Habari za wakati huu wakuu..?
Mimi ni binti wa 20's..nimemaliza chuo Mwaka huu Bsc with Education(Biology and Chemistry)
Nimekuja kwenu wana jamvi kuomba kazi ama sehemu ya kufanya kwa kazi hususani kufundisha masomo taja hapo juu...
kwa mtu yeyote aliye na connection ya shule inayohitaji mwalimu wa masomo taja usisite kuniunganisha..
CV na mawasiliano yangu vikihitajika nakutumia PM...
Napatikana mbeya mjini
Mimi ni binti wa 20's..nimemaliza chuo Mwaka huu Bsc with Education(Biology and Chemistry)
Nimekuja kwenu wana jamvi kuomba kazi ama sehemu ya kufanya kwa kazi hususani kufundisha masomo taja hapo juu...
kwa mtu yeyote aliye na connection ya shule inayohitaji mwalimu wa masomo taja usisite kuniunganisha..
CV na mawasiliano yangu vikihitajika nakutumia PM...
Napatikana mbeya mjini