Hii sakata la Mzee Lugemalira limenifanya nifikiri sana juu ya uwezo mkubwa wa Mungu kuweka level playing field.
Mze Lugemalira baada ya kukaa ndani miaka mitano, ametolewa bila masharti yoyote.
Kukaa gerzani ni mateso, matesoyaliyo andaliwa na binadamu.
Cha ajabu wengi wa waliokuwa madarakani...