nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Friji used linahitajika...

    Wakuu, FRIJI liwe na sifa zifuatazo Used kubwa 1.5 au 2 size Lisiwe chakavu Lisiwe na hitilafu yoyote Linaweza kuwa Aina ya Boss and the like but the Boss much prefered.. Uwe tayari kunisafirishia Malipo baada ya makubaliano. Inbox Ahsante..
  2. IqraNI

    Nahitaji msaada wenu wa haraka

    Ndugu wanajamii, nawasalimu. Mimi ndugu yenu nina shida na ninahitaji msaada wenu ili niweze kukabili hii hali inayonisumbua. Tatizo langu ni kukata tamaa mapema, siwezi kupigania kitu nakipenda na kukihitaji na mpaka sasa naona nitapoteza mwelekeo. Niko kwenye mahusiano na huyu mwanaume...
  3. F

    Je, nahitaji kibali kumiliki silaha hii?

    Hii kitu nayo nahitaji kibali kwa maana ya licence to carry or licence to own. Wazee wa kamati ya ulinzi na usalama tukumbudhane, nataka kuagiza kwa mchina, manake majuzi vibaka wameua mbwa wangu na wakaingia uani na kukata dirisha, bahati madifisha yangu sikutumia flat bar bali nondo, hivo...
  4. Dr. Zaganza

    Nahitaji Apartment Mbezi,Kimara na maeneo jirani

    HYabari wakuu Nahitaji bajeti maeneo hayo :Mbezi,kimara, goba, Malamba mawili Bajeti kwa mwezi: 150,000 hadi 180,000 Piga 0713 039 875
  5. Rutunga M

    Nahitaji podcast

    Wakuu. nahitaji podcast ya kuingiza zaidi ya saa 1. sitaki zile za subdomain. aliye serious aje inbox tuyajenge. asante
  6. buffalo44

    Nahitaji Chumba Single Sinza, Magomeni Kanisani, Kawe, Mbezi au Goba

    Hello wakuu. Nipo natafuta chumba single. Kuanza life baada ya chuo. Naomba mwenye nyumba yoyote aliye maeneo hayo anisaidie room single Bajeti yangu ni 60k - 80k kwa mwezi. Dalali niseme hela yako inaniwia ngumu. Ikiwa 50% nipo tayari. Msaada wenu.
  7. Waterbender

    Nahitaji pondliner

    Habari za wakati huu. Nikwamba nahitaji pondliner kwa ajili ya ufugaji wa samaki, yoyote anaejua upatikanaji wake naomba masada tafadhali! Asante
  8. covid 19

    Nahitaji kuonana au kuwasiliana na Waziri Ummy Mwalimu

    Ndugu wana-Jamiiforums wenzangu nahitaji kuonana au kuwasiliana tu na mhe. Ummy Mwalimu Waziri TAMISEMI naamini nikionana nae jambo letu kwenye kuinua elimu yetu tunaamini litakwenda hasa katika kipindi hiki cha utandawazi. Nimefanya jitihada nyingi ila nimeshindwa wakuu vizingiti ni vingi...
  9. F

    Dereva wa uber na bolt nahitaji gari

    Bila longo longo naitwa Vitalis nina uzoefu wa miaka mi 2 nahitaji gari ya mkataba au hesabu iwe imesajiliwa kwa biashara ili tusileteane vipengele vingi na maneno mengi, nina akaunti ziko active na leseni daraja C , napatikana tabata segerea mawasiliano yangu ni 0679822712 Gari iwe sienta...
  10. F

    Dereva wa mtandaoni mwenye uzoefu nahitaji gari

    Bila longo longo naitwa Vitalis nina uzoefu wa miaka mi 2 nahitaji gari ya mkataba au hesabu iwe imesajiliwa kwa biashara ili tusileteane vipengele vingi na maneno mengi, nina akaunti ziko active na leseni daraja C , napatikana tabata segerea mawasiliano yangu ni 0679822712 Gari iwe sienta...
  11. Hajto

    Nahitaji kontena la futi 20

    Habari zenu waungwana, nahitaji kontena la futi 20, bajeti yangu milioni 2.......Likipatikana leo itapendeza zaidi
  12. M

    Nahitaji NGO ya kushirikiana nayo miradi ya maswala ya afya

    Habari JF, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kuna mradi wa afya umebuniwa na kampuni ya kitanzania, ila utekelezaji wake ni lazima upitie shirika au asasi ya kijamii. Hivyo naomba mtu anayemiliki NGO au anafanya kazi kwenye NGO au ni mjumbe wa NGO au una mahusiano na NGO yoyote, inayoweza...
  13. Mtamba wa Panya

    Nahitaji semi-trailer kupeleka mzigo Zambia

    Habari, Kama kichwa kinavyojieleza. Naomba mwenye gari anitafute PM. Ahsante
  14. Ryzen

    Nahitaji Monitor 24inch na kuendelea

    Nahitaji PC Monitor iwe na sifa zifuatazo iwe na minimum resolution 1920 x 1080 Refresh rate ya 75HZ IPS Display iwe added advantage Add Picha ikiwezekana! Nicheki kwenye wa.me?/0757497175
  15. Zacht

    Nahitaji kijifunza film making

    Poleni na majukumu wakuu na habari zenu Kabla kusomea course ambayo nimesoma saiz nilitamani Sana kuwa director wa movie kitu ambacho kipo moyoni. Kilochoshindikana Mimi kusoma ni ndugu zangu wakanisema Sana kwamba unasoma vitu havina maana inatakiwa nisome kitu ambacho kipo sokoni, sikuwa na...
  16. M

    Wizara ya Madini na Tume ya Madini inatumia sheria na kanuni zipi kukusanya mrabaha wa mawe na kuyapiga mnada?

    Ukisoma sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake sehem ya VI isemayo ROYALTIES FEES AND OTHER CHARGE. kifungu cha 87(1) inasisitiza royalty ya 6percentum kwenye dhahabu na madini mengine km yalivyoainishwa japo mengine kiwango chake kiko chini ya 6percentum. Kumezoeleka katika nchi...
  17. Superfly

    Nahitaji Raincoats! (Makoti ya mvua)

    Kama heading inavyosomeka anaefahamu wapi naweza kupata makoti ya mvua kwa bei ya jumla (low price) anisaidie... Natanguliza shukrani.
  18. Tripo9

    Nahitaji mashelf used kwa ajili ya kajiduka kadogo

    Nahitaji mashelf used kwa ajili ya kajiduka kadogo tu. Mashelf ya mbao used namaanisha toka kwenye Duka lililofungwa labda. thanks.
  19. S

    Nina mil 7 nahitaji gari IST

    Habari wadau, Naitaji gari ya kununua kwa mtu. Iwe Toyota IST. Cc 1290 (isiwe zaidi ya hizo) Isiwe imeguswa injini Namba D ndio itapewa kipaumbele. Siitaji dalali, sababu sina pesa ya dalali. Aliye na gari anitumie meseji kwenye Pm au anipe namba yake nitamtafuta...Kama gari ipo ata leo...
  20. funzadume

    Nahitaji Wheel Chair

    Wadau ninatafuta wheel chair nielekezeni maduka yenye bei ya kawaida. Nahitaji leo nataka kutoa msaada sehemu
Back
Top Bottom