Labda bajaji.Au nitumie picha whatsapp namba 0714578804
zipo za kulenga zikiwa na marekebisho kidogo.Sawa dalali
PoaKama ipo nitumie namba private message mkuu.
Tatizo madalali wanaweka cha juu kiasi kikubwazipo za kulenga zikiwa na marekebisho kidogo.
tatizo ni hapio ulipomkwepa dalali.
wenye magari hawana ujanja katika kutafuta wateja, na wateja kama wewe hawana ujanja wa kujua wapi wapate bidhaa kwa bei ndogo
sorry