natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Natafuta watu wanaojua kupigana ngumi vizuri waliojazia

    Natafuta watu wanaojua kupigana ngumi vizuri waliojazia Nataka kujifunza huu mchezo wa ngumi ili nijiweke fiti
  2. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta msichana wa kazi za ndani

    Natafuta mdada wa kazi za ndani, Mshahara- 60,000 Sehemu-kinondoni Dini - yeyote Aina ya familia atakayofanyia kazi ina Baba , mama na Mtoto wa miaka 4. Atakayekuwa tayaru nicheck Dm Update “nmeshapata”
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Natafuta tv inch 40 ya kununua. Nipo Dar

    Nipo Dar, nahitaji flat screen inch 40, isiwe na tatizo lolote bajeti yangu ni 350,000/- ukiwa serious nichek
  4. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke wa kushea nae mume

  5. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanja Kinyerezi ukubwa kiwe 30x25

    Wakuu natafuta kiwanja maeneo ya Kinyerezi kilichopimwa kwa size ya 30 kwa 25, bajeti yangu haizidi 10mil naomba mwenye kujua tuwasiliane
  6. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta nafasi ya kazi pharmaceuticals dispenser

    Mimi ni mdada nina umri wa miaka 21 Nmemaliza chuo Cha Excellence college of health and allied sciences mwaka huu Diploma in pharmaceutical Nlkuwa natafuta kazi ya pharmaceuticals dispenser Dar es salaam Mwenye connection naomba ani pm CONTACT +255 713 438 532
  7. C

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, Nimesoma ualimu wa Historia na Kiingereza

    Nimesoma degree ya Education.(Ualimu). Nimesoma ualimu wa Historia na Kiingereza. Natafuta kazi ya ualimu au kazi yoyote ile ambayo ni halali. Niko tayari kwenda mkoa wowote ule hata Kigoma.
  8. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Natafuta dawa ya kimazingaombwe ya wa namna hii

    nikitumia dawa hiyo nikimwambia mtu jambo anikubalie na asikatae,je dawa ya namna hii huwa ipo
  9. G

    JamiiForums Tanzania Msaada natafuta kazi nina Elimu ya Certificate in Community health

    Habarini wakuu kama kichwa cha habari kinavosema mimi ni kijana mwenye miaka 22 nimesoma hadi ngazi ya certificate in community health Natafuta kazi katika mashirika binafsi (NGO) yanayoshughulikia masuala ya kijamii hata Kwa kujitolea kwa ujumla naweza fanya kazi kama social worker pia...
  10. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke asiyetaka kuzaa

    Kama wewe ni mwanamke na hutaki kuzaa basi njoo tuzungumze, yawezekana tukaishia kufunga ndoa mi nawe. Mimi sihitaji mtoto kabisa. Mimi naishi Dar es salaam. Dini yangu ni mkristo. Kwa upande wa mwanamke sina vigezo vingi kwasababu kigezo kikibwa tayari kipo kwamba huitaji kuzaa/huna mpango...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Diploma ya Banking and Finance

    Habari! Naomba mnisaidie kupata kazi wana jf, nimehitimu diploma ya masomo ya banking and finance lakini sijafanikiwa kupata kazi, ninaweza kazi za bank, assistant accountant pia nimekuwa cashier Kwa wakala wa Mabasi yaendayo kasi DAR (DART) Nipo DAR ES SALAAM naomba mnisaidie kupata kazi...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kijana mwenzangu programmer tusaidiane

    Hili si tangazo la kazi bali natafuta kijana mwenzangu ambae ni programer na yupo kwenye app & web dev. Nimegraduate last year, computer science, hata kama huna degree ya computer science na wewe ni self taught hii inakuhusu Lengo ni kujiajiri, itakuwa vyema zaidi aki cover backend, Software...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi sales and marketing, customer service au data entry.

    Habari za mchana viongozi. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 Nina ujuzi katika sales and marketing na customer care service na data entry na stock controller namba yangu ya simu 0654918030.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu wa kunitengezea hadithi fupi

    Natafuta mtu wa kutunga hadithi fupi fupi kwa ajili ya watoto. Ni hadithi ya maneno 1000 hadi 2000. Kwa wenye huo ujuzi anicheki PM tufanye maelewano.
  15. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume miaka 36 natafuta mke

    Kuhusu Mimi, Miaka 36 Mkristo Mwajiriwa wa serikali Shahada ya uzamili Urefu 175cm, Uzito 66Kg Ninaye mtafuta -Umri 28 mpaka 38 -Dini yoyote lakini awe tayari kuwa mkristo. -Akiwa na mtoto siyo mbaya .
  16. Cisco_G

    JamiiForums Tanzania Natafuta tenda ya ku supply nyama ya ngo'mbe na kuku wa kienyeji

    Habari wanaJf. Mimi ni mjasiriamali, na supply vitu mbali mbali ikiwemo vyakula (nafaka na vyakula vingine) Kwa sasa natafuta tenda ya Ku supply nyama ya ng'ombe na kuku wa kienyeji either kwenye mahoteli au sehemu za kuchoma nyama hata kwa mtu binafsi na supply pia. Kwa anaye hitaji au mwenye...
  17. Mary97

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi za ndani Kigamboni

    Habari zenu. Naitwa Mary, Miaka 25. Elimu yangu cheti. Naishi karibu na cornerstone (kibada). Natafuta kazi za ndani za kwenda na kurudk huku Kigamboni. Kupika, kufua, usafi, kutunza watoto naweza. Mshahara angalau laki, nauli juu yangu. Kama ulipo nauli inazidi 400/= utanisaidia nauli. Siku...
  18. Sylvester daudi

    JamiiForums Tanzania Natafuta Camera ya Kununua Kuanzia Canon 500D

    Natafuta Camera ya Kununua Kuanzia Canon 500D. Kama kuna mtu anauza anitajie bei gani. 0716723263
  19. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi nina Diploma ya Komputa na Teknolojia ya Habari

    Habari Ndugu Zangu, Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 24 nina ishi mkoa wa Dar es salaam. Nilihitimu masomo yangu katika ngazi ya Diploma ya Komputa na Teknolojia ya Habari (Diploma in Computing and Information Technology) katika chuo xx. Pia nina mafunzo na kuhitimu Kwa kuwa na...
  20. P

    JamiiForums Tanzania Natafuta mabati Transparent, kofia na gata zake

    Wakuu habari, Niko Morogoro natafuta mabati ambayo ni transparent pamoja na kofia na gata zake. Mwenye kujua Morogoro yanapatikana wapi au Dar anijuze.
Back
Top Bottom