Man from cuba
JF-Expert Member
- May 2, 2021
- 557
- 1,365
Habari zenu wakuu?
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza natafuta mke wa kuoa awe serious na maisha umri miaka 24_30 kabila lolote ili mradi awe mtanzania dini sichagui wala rangi sijui sura mimi sichagui.
Najua kuna wanawake wangependa kujua kipato changu mimi kwa sasa nabangaiza baada ya kumaliza chuo nipo mashambani nalima nikipata chochote naunga bando kuja kuniliwaza JF.
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza natafuta mke wa kuoa awe serious na maisha umri miaka 24_30 kabila lolote ili mradi awe mtanzania dini sichagui wala rangi sijui sura mimi sichagui.
Najua kuna wanawake wangependa kujua kipato changu mimi kwa sasa nabangaiza baada ya kumaliza chuo nipo mashambani nalima nikipata chochote naunga bando kuja kuniliwaza JF.