natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Natafuta Karatasi za kaki

    Habari wakuu, Nilikuwa natafuta mtu/kampuni inayosupply karatasi zile za kaki zinafanana na mfuko wa karatasi au bahasha. Wapi zinapatikana au mwenye mawasiliano msaada tafadhali.
  2. ShangyJ

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, elimu yangu ni form six

    Habari zenu Wana JF natafuta kazi ya kuuza duka, usafi maofisini au viwandani Elimu: kidato Cha sita Jinsa: Mwanamke Umri; 25 Mahali: Mwanza
  3. W

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina elimu ya Kidato cha Nne na Certificate ya Secretarial Courses

    Habari Wapendwa, Mimi ni kijana wa kike Nina umri wa miaka 35, Elimu yangu kidato cha nne na Nina certificate ya secretarial. Natafuta kazi kati ya hizi:- Secretary Stationary Reception Costumer care Nina uzoefu wa kazi kwa miaka 10 katika computer full na stationary service. Nimewahi kufanya...
  4. Vaselictor

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi/ajira nina Diploma ya Communication

    Habari, Mimi ni binti wa miaka 24 Nahitaji kazi za online Ninaishi Dar es Salaam, Mbezi Mwisho Secretary, Customer service Nina Diploma ya Communication Pia Ninajua kuzungumza English Pia najua kutumia computer na ku-correct grammar kwenye documents yoyote
  5. Lameckjr

    JamiiForums Tanzania Natafuta ngozi za Ng'ombe/sundry cow hide

    Habari wadau!! Mimi mfanyabiashara (exporters) nina mteja wangu, anahitaji ngozi ya ng'ombe/sundry cow hide Kama cntr 4 ×40ft Kama mnajua wauzaji hapa Tanzania, pls naomba mnielekeze 0768464901
  6. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta alierejeshwa upya kazini

    Wadau habari za siku nyingi, mimi ni miongoni mwa wadau wanaotarajia kurejeshea kazini upya. Nimepambana vya kutosha ishu ni kwamba mpaka sasa sijapata jibu la mwisho ukiangalia ni miaka zaidi ya minne mpaka sasa ishu yangu naambiea iko kitengo cha usalama Utumishi je ni mpaka lini au ni Mambo...
  7. Kiev

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Hbr Jf, Natafuta binti mrembo wa kuoa, awe na sifa zifuatazo: Awe ameamua kutulia na kuanzisha familia Awe mrembo wa sura Asiwe mlevi Umri usizidi miaka 28 Elimu ya chuo na kuendelea Asiwe na mtoto Sifa zangu: Mkristo Nina umri wa miaka 35 Situmii kilevi chochote Nimeajiriwa, kipato cha...
  8. Nuno esparito santo

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi za viwandani msaada anaejua

    Habari yako, Nakuja hapa kuomba msaada kwa yeyote yule mwenye kujua ni kiwanda kipi ndani ya Dar au pwani kinachopokea kibarua naomba anifahamishe maana natafuta kazi kwenye kiwanda chochote kile kinachopokea kibarua. Life langu kwa Sasa nahemea mipila kwa anaejua msaada Wana jf. Asante sana.
  9. Taured

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wife Material akuje!

    Nahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu: Sifa zangu: Miaka 40 Elimu : shahada ya kwanza Dini : mkristo ( mkatoliki) Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali Location : Dar Es salaam Mchumba awe angalau na sifa hizi 1. Awe mkristo ispokuwa msabatho 2. Umri kuanzia...
  10. Triple G

    JamiiForums Tanzania Natafuta Jengo kwa ajili ya kufanya Hospital

    Habari! Natafuta Jengo kwa ajili ya kufanya/Kukodi hospital kama kuna madalali au watu wenye connection humu karibuni!! Mkoa wa Dar es salaam Vigezo! Gorofa 3 au 2 au 1 vyumba 25 na kuendelea Parking space Panafikika kwa urahisi Iwe sehem ambayo watu wa class zote wataweza kupata huduma Isiwe...
  11. Waibi fredy

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi/ sehemu ya kujitolea

    Habari za wapendwa. Mimi ni kijana wa kitanzania ninaishi Dar jinsia (me), elimu (shahada ya teknolojia na mawasiliano) nimekuja humu ndani kutafuta connection yoyote ya Kazi/au sehemu ya kujitolea kwenye taasisi yoyote iliyo na uhitaji wa mtu mwenye fani yangu. Nipo tayari kujitolea sehemu...
  12. BintiTee

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mashine za kufulia Nguo

    Salamu Jf family Natafuta mashine za kufulia nguo na kukausha kwaajili ya biashara,kuanzia 12kg na ziwe zile za kufungukia pembeni na zenye sehemu ya kuweka sarafu.Kwa yeyote mwenye taarifa sahihi tafadhali ni PM Shukrani.
  13. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta Gypsum board za Thailand

    Habari wama JF, Nina hitaji Gypsum board za Thailand, anayejua duka zinapopatikana au kama ni mfanyabiashara nijulishe. Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam
  14. Waibi fredy

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kazi, nimesomea IT nina uzoefu wa kufanya mapambo

    Habari wapendwa . Rejea kichwa cha habari apo juu . Natafuta kazi ngazi ya Diploma Nina experience katika :- Computer application ì Computer troubleshooting. Simple LAN configuration. Retail POS ( vend and shopify) Cashier Salesman Marketing Balloon decoration ( husaidia kuongeza wateja na...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalam wa MQL anifundishe kutengeneza system hii

    Wakuu habari, nataka kujua kama kuna mtaalamu wa kunifundisha namna ya kutengeneza forex robot (automated trading system) kwa kutumia MQL script language hata kwa malipo Ni programu ambayo inasaidia ku trade automatically, ukishaitengeneza na kuweke vigezo vyako vya ku trade, unaijaribisha...
  16. Myebusi Mweusi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta dawa ya kunifanya nimuache huyu mwanamke wangu

    Kama ni madawa, sasa naona yane expire. Huyu mama wa watoto wawili, mkubwa ana 27 na mdogo 24, sijui ilikuwaje nikajikuta tu mikononi mwake, tangu siku hiyo nikajikuta nampenda kichizi. Nikahama ghetto naye akahama kwao na watoto wake tukapanga nyumba. Mwanamke kanizidi miaka 8. Sasa nataka...
  17. BLUE BALAA

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu wa kuwekeza mtaji kwenye biashara ya utalii

    Mimi ni mfanya biashara wa mambo ya utalii katika malazi na ushauri wa biashara katika mambo yanayo husiana na uwekezaji katika biashara ya utalii. Nina uzoefu mkubwa katika biashara hii na ni msomi wa ngazi ya stashahada na shahada ya utalii na utawala wa biashara. Nimeyumba katika biashara...
  18. Lameckjr

    JamiiForums Tanzania Natafuta machines ya kununua (Backhoe) used

    Habari wakulungwa Niko dsm, Natafuta backhoe, used ya kununua It is urgently pls Tuwasiliane 065-932-5453
  19. P

    JamiiForums Tanzania Nimesoma Bsc. Human nutrition, natafuta kazi ya kujitolea

    Habarini wana JF, Mimi ni moja kati ya vijana ambao tumebahatika Kumaliza chuo mwaka huu 2021/2022 sina budi kumshukuru Mungu kwa hilo. Nimesoma Bsc. Human Nutrition, chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo (SUA). Shahada hiyo imejikita kwenye masuala yafuatayo; 1. Nutritional Assessment and...
  20. Gadget_accessories_tz

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu aliyesoma Computer Science

    Kama kichwa Cha habari kisemavyo Kuna projects nafanya inahusika na biological database, natafuta mtu aliyesoma computer science na anakaa Dar asiwe na kazi sababu mda mwingi atakua kwenye hii project Vigezo Awe amemaliza chuo mwaka jana Awe na uwezo wa kufanya presentation bila uoga au...
Back
Top Bottom