natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Binadamu Mtakatifu

    Natafuta blog na youtube channel patner ambaye tutasaidiana kukuza na kuweka contect baada ya mwezi kuna mafanikio nitaongeza na kukupa 50% ya mapato

    Habari mimi ndugu yenu Binadamu Mtakatifu ni mmiliki wa channeli ya youtube na blogu hasa kilicho nileta hapa ni kuwa kazi hii ni ngumu kuifanya pekeyangu pia bado visitors ni wachache sana hivyo kama wewe ni kujana na ungependa kushirikiana na mimi njooo PM kuhusu nitakulipa nini hapa ninacho...
  2. Inevitable

    Plot4Sale Nina 180,000,000. Natafuta kiwanja kilichopimwa (Surveyed plot) jijini Dar

    Wakuu, Niliandika hapa Novemba 2020 (ref Natafuta Kiwanja cha kujenga jijini Dar. Nina Sh. Milioni 40 ) nikitafuta kiwanja na wakati huo nilikuwa na 40m tu. Viwanja vingi nilivyopelekwa ilibidi nirudi kujipinda nitafute pesa zaidi ili nipate kiwanja ninachotaka hasa. Kwa sasa bajeti yangu ni...
  3. T

    Natafuta kati ya ekari 1-5 huko Bagamoyo

    Habari wakuu, tafadhali natafuta shamba ya ekari kati ya 1 hadi 5 maeneo ya Bagamoyo, natanguliza shukrani
  4. M

    Natafuta Team kwa ajili ya tourism event

    Habari wadau, Kuna kijana mwezetu anawazo la kufanya tukio la kitalii,, linahitaji watu takribani watano (5) wa kujitolea kuratibu na kuandaa event hii, watajitoa kwa hali na mali na kulipana baada ya kufanikisha event. Interested?...... contact 0719225113
  5. Gabriel minde

    Natafuta kazi ya udereva either kwenye kampuni au mtu binafsi

    Naitwa Gabriel minde natokea dar es salaam Nina uzoefu na kazi ya udereva natafuta kazi ya udereva leseni yangu class A,A2,B,D,E,F Nina uzoefu na hii kazi nipo tayari kufanya kazi kwenye kampuni au mtu binafsi, naombeni kazi wakuu namba yangu hii apa 0689090019 nipo tayari kufanya kazi
  6. akatanyukuile_tikoma

    Natafuta madini aina ya Lead

    Wana JF nahitaji haraka madini aina ya Lead Mwenye kujua yanapopatikana , au Kama mtu anayo naomba , Asante
  7. VMWare-Oracle

    Natafuta kazi, nina elimu ya Kidato cha Nne

    Habari zenu wana JF, Mimi ni kijana,nimemaliza kidato cha nne mwaka 2021. Elimu yangu ni ya kidato cha nne na matokeo yametoka nimepata div.1.7; A-tisa na B-moja ya Bible knowledge pekee. Nimesoma masomo sayansi shule ya wavulana Marian iliyopo Pwani, Bagamoyo na nimeomba kujiunga chuo cha...
  8. M

    Natafuta kazi

    Habari ndugu zangu, Mimi ni mwanaume mchapakazi na muaminifu .Nina uzoefu miaka mitano hasa katika sekta binafsi kwenye kazi ya uhasibu haswa kwenye mambo ya kodi n.k. Nina uzoefu sana kwenye kazi zifuatazo: ●Preparation of payrolls ●cash management, ●Monthly filing of Vat Returns. ●Paye and...
  9. S

    Natafuta kazi jamani

    Mimi ni binti nimesoma procurement na baadae nikasoma business management. Niko Arusha tafafhali kama kuna mtu ana kazi yake ama anamjua mtu anaetaka mfanyakazi usisite kunitaarifu. ARUSHA.
  10. Saad30

    Je, hii ramani imekamilika?

    Habari nyingi wakuu.. Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi. Hivyo basi wakuu humu kuna magwiji wa haya mambo ya ramani pamoja na ujenzi wake.Naomba kufahamu kutoka kwenu je hii...
  11. H

    Natafuta Ajira

    Jaman wapendwa ....natafuta kazi Niko mwanza ....duka ,supermarket, hata kweny makampuni ... Kwa mawasiliano 0629982752... Ntafanya mkoa wowote
  12. G

    Natafuta kazi yoyote. Nimesomea mifugo na kilimo

    Heri ya mwaka mpya wakuu,Naitwa Geofrey wa Moro,kwa heshima na tahadhima kwa yeyote mwenye mapenzi mema aniunganishe na kazi yoyote,nina uzoefu wa kutibu na kuhudumia mifugo,kilimo,compyuta n.k mawasilianao 0689339355. MUNGU AKUBARIKI
  13. T

    Natafuta machine mpya ya kutengeneza juice ya miwa

    Habari ya mwaka mpya wakuu, mwaka wa 2022. nawatakia kila la heri yote, sasa natafuta machine ya kutengeneza juice ya miwa, machine mpya, ni wapi naweza inunua au ni wapi naweza enda kuangiza moja, nasikia hata VETA wanauda machine aa hizo, naomba ushauri wenu waku, natangulia shukrani zangu
  14. M

    Natafuta supplier wa Miwa wa uhakika

    Salaam! Wakuu natafuta connections ya muuzaji miwa malipo cash kwa bei ya jumla Tafadhali sihitaji Dalali nataka connections na mkulima mwenyewe
  15. X men

    Natafuta health laboratory assistant

    Habari wana JF, natafuta health laboratory assistant kwa ajili ya maabara yangu iliyopo Wilaya ya Nzega Tabora!! Napatikana kwa namba 0621357066
  16. K

    Natafuta fundi ujenzi mzuri mwaminifu

    Ndugu zangu wa Jamii, Natafuta fundi ujenzi mzuri na mwaminifu. Awe na experience ya kutosha kujenga kwa kufata ramani ya nyumba. Eneo ni kibaha karibu na halmashaur. Asanteni sana
  17. G

    Natafuta kazi yoyote halali

    Habari wakuu,Naitwa Geofrey nipo morogoro mjini,NATAFUTA KAZI YOYOTE mahalo popote,ni mtaalamu na mzoefu wa mifugo na kilimo, na afya ya binadamu. Elimu yangu ni kidato Cha sita na chuo. Course animal health/daktari wa mifugo,pia c.o na masuala ya kilimo.contact:0689339355
  18. K

    Natafuta mtu wa kufanya naye mazoezi ya kuimba

    Habarini wanajamvi. Natumaini mko salama na mnaendelea vizuri na pilikapilika za kutafuta riziki. Mimi ni kijana wa kiume, naishi Dar es Salaam. Mimi ni mdau wa muziki na mtunzi wa nyimbo ingawa napata changamoto ya kupata waimbaji. Ninatamani nijifunze kuimba pia, hivyo basi, kama kuna mdau...
  19. Hans wilson

    Natafuta kazi ya udereva wa magari madogo na makubwa aina yoyote Nina leseni C1, C2, C3, D, E

    Natafuta kazi ya udereva wa magari madogo na makubwa aina yoyote Nina leseni C1,C2,C3,D,E NA NAUJUA UFUNDI VIZURI NA NIMESOMA VETA NANIMEMALIZA KIDATO CHA NNE NANIMEFAULU. KWA MAWASILIANO (0682600567). BARUA PEPE , hanswilson222@gmail.com.
  20. K

    Natafuta rafiki wa kike

    Natafuta rafiki Sifa:awe mwanamke, umri 18-99 Awe muislamu Awe na elimu kuanzia kidato cha nne Awe mweupe, awe mnene au mwembamba kiasu Asiwe mrefu wala. Mfupi Kabila: Lolote Awe mwajiriwa WASIFU WANGU Sio mnene sana wala mwembamba sana Sio mrefu sana wala mfupi sana Sio...
Back
Top Bottom