chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,983
- 20,633
Hii miradi ndio kichaka ambacho mzee alikitumia kupiga mamilioni ya mabilioni, bado tunaomba uchunguzi ufanyike!
Kimkakati, katika hizi wizara aliweka watu wa "nyumbani" watunze siri japo na wao wana vikampuni vyao ndani ya miradi
Waliacha bomba la gesi wakaanzisha miradi ya dili
Mh. Samia, endelea kuchimba, umewakata vichwa waliokuwa wanalinda maslahi ya mzee
Tunajua Songoro Marine alikufa, pengine mshituko, hii kampuni pia mzee alikuwa na hisa, kucha kutwa ilipewa tenda za kujenga vivuko, Nyanza road mjipange, ile barabara ya kigoma mlilipwa pesa zote na hamjajenga, mzee, mwanahisa wenu hayupo tena, tunataka barabara yetu au mteme mpunga!
Kimkakati, katika hizi wizara aliweka watu wa "nyumbani" watunze siri japo na wao wana vikampuni vyao ndani ya miradi
Waliacha bomba la gesi wakaanzisha miradi ya dili
Mh. Samia, endelea kuchimba, umewakata vichwa waliokuwa wanalinda maslahi ya mzee
Tunajua Songoro Marine alikufa, pengine mshituko, hii kampuni pia mzee alikuwa na hisa, kucha kutwa ilipewa tenda za kujenga vivuko, Nyanza road mjipange, ile barabara ya kigoma mlilipwa pesa zote na hamjajenga, mzee, mwanahisa wenu hayupo tena, tunataka barabara yetu au mteme mpunga!