JOTO LA MOTO
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 758
- 555
Kuna mambo kadhaa nahitaji kufahamu kutoka kwa Wajuzi wa hizi kazi.
Nimeonesha nia ya kutaka kuuza hisa nikapatiwa orodha ya Madalali, sasa nipo njiapanda nitumie kigezo gani kuchagua Dalali mmoja kutoka kwenye orodha.
Na je, kuuza au kununua hisa kwa wakati ina uhusiano na ni Dalali gani ume dili nae, ama alimradi Dalali?.
Ni bei gani itatumika kuuza hisa, je ni ile ya siku ambayo tunaingia makubaliano na Dalali, au ni bei ya siku ile amepatikana Mnunuzi?. maana najua bei hupanda na kushuka.
Sasa kwa mfano kama siku nampa kazi Dalali bei ni 500, vipi baada ya siku kumi bei ikafika 700 na Dalali bado hajauza, kutakuwa na mabadiliko ama?.
Inaweza kuchukua wastani wa siku ngapi mpaka kuuza hisa?.
Nimeonesha nia ya kutaka kuuza hisa nikapatiwa orodha ya Madalali, sasa nipo njiapanda nitumie kigezo gani kuchagua Dalali mmoja kutoka kwenye orodha.
Na je, kuuza au kununua hisa kwa wakati ina uhusiano na ni Dalali gani ume dili nae, ama alimradi Dalali?.
Ni bei gani itatumika kuuza hisa, je ni ile ya siku ambayo tunaingia makubaliano na Dalali, au ni bei ya siku ile amepatikana Mnunuzi?. maana najua bei hupanda na kushuka.
Sasa kwa mfano kama siku nampa kazi Dalali bei ni 500, vipi baada ya siku kumi bei ikafika 700 na Dalali bado hajauza, kutakuwa na mabadiliko ama?.
Inaweza kuchukua wastani wa siku ngapi mpaka kuuza hisa?.