natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Natafuta kazi

    Habari ndugu zangu, Mimi ni mwanaume mchapakazi na muaminifu .Nina uzoefu miaka mitano hasa katika sekta binafsi kwenye kazi ya uhasibu haswa kwenye mambo ya kodi n.k. Nina uzoefu sana kwenye kazi zifuatazo: ●Preparation of payrolls ●cash management, ●Monthly filing of Vat Returns. ●Paye and...
  2. S

    Natafuta kazi jamani

    Mimi ni binti nimesoma procurement na baadae nikasoma business management. Niko Arusha tafafhali kama kuna mtu ana kazi yake ama anamjua mtu anaetaka mfanyakazi usisite kunitaarifu. ARUSHA.
  3. Saad30

    Je, hii ramani imekamilika?

    Habari nyingi wakuu.. Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi. Hivyo basi wakuu humu kuna magwiji wa haya mambo ya ramani pamoja na ujenzi wake.Naomba kufahamu kutoka kwenu je hii...
  4. H

    Natafuta Ajira

    Jaman wapendwa ....natafuta kazi Niko mwanza ....duka ,supermarket, hata kweny makampuni ... Kwa mawasiliano 0629982752... Ntafanya mkoa wowote
  5. G

    Natafuta kazi yoyote. Nimesomea mifugo na kilimo

    Heri ya mwaka mpya wakuu,Naitwa Geofrey wa Moro,kwa heshima na tahadhima kwa yeyote mwenye mapenzi mema aniunganishe na kazi yoyote,nina uzoefu wa kutibu na kuhudumia mifugo,kilimo,compyuta n.k mawasilianao 0689339355. MUNGU AKUBARIKI
  6. T

    Natafuta machine mpya ya kutengeneza juice ya miwa

    Habari ya mwaka mpya wakuu, mwaka wa 2022. nawatakia kila la heri yote, sasa natafuta machine ya kutengeneza juice ya miwa, machine mpya, ni wapi naweza inunua au ni wapi naweza enda kuangiza moja, nasikia hata VETA wanauda machine aa hizo, naomba ushauri wenu waku, natangulia shukrani zangu
  7. M

    Natafuta supplier wa Miwa wa uhakika

    Salaam! Wakuu natafuta connections ya muuzaji miwa malipo cash kwa bei ya jumla Tafadhali sihitaji Dalali nataka connections na mkulima mwenyewe
  8. X men

    Natafuta health laboratory assistant

    Habari wana JF, natafuta health laboratory assistant kwa ajili ya maabara yangu iliyopo Wilaya ya Nzega Tabora!! Napatikana kwa namba 0621357066
  9. K

    Natafuta fundi ujenzi mzuri mwaminifu

    Ndugu zangu wa Jamii, Natafuta fundi ujenzi mzuri na mwaminifu. Awe na experience ya kutosha kujenga kwa kufata ramani ya nyumba. Eneo ni kibaha karibu na halmashaur. Asanteni sana
  10. G

    Natafuta kazi yoyote halali

    Habari wakuu,Naitwa Geofrey nipo morogoro mjini,NATAFUTA KAZI YOYOTE mahalo popote,ni mtaalamu na mzoefu wa mifugo na kilimo, na afya ya binadamu. Elimu yangu ni kidato Cha sita na chuo. Course animal health/daktari wa mifugo,pia c.o na masuala ya kilimo.contact:0689339355
  11. K

    Natafuta mtu wa kufanya naye mazoezi ya kuimba

    Habarini wanajamvi. Natumaini mko salama na mnaendelea vizuri na pilikapilika za kutafuta riziki. Mimi ni kijana wa kiume, naishi Dar es Salaam. Mimi ni mdau wa muziki na mtunzi wa nyimbo ingawa napata changamoto ya kupata waimbaji. Ninatamani nijifunze kuimba pia, hivyo basi, kama kuna mdau...
  12. Hans wilson

    Natafuta kazi ya udereva wa magari madogo na makubwa aina yoyote Nina leseni C1, C2, C3, D, E

    Natafuta kazi ya udereva wa magari madogo na makubwa aina yoyote Nina leseni C1,C2,C3,D,E NA NAUJUA UFUNDI VIZURI NA NIMESOMA VETA NANIMEMALIZA KIDATO CHA NNE NANIMEFAULU. KWA MAWASILIANO (0682600567). BARUA PEPE , hanswilson222@gmail.com.
  13. K

    Natafuta rafiki wa kike

    Natafuta rafiki Sifa:awe mwanamke, umri 18-99 Awe muislamu Awe na elimu kuanzia kidato cha nne Awe mweupe, awe mnene au mwembamba kiasu Asiwe mrefu wala. Mfupi Kabila: Lolote Awe mwajiriwa WASIFU WANGU Sio mnene sana wala mwembamba sana Sio mrefu sana wala mfupi sana Sio...
  14. She Quoted you

    Natafuta Chumba cha Kupanga Kigoma Mjini

    Habari, Natafuta chumba cha kupanga Kigoma mjini isiwe Ujiji wala uswahilini. Nitapendelea maeneo kama Kilimahewa,mjimwema,nazareth,maweni na viunga karibu na hivyo Chumba self cha nje napendelea zaidi Nyumba iwe ya kisasa (Presentable) Maji umeme na huduma zingine za muhimu usalama fence
  15. R

    Natafuta vifaranga vya samaki degere

    Habari Wakuu. Naomba msaada kupata vifaranga wa samaki aina ya degere. Nipo Arusha. Nipigie 0776655978
  16. Meneja Wa Makampuni

    Natafuta watu wanaojua kupigana ngumi vizuri waliojazia

    Natafuta watu wanaojua kupigana ngumi vizuri waliojazia Nataka kujifunza huu mchezo wa ngumi ili nijiweke fiti
  17. L

    Natafuta msichana wa kazi za ndani

    Natafuta mdada wa kazi za ndani, Mshahara- 60,000 Sehemu-kinondoni Dini - yeyote Aina ya familia atakayofanyia kazi ina Baba , mama na Mtoto wa miaka 4. Atakayekuwa tayaru nicheck Dm Update “nmeshapata”
  18. Z

    Natafuta tv inch 40 ya kununua. Nipo Dar

    Nipo Dar, nahitaji flat screen inch 40, isiwe na tatizo lolote bajeti yangu ni 350,000/- ukiwa serious nichek
  19. L

    Natafuta mwanamke wa kushea nae mume

  20. B

    Natafuta kiwanja Kinyerezi ukubwa kiwe 30x25

    Wakuu natafuta kiwanja maeneo ya Kinyerezi kilichopimwa kwa size ya 30 kwa 25, bajeti yangu haizidi 10mil naomba mwenye kujua tuwasiliane
Back
Top Bottom