masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Ama kweli dunia tambara bovu.
Prof Makame Mbarawa siyo siri, ni adui mkubwa wa Makandarasi katika sekta zote za Ujenzi na hata hapo mwisho Maji.
Mbarawa ni kama mtu wa kisirani na mara nyingi hana focused objectives.
Tutegemee nini sasa sekta hii ya ujenzi maana huku mwishoni aliwaita makandarasi kuwa wezi na akataka miradi yote ya Maji ifanywe kwa Force Account.
Karibu Mbarawa.
Prof Makame Mbarawa siyo siri, ni adui mkubwa wa Makandarasi katika sekta zote za Ujenzi na hata hapo mwisho Maji.
Mbarawa ni kama mtu wa kisirani na mara nyingi hana focused objectives.
Tutegemee nini sasa sekta hii ya ujenzi maana huku mwishoni aliwaita makandarasi kuwa wezi na akataka miradi yote ya Maji ifanywe kwa Force Account.
Karibu Mbarawa.