nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. U

    Nahitaji chumba Self cha Kupanga Arusha

    Habari Natafuta chumba cha kupanga Arusha, maeneo ya Moshono au Njiro. Kiwe chumba kimmoja ambacho ni self , kiwe kina nafasi na jiko dogo Chumba kiwe katika mazira masafi yenye ulinzi na karibu na barabara. Budget ni 100k
  2. Mparee2

    Nahitaji rafiki mwanamke

    Sifa Awe na umri wa miaka 33 na kuendelea Awe Muislam na anajitegemea (mfanyakazi/mfanya biashara) Asiwe kwenye Ndoa Sifa zingine karibu pm
  3. okiwira

    Nahitaji msaada toka kwenu wataalamu na mafreelancer

    Kuna DOGO kamaliza form4 hivyo nataka nimwezeshe biashara ya kuuza vifurushi vya dk,mb,sms vya mitandao yoote na kuuza LUKUU ya umeme visiwe vya kukwangua vocha Bali kutumia mashine (SIJUI NI MASHINE GANI INAFAA) Pia awe analipia ving'amuzi. Pia awe anasajili laini (SIJUI NI MASHINE GANI...
  4. S

    Nahitaji mbia kwenye biashara ya kuuza asali Kenya

    Habari wadau, ninahitaji mfanyabiashara wa asali au mfugaji wa nyuki ambae ana vibali stahiki vya kuuza na kusafirisha maana nina wafanyabiashara wapo kenya wanasafirisha asali kwenda dubai n.K, hvyo nahtaji mtu wa kushirikiana nae soko tayari lipo ila mim sina mtaji na utaalam wa kuitambua...
  5. dj afro fan

    Habari zenu.. nahitaji ISP hapa mwanza

    Ndugu zangu nina uhitaji wa internet nyumbani.. nahitaji kujua internet provider wa hapa mwanza. Mm nipo bwiru press
  6. Xiang Hao

    Nahitaji mtu wa kunitengenezea App ya android kwaajili ya blog yangu

    kama nilivyozungumza hapo katika kichwa cha chapisho mimi ni mmiliki wa blog ya michezo, nahitaji mtu atakae weza kunitengenezea app ya android ambayo itakuwa ina sehemu ya live score pamoja na sehemu ya kusikilizia radio, blog yangu ni hii www.binruwehy.blogspot.com ipo katika platform ya blogger
  7. Kurunzi

    Nahitaji Usafiri wa IT kwenda Dodoma

    Nahitaji usafiri wa Gari za IT nahitaji niondoke saa 3 usiku na kufika Dodoma saa 12 asubuhi, kuna issue ya saa 2:30 Asante waugwana nimefanikiwa kupata Coster pale Mbezi nimeanza safari saa 4 usiku nikeingia Dom saa 11:00 Nimemalizana na jambo langu nipo njiani kurudi jijini Dar.
  8. mdukuzi

    Nahitaji mafuta ya nazi kuanzia lita 1000

    Nahitaji mafuta ya nazi in bulky kuanzia lita 1000 na kuendelea,aliyenayo atoe offer yake
  9. bafetimbi

    Nahitaji kitabu cha KAMASUTRA nakipata wapi?

    Nakitafuta hicho kitabu mazee na je kimeandikwa na nani, mapenzi yatatuua mwaka huu maana huyu demu ni muarabu sasa nataka niipeperushe vyema bendera ya Tanzania. Naipenda sana nchi yangu na siko tayari kuidhalilisha kwa namna yoyote ile hasa katika nyanja ya papuching. Itakua machozi jasho na...
  10. Bata Boy Official

    Nahitaji UI/UX designer wa wireframes

    Habari wakuu? Heri ya mwaka mpya. Niende moja kwa moja kwenye mada,ni hivi ninahitaji mtu mwenye uwezo wa kutengeneza WIREFRAMES kisha azipeleke kwenye MOCKUPS halafu atengeneze CLICKABLE-PROTOTYPES. Kama una uwezo na upo tayari njoo DM. NB: Sio lazima uwe umesomea, as long as unauwezo wa...
  11. Dr. Zaganza

    Nahitaji mzoefu wa kuuza vitabu Amazon au site yoyote

    Habari. Nitalipia tuition. Piga au chat 0713-039875
  12. Bangila

    Nahitaji Toyota IST bajeti 7 Milioni

    Wakuu NAHITAJI mtu mwenye gari aina ya Toyota Ist aniuzie. Iwe Cc 1290. Isiwe imerudiwa rangi au kusushwa injini. Namba DF na kuendelea. Awe mwenye gari sio dalali. Mwenye nayo anicheck- PM
  13. M

    Nahitaji kuendesha bajaji ya mkataba

    nahitaji bajaji ya mkataba wakuu... Nipo Tabora lakini nina uenyeji Dsm na ninaweza nikaja kufanyia kazi popote bajaji itakapo patikana. 0716611090
  14. Rogart Ngaillo

    Nahitaji mshirika katika ufugaji kuku wa kienyeji na bustani

    Msimu wa sikukuu uwe mwema kwenu! Tangu mwaka jana niko kijijini kutafiti namna gani ufugaji na vifanananavyo vinaweza kuniongezea kipato,kwa ufupi kila nilichojaribu kimeonesha kina uashiria wa tija hapo mbeleni. Mfano: ■ Nilinunua tetea wanne na jogoo mmoja,wamenizalishia zaidi ya kuku 60...
  15. H

    Nahitaji supplier wa mchele 200kg leo hii 24th December 2021

    Habari ya asubuhi ndugu zangu, yoyoye anaemjua supplier mzuri wa mchele anichek kwa number: 0783 242247 Tumepata emergency therefore is very urgent to get it today or tomorrow. Vigezo ni kama ifuatavyo: 1. Awe in Dar Es Salaam 2.Mchele uwe in packs of 25kg 3.Mchele uwe na sticker/lable...
  16. Mung Chris

    Nahitaji gari Carina ti yenye vigezo vifuatavyo

    Nahitaji Carina Ti ambayo Ni namba C au D Iwe haijawahi pata ajali -Iwe haijawahi rudiwa rangi na haijawahi funguliwa box na Engine Bajeti yangu ya kununua ni Mil 3
  17. Meneja Wa Makampuni

    Nahitaji kujua elimu ya Lesle Dulle mgombea wa ubunge kupitia CCM

    Nahitaji kujua elimu ya Lesle Dulle mgombea wa ubunge kupitia CCM
  18. Ritchy Breezy

    Nahitaji ps4 machine

    Hello.. nina hitaji ps4 used,mwenye ako nayo au kuuza nicheki kwa 0622902768 mhusika awe mwanza..nipo mwanza pia.
  19. Deja vu27

    Nahitaji kujua aina za desktop computer ambazo ni nzuri zinazopiga kazi kwa ufasaha

    Habari wana JF? Nahitaji kujua aina za desktop computer ambazo ni nzuri zinazopiga kazi kwa ufasaha na zinadumu kwa muda mrefu nalifikisha kwenu naombeni ufafanuzi Ahsante!🙏
  20. T

    Msaada: Nahitaji Mganga atakayeweza kunisaidia kurudisha mali zangu zilizoporwa

    Wakuu nahitaji msaada Mganga wa kuunganishwa na mganga atakayeweza nisaaidia kurudisha mali zangu zilizoporwa, pamoja na kuwa adhibu wahusika, Malipo ni baada ya kazi (vitu kurudishwa na wahusika kufahamika) Natanguliza Shukrani
Back
Top Bottom