DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,948
- 45,423
Natafuta Mtu anayeuza vitu vya ndani used kwa Bei nzuri Aje pesa hipo Mfuko wa Shati Ahasanteni.
Gesi
Godoro
Nk aje nipo DSM Temeke
Gesi
Godoro
Nk aje nipo DSM Temeke
Unahitaji nini?Natafuta Mtu anayeuza vitu vya ndani used kwa Bei nzuri Aje pesa hipo Mfuko wa Shati Ahasanteni.
Naitaji hilo kochi na kitanda boc nicheki 0764161048Unahitaji nini?
Mimi ninavyo vifuatavyo;
1. kitanda bila godoro cha 5*6
2. Stabilizer
3.Kochi moja
View attachment 2220918
View attachment 2220923
Lete ofa yako.
Fridge kwa 220kView attachment 2222954Natafuta Mtu anayeuza vitu vya ndani used kwa Bei nzuri Aje pesa hipo Mfuko wa Shati Ahasanteni.
Gesi
Godoro
Nk aje nipo DSM Temeke
Takupigia asubuhi best.Naitaji hilo kochi na kitanda boc nicheki 0764161048
Takupigia baada ya 1hrNaitaji hilo kochi na kitanda boc nicheki 0764161048
Kuna mtu anataka friji nipgie nikuunganishe naeFridge kwa 220kView attachment 2222954View attachment 2222955
NishauzaKuna mtu anataka friji nipgie nikuunganishe nae
0764161048
Nenda chuo cha jirani onana na wadada wanagroups zinazouza vitu kwa wanaomaliza na miaka mingine nenda DUCE, Mwalimu nyerere, TIA etcNatafuta Mtu anayeuza vitu vya ndani used kwa Bei nzuri Aje pesa hipo Mfuko wa Shati Ahasanteni.
Gesi
Godoro
Nk aje nipo DSM Temeke
Very direct but not provedNi aibu kwa kijana unayejimwambafai humu JF kwamba una Degree kutafuta vitu vya ndani used mfano Godoro, Kitanda au Fanicha yoyote,utakuja kununua vitu vyenye mikosi na magundu kijana
Tuma picha nyingine za hii fridgeFridge kwa 220kView attachment 2222954View attachment 2222955
Mkuu kuwa makini na kauli zako.Ni aibu kwa kijana unayejimwambafai humu JF kwamba una Degree kutafuta vitu vya ndani used mfano Godoro, Kitanda au Fanicha yoyote,utakuja kununua vitu vyenye mikosi na magundu kijana
Ila ameongea ukweli mwenye kusikia na aeleweMkuu kuwa makini na kauli zako.
Mtu mwenye akili timamu tena unayejitangaza kwamba una Degree unawezaje kununua Kitanda au Godoro used??hujui lililaliwa na nani,limefanyiwa nini,pengine lilishabebewa Maiti nk,kwa nini usipambane ukanunua kitu kipya!!!angalia ukipenda vitu used ipo siku utakuja kununua mpaka MSWAKI used kama sio Boxer used,mazoea hujenga tabiaMkuu kuwa makini na kauli zako.