Wakuu,
FRIJI liwe na sifa zifuatazo
Used kubwa 1.5 au 2 size
Lisiwe chakavu
Lisiwe na hitilafu yoyote
Linaweza kuwa Aina ya Boss and the like but the Boss much prefered..
Uwe tayari kunisafirishia
Malipo baada ya makubaliano.
Inbox
Ahsante..
Ndugu wanajamii, nawasalimu.
Mimi ndugu yenu nina shida na ninahitaji msaada wenu ili niweze kukabili hii hali inayonisumbua.
Tatizo langu ni kukata tamaa mapema, siwezi kupigania kitu nakipenda na kukihitaji na mpaka sasa naona nitapoteza mwelekeo.
Niko kwenye mahusiano na huyu mwanaume...
Hii kitu nayo nahitaji kibali kwa maana ya licence to carry or licence to own. Wazee wa kamati ya ulinzi na usalama tukumbudhane, nataka kuagiza kwa mchina, manake majuzi vibaka wameua mbwa wangu na wakaingia uani na kukata dirisha, bahati madifisha yangu sikutumia flat bar bali nondo, hivo...
Hello wakuu.
Nipo natafuta chumba single. Kuanza life baada ya chuo. Naomba mwenye nyumba yoyote aliye maeneo hayo anisaidie room single
Bajeti yangu ni 60k - 80k kwa mwezi.
Dalali niseme hela yako inaniwia ngumu. Ikiwa 50% nipo tayari.
Msaada wenu.
Ndugu wana-Jamiiforums wenzangu nahitaji kuonana au kuwasiliana tu na mhe. Ummy Mwalimu Waziri TAMISEMI naamini nikionana nae jambo letu kwenye kuinua elimu yetu tunaamini litakwenda hasa katika kipindi hiki cha utandawazi.
Nimefanya jitihada nyingi ila nimeshindwa wakuu vizingiti ni vingi...
Bila longo longo naitwa Vitalis nina uzoefu wa miaka mi 2 nahitaji gari ya mkataba au hesabu iwe imesajiliwa kwa biashara ili tusileteane vipengele vingi na maneno mengi, nina akaunti ziko active na leseni daraja C , napatikana tabata segerea mawasiliano yangu ni 0679822712
Gari iwe sienta...
Bila longo longo naitwa Vitalis nina uzoefu wa miaka mi 2 nahitaji gari ya mkataba au hesabu iwe imesajiliwa kwa biashara ili tusileteane vipengele vingi na maneno mengi, nina akaunti ziko active na leseni daraja C , napatikana tabata segerea mawasiliano yangu ni 0679822712
Gari iwe sienta...
Habari JF,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kuna mradi wa afya umebuniwa na kampuni ya kitanzania, ila utekelezaji wake ni lazima upitie shirika au asasi ya kijamii.
Hivyo naomba mtu anayemiliki NGO au anafanya kazi kwenye NGO au ni mjumbe wa NGO au una mahusiano na NGO yoyote, inayoweza...
Nahitaji PC Monitor iwe na sifa zifuatazo
iwe na minimum resolution 1920 x 1080
Refresh rate ya 75HZ
IPS Display iwe added advantage
Add Picha ikiwezekana!
Nicheki kwenye wa.me?/0757497175
Poleni na majukumu wakuu na habari zenu
Kabla kusomea course ambayo nimesoma saiz nilitamani Sana kuwa director wa movie kitu ambacho kipo moyoni.
Kilochoshindikana Mimi kusoma ni ndugu zangu wakanisema Sana kwamba unasoma vitu havina maana inatakiwa nisome kitu ambacho kipo sokoni, sikuwa na...
Ukisoma sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake sehem ya VI isemayo ROYALTIES FEES AND OTHER CHARGE. kifungu cha 87(1) inasisitiza royalty ya 6percentum kwenye dhahabu na madini mengine km yalivyoainishwa japo mengine kiwango chake kiko chini ya 6percentum.
Kumezoeleka katika nchi...
Habari wadau,
Naitaji gari ya kununua kwa mtu.
Iwe Toyota IST.
Cc 1290 (isiwe zaidi ya hizo)
Isiwe imeguswa injini
Namba D ndio itapewa kipaumbele.
Siitaji dalali, sababu sina pesa ya dalali.
Aliye na gari anitumie meseji kwenye Pm
au anipe namba yake nitamtafuta...Kama gari ipo ata leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.