Habari zenu wanaJF?
Tangu nikiwa mdogo nimekuwa na ndoto za kuwa askari (mwanajeshi), lakini dunia ina mambo mengi, mpaka sasa nimeshindwa kutimiza ndoto hiyo.
Nimeajiriwa lakini sina furaha, why? Kwasababu nafanya kitu ambacho hakipo moyoni mwangu.
Kwasasa nina umri wa miaka 29, kwa umri huu nilionao niachane na hii ndoto ya kuwa askari?
Au bado inawezekana kutimiza ndoto yangu?
Tangu nikiwa mdogo nimekuwa na ndoto za kuwa askari (mwanajeshi), lakini dunia ina mambo mengi, mpaka sasa nimeshindwa kutimiza ndoto hiyo.
Nimeajiriwa lakini sina furaha, why? Kwasababu nafanya kitu ambacho hakipo moyoni mwangu.
Kwasasa nina umri wa miaka 29, kwa umri huu nilionao niachane na hii ndoto ya kuwa askari?
Au bado inawezekana kutimiza ndoto yangu?