Gabriel123
Member
- Sep 22, 2021
- 6
- 1
Habari Madam/sir
Natafuta kazi hata kibarua cha kuendesha maisha yangu.
#Ninaweza kufanya kazi yeyote tofauti na taaluma nilizonazo
a) ninaumri wa miaka 24
b)Naishi gongo la mboto DSM
c) taaluma yangu stashahada accounting&finance nina uzoefu wa customer care , sales 3yeaes
d) nina taaluma ya udereva uzoefu miaka 4
e)sijaoa nakaa home.
f) Ninauwezo wa kufanya kazi flltime
Mda wowote naweza fika kazini kwa dhalura
Kwa ambae ataguswa. Nitafute kwa simu no . 0625643065/ 0767983119
Natafuta kazi hata kibarua cha kuendesha maisha yangu.
#Ninaweza kufanya kazi yeyote tofauti na taaluma nilizonazo
a) ninaumri wa miaka 24
b)Naishi gongo la mboto DSM
c) taaluma yangu stashahada accounting&finance nina uzoefu wa customer care , sales 3yeaes
d) nina taaluma ya udereva uzoefu miaka 4
e)sijaoa nakaa home.
f) Ninauwezo wa kufanya kazi flltime
Mda wowote naweza fika kazini kwa dhalura
Kwa ambae ataguswa. Nitafute kwa simu no . 0625643065/ 0767983119