Kungarochi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 271
- 572
Tokea Diamond na mama yake wamuaibishe huyu mzee kwny media, mambo si mambo kwa Diamond.
jamaa kila anachofanya raia kama hawaoni kabisa katoa nyimbo tatu na zote zimebuma kama hajatoa kitu. BET akala mweleka vibaya mno. Alitangaza ujio wa raelity show na nyanya wake wa SA nayo imezimika kama mshumaa.
Hayo yote ni laana ya mzee Abdul, ulimuaibisha sana yule mzee naona Mungu anaanza kukukumbusha kuwa always sikio halizidi kichwa.
Usiposhtuka mapema kuomba msamaha kwa huyu mzee huu ndo utakuwa mwisho wako na ndo litakuwa angulo lako officially.
jamaa kila anachofanya raia kama hawaoni kabisa katoa nyimbo tatu na zote zimebuma kama hajatoa kitu. BET akala mweleka vibaya mno. Alitangaza ujio wa raelity show na nyanya wake wa SA nayo imezimika kama mshumaa.
Hayo yote ni laana ya mzee Abdul, ulimuaibisha sana yule mzee naona Mungu anaanza kukukumbusha kuwa always sikio halizidi kichwa.
Usiposhtuka mapema kuomba msamaha kwa huyu mzee huu ndo utakuwa mwisho wako na ndo litakuwa angulo lako officially.