Mzee Lugemalira Mungu anakulinda!

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,803
13,034
Hii sakata la Mzee Lugemalira limenifanya nifikiri sana juu ya uwezo mkubwa wa Mungu kuweka level playing field.
Mze Lugemalira baada ya kukaa ndani miaka mitano, ametolewa bila masharti yoyote.
Kukaa gerzani ni mateso, matesoyaliyo andaliwa na binadamu.
Cha ajabu wengi wa waliokuwa madarakani na kuamuru mzee Lugemalira kuwekwa ndani na kufunguliwa mashtaka wamekwisha kutangulia mbele za Haki.

Hili fundisho viongozi wetu wasippojifunza, hawataelewa kamwe.
Tusijefikiri Lugemalira kashinda majaribu kwa uwezo wake mwenyewe, Mungu alikuwepo naye.
1631953868884.png


Nimeupenda ujumbe huu!
Tukumbuke viongozi wote wanakula kiapo wakishika vitabu vitakatifu.
Kukiuka viapo hivyo ni hatari.
 
Naomba nijulishwe tafadhali ikitokea siku huyu Mzee akaamua kujitokeza hadharani kutaja majina ya Vigogo wote walio pokea ule mgao wa zile fedha za Escrow na kuweka maburungutu ya hizo hela kwenye mifuko ya sandarusi, na kutokomea kusikojulikana
 
Naomba nijulishwe tafadhali ikitokea siku huyu Mzee akaamua kujitokeza hadharani kutaja majina ya Vigogo wote walio pokea ule mgao wa zile fedha za Escrow na kuweka maburungutu ya hizo hela kwenye mifuko ya sandarusi, na kutokomea kusikojulikana
Pesa zilikuwa ni za kwake, alikuwa na uhuru nazo.
MIAKA MITANO, serikali haijaweza kuthibitisha kuwa pesa ni za serikali.
 
Pesa zilikuwa ni za kwake, alikuwa na uhuru nazo.
MIAKA MITANO, serikali haijaweza kuthibitisha kuwa pesa ni za serikali.
Mimi sijakataa! Tamaa yangu ni kuona tu na wale wengine tukiwafahamu. Maana akina Tibaijuka, Nyoka wa Makengeza, Maaskofu wa Katoliki, nk wanajulikana.

Vipi kuhusu Vigogo wa mifuko ya sandarusi?
 
Mimi sijakataa! Tamaa yangu ni kuona tu na wale wengine tukiwafahamu. Maana akina Tibaijuka, Nyoka wa Makengeza, Maaskofu wa Katoliki, nk wanajulikana.

Vipi kuhusu Vigogo wa mifuko ya sandarusi?
Pengine ukiongea naye atakumegea.
Lakini mada hii haswa ni kuonyesha kuwa roho mbaya hata iwe ya nani, Mungu akiwa upande wako watashindwa tu.
Ndio maana binadamu tukipata madaraka uwe dini yoyote, tuombe hekima ili tuongoze kwa Haki.
 
Hii sakata la Mzee Lugemalira limenifanya nifikiri sana juu ya uwezo mkubwa wa Mungu kuweka level playing field.
Mze Lugemalira baada ya kukaa ndani miaka mitano, ametolewa bila masharti yoyote.
Kukaa gerzani ni mateso, matesoyaliyo andaliwa na binadamu.
Cha ajabu wengi wa waliokuwa madarakani na kuamuru mzee Lugemalira kuwekwa ndani na kufunguliwa mashtaka wamekwisha kutangulia mbele za Haki.

Hili fundisho viongozi wetu wasippojifunza, hawataelewa kamwe.
Tusijefikiri Lugemalira kashinda majaribu kwa uwezo wake mwenyewe, Mungu alikuwepo naye.
View attachment 1943275

Nimeupenda ujumbe huu!
Tukumbuke viongozi wote wanakula kapo wakishika vitabu vitakatifu.
Kukiuka viapo hivyo ni hatari.
Kwenye hii story ya Rugemalira,ukuu wa Mungu umeonekana.
Alilazimishwa akili kosa,atoe mpunga aachiwe,akagoma,wenzie wakasalimu amri,sasa angetowa mpunga,leo angeishi vipi!!na watesi wake wote,wamaeishatangulia mbele ya haki.
Unatesa watu weeee,kabla hujawaangamiza,unaondoka
 
Miaka minne, mliowapa madaraka wameshindwa kuthibitisha kuwa Lugemalira ni fisadi.
Acha roho yako ya korosho kufikiri kila mwenye hela na tajiri ni fisadi.
Hayo ndiyo yaliyomshinda mwendake.
Tmia akili yako nawe utajirike.
Inapofanyika collusion baina ya mafisadi na wafanyabiashara unadhani utaprove vipi makosa.

images(3).jpg
 
Kilichofanyika sio chema ila unasema kuhusu madeal aliyoingia ingia huyu mzee na viongozi waroho na walafi..., yalikuwa yana manufaa kwa taifa na vizazi vijavyo ?

Let's give credit where credits due..
 
Leo mnatetea mafisadi kweli watanzania ni wajinga wa kutupa
Nakueleza hakuna watu rahisi kuwatawala kama watanzania. Si miaka 60 tu ya uhuru tupo hapa bali hata baada ya miaka 100 tutakuwa nyuma zaidi.

Yaani mtu anatetea wezi, eti na kumzingizia Mungu katika ufisadi huu kuwa naye kaubariki. Kama wewe mtanzania unaufurahia ufisadi, unategemea Mama anayetaka umaarufu wa kisiasa afanye nini? Ni kuwaachia tu wezi ili 2025 ajihakikishie kura za mafisadi na wanaowaunga mkono.
 
Umasikini ukizidi ndiyo matokeo yake haya. Unawaona wenye hela ni mafisadi
Pambana upate hela.
Mahakama imemuachia huru kuwa hana kosa. Nenda mahakamani ukaanzishe kesi upya.
Masikini wanaroho mbaya sana. Ndiyo maana kuna jamaa alisema
Usimsaidie masikini acha afe
Unataka nini km mahakama pamoja na vyombo vya Habari vimetangaza hana hatia?
Wewe na mahakama nani mwenye haki?
Ndugu zangu km mnanisikia ukiona umeanza kupata hela na michongo inatiki unatakiwa uhame uswahili chap. Ni bora ukae chumba cha laki 3 kwa mwezi kuliko kukaa chumba cha 50 uswahilini.
Nakueleza hakuna watu rahisi kuwatawala kama watanzania. Si miaka 60 tu ya uhuru tupo hapa bali hata baada ya miaka 100 tutakuwa nyuma zaidi.

Yaani mtu anatetea wezi, eti na kumzingizia Mungu katika ufisadi huu kuwa naye kaubariki. Kama wewe mtanzania unaufurahia ufisadi, unategemea Mama anayetaka umaarufu wa kisiasa afanye nini? Ni kuwaachia tu wezi ili 2025 ajihakikishie kura za mafisadi na wanaowaunga mkono.
 
Nenda mahakamani ukafungue kesi upya.
Mahakama imemkuta hana hatia. Sasa unataka nini?
Umasikini ukizidi ndiyo matokeo yake haya. Unamuona kila mwenye hela ni fisadi.
Pambana utafute hela. Wala haitakusaidia kwa lolote
Leo mnatetea mafisadi kweli watanzania ni wajinga wa kutupa
 
Pesa zilikuwa ni za kwake, alikuwa na uhuru nazo.
MIAKA MITANO, serikali haijaweza kuthibitisha kuwa pesa ni za serikali.
Fedha zilikuwa ni zake na zilihalalishwa na viongozi wa CCM, lakini deal haikuwa kosher. I mean alitumia mbinu za kifisadi kupata fedha bila kuacha ushahidi wa wazi juu yake. Lakini siungi mkono alivyotendewa. Kama hakukuwa na ushahidi wa wazi basi angeachiwa au waliohusika kufanikisha deal washughulikiwe. Na mwisho hili liwe fundisho kwa wafanyabiashara ''wajanja wajanja'' wanaoshirikiana na viongozi wa kisiasa kujitajirisha kwa njia ovu huku raia wakifa kwa kukosa huduma muhimu.
 
Huduma muhimu ndiyo unaona leo mzee?
Hali imekuwa mbaya sana kwasasa maana serikali inategemea tozo kufanya maendeleo.
Hela ya ATCL inafanya nini?
Madini?
Utalii?
Bandari?
Ila leo tozo ndiyo inajenga vituo vya afya. Kila bidhaa imepanda sokoni kuna unafuu gani wa maisha tena?
Kuna watanzania wakiumwa inabidi wameze panadol tu maana hela za hospital hawana.
Fedha zilikuwa ni zake na zilihalalishwa na viongozi wa CCM, lakini deal haikuwa kosher. I mean alitumia mbinu za kifisadi kupata fedha bila kuacha ushahidi wa wazi juu yake. Lakini siungi mkono alivyotendewa. Kama hakukuwa na ushahidi wa wazi basi angeachiwa au waliohusika kufanikisha deal washughulikiwe. Na mwisho hili liwe fundisho kwa wafanyabiashara ''wajanja wajanja'' wanaoshirikiana na viongozi wa kisiasa kujitajirisha kwa njia ovu huku raia wakifa kwa kukosa huduma muhimu.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom