Habari ndugu zangu,
Hope mko poa na majukumu ya kazi.
Mimi ni mtanzania mwenzenu natafuta kazi ya kuniingizia kipato cha halali iwe ni kwenye kampuni za kitalii au kwenye mashirika yanayohitaji mtu mwenye ujuzi na lugha ya Kireno.
Nina shahada ya usimamizi wa soko la utalii vile vile nina ujuzi juu ya matumizi ya kompyuta na software zake
Nina uwezo wa kuandika,kuongea na kusoma kwa ufasaha lugha ya kireno na kwa wastani lugha ya Kihispania.
Kwa yoyote ambaye angependa kunichukua tafadhali naomba unitumie Message moja kwa moja nikutumie CV pamoja na mawasiliano zaidi.
Kazi njema na Mungu awabariki!
Email:kingguaje@gmail.com
Nasisitiza naomba kwa heshima na taadhima NITUMIE MESSAGE MIMI NITAJIBU HARAKA IWEZEKANAVYO KILE UNGEPENDA KUFAHAMU KUHUSU MIMI.
Hope mko poa na majukumu ya kazi.
Mimi ni mtanzania mwenzenu natafuta kazi ya kuniingizia kipato cha halali iwe ni kwenye kampuni za kitalii au kwenye mashirika yanayohitaji mtu mwenye ujuzi na lugha ya Kireno.
Nina shahada ya usimamizi wa soko la utalii vile vile nina ujuzi juu ya matumizi ya kompyuta na software zake
Nina uwezo wa kuandika,kuongea na kusoma kwa ufasaha lugha ya kireno na kwa wastani lugha ya Kihispania.
Kwa yoyote ambaye angependa kunichukua tafadhali naomba unitumie Message moja kwa moja nikutumie CV pamoja na mawasiliano zaidi.
Kazi njema na Mungu awabariki!
Email:kingguaje@gmail.com
Nasisitiza naomba kwa heshima na taadhima NITUMIE MESSAGE MIMI NITAJIBU HARAKA IWEZEKANAVYO KILE UNGEPENDA KUFAHAMU KUHUSU MIMI.