Kwema Wakuu,
Nataka nianze ujenzi, ila ujenzi wenyewe ni wa pole pole.
Nimepanga nitenge walau 250,000/= monthly iingie kwenye ujenzi. Msingi nimeshaweka bado kunyanyua boma tu. Waiojenga msingi niliwatoa mikoani hivyo wako na bei reasonable ila kuwalaza gesti ilini cost.
Nimepanga ninunue...