Mr kenice
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,857
- 4,479
Wasifu:
Nyaraka nilizonazo;
Lengo lakutafuta KAZI kwanza ni maslahi, pili kubadilisha mazngira, tatu kutanua wigo wa kufahamiana, na mwisho ni kujifunza baadhi ya VITU ama mashine za juu zaid ambazo sijawah zitumia.
Asanteh sana kwa anae hitaji au anaejua wapi mtaalamu anahitajika bas aje PM kwa maelezo zaidi na zaidi
Kama pia kuna uhitaji wa KUJITOLEA am ready but kwa masilahi kiasi chake
Mr kenice
- Mimi kijana mwenye umri wa miaka 23 kwa sasa nipo kahama.
- Ni mtaalam wa maabara ngazi ya Diploma na nimehitimu masomo mwaka 2020,
Nyaraka nilizonazo;
- Form IV certificate
- Nacte certificate
- Nacte Transcript
- Cheti Cha leseni kutoka HLPC.
- Na vingine vya kila siku kama birth certificate, NIN.
Lengo lakutafuta KAZI kwanza ni maslahi, pili kubadilisha mazngira, tatu kutanua wigo wa kufahamiana, na mwisho ni kujifunza baadhi ya VITU ama mashine za juu zaid ambazo sijawah zitumia.
Asanteh sana kwa anae hitaji au anaejua wapi mtaalamu anahitajika bas aje PM kwa maelezo zaidi na zaidi
Kama pia kuna uhitaji wa KUJITOLEA am ready but kwa masilahi kiasi chake
Mr kenice