nimatamanio yangu nipate ajira ya kudumu hata utendaji tu ni miaka mingi natafuta kazi naishia kupata vibarua tu vya muda mfupi. Nina diploma(2013) na degree(2016) ya uhasibu toka TIA. Asante
  15. Dr. Zaganza

    Natafuta chumba na Sebule

    Habari wakuu, Natafuta chumba na sebule mitaa ya Kiluvya, Kibamba, Mbezi mwisho, malamba mawili, mwisho kinyerezi. Piga 0713039875
  16. P

    Natafuta kazi yoyote halali, nina elimu ya kidato cha sita

    Habari mkuu! Za hukoo; Mimi nikijana wa miaka 23, naishi Dar es salaam, elimu yangu ni form six nilikuwa naomba msaada wa kazi kwako, nikusaidie katika kazi zako. Mungu akubariki
  17. R

    Natafuta Clutch ya Nissan Xtrail manual

    Salaam Naomba msaada wa kujua duka linauza spare parts za Nissan Xtrail. Nahitaji clutch na pressing yake. Gari ni manual Natanguliza shukran
  18. S

    Natafuta gari VITS new model

    Natafuta gari VITS new model Namba D Cc 990 Full AC Isiwe imepata ajali wala kuguswa engine. Bajeti yangu mil 5 Nicheki PM sasa hivi nikufate ulipo.
  19. M

    Natafuta chumba cha kupanga Ikwilili

    Kama heading inavyojieleza, nakuja Ikwilili kuyasaka maisha. Nimevutiwa na uchangamfu wa hiyo center. Mwenye connection anijulishe
  20. K

    Natafuta kazi ya Maabara jamani Lab Assistant

    Tangazo hilo kama linavyojieleza wapendwa ninahitaji nafasi ya kazi. Nina miaka 28Yrs...mkazi wa Kahama Shinyanga...Nina ERP....Uzoefu upo wa kutosha tu kama miaka 5 tokea nimalize chuo 2016..Nina mke na mtoto mmoja ...0765 626 871. Natanguliza shukrani
Back
Top Bottom