mzee

An honorific is a title that conveys esteem, courtesy, or respect for position or rank when used in addressing or referring to a person. Sometimes, the term "honorific" is used in a more specific sense to refer to an honorary academic title. It is also often conflated with systems of honorific speech in linguistics, which are grammatical or morphological ways of encoding the relative social status of speakers. Honorifics can be used as prefixes or suffixes depending on the appropriate occasion and presentation in accordance with style and customs.
Typically, honorifics are used as a style in the grammatical third person, and as a form of address in the second person. Use in the first person, by the honored dignitary, is uncommon or considered very rude and egotistical. Some languages have anti-honorific (despective or humilific) first person forms (expressions such as "your most humble servant" or "this unworthy person") whose effect is to enhance the relative honor accorded to the person addressed.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    JamiiForums Tanzania Mzee Hamisi, Mzee Tilalila na Christopher Alex walienda wapi hawa jamaa?

    Kuna wakati haya majina yalijipatia umaarufu mkubwa sana hapa nchini kutokana na kuchangia mijadala mbalimbali ya kisiasa kidini na kijamii. Hawa walikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wakichangia mada mbalimbali zilizoletwa na ukisikiliza michango yao unapanuka sana kiufahamu na kiuelewa...
  2. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Kila Machi 17 kwanini isiwe Magufuli Day?

    Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake. Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM. Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader...
  3. kavulata

    JamiiForums Tanzania RC Amos Makala mbona wamachinga wanarudi kwenye njia za miguu tena Dar es Salaam?

    Sio vizuri kutimuana kila wakati kwakuwa zoezi la kutimua watu linazaa kelele na bughudha nyingi kwa wananchi. Tulifurahia kuona watanzania wenzetu wafanyabiashara ndogondogo wameziachia barabara za magari na njia za miguu za watanzania wenzao walizokuwa wamezivamia kwa maslahi yao binafsi...
  4. Faana

    JamiiForums Tanzania Nani alikwenda kumuuliza Mzee Ally H. Mwinyi "Mzee na mimi?"

    Inatajwa kuwa miaka ya 1980s kuelekea 90s Mzee Mwinyi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alivunja Baraza lake la mawaziri. Nini kilimfanya alivunje baraza hilo Inasemekana kuna waziri mmoja alimfuata Mzee Mwinyi in person kumuuliza kama na yeye (huyo waziri) anahusika (inasemekana...
  5. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mzee Said Mohamed (baba yake GSM) afariki dunia

    Mzee Said Mohamed ambaye ni Baba Mzazi wa Mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed (GSM) amefariki dunia alfajiri ya leo Machi 1 2022 na anatarajiwa kuzikwa leo saa kumi jioni kwenye makaburi ya Kisutu Dar es Salaam. Marehemu Mzee Said ni Mfanyabiashara wa muda mrefu Tanzania ambapo alianzisha...
  6. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Mzee anaendesha RAV4 huku kavaa Helmet za pikipiki

    Dunia ina watu watata Maajabu tumepishana na mzee ana RAV4 anaendesha kavaa Helmet zile za bodaboda kichwani nimeambiwa ukiomba lift anakwambia kama una Helmet panda Gari yake hata mkewe na watoto wake hawapandi sababu sharti la kuvaa Helmet limewashinda Mwenyewe anasisitiza kuwa hata...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, Rais wa Zanzibar, IGP na Mzee Boazi watakubali kufika mahakamani kutoa ushahidi au Jaji atakataa wasiletwe Mahakamani?

    Kwa Hali ya ushahidi ulivyotolewa na Jamhuri watu wafuatao wataitwa na upande wa utetezi kwenda kutoa ushahidi. Lengo la kuwaita watu hao nikutaka kuionyesha Dunia uhusika wao au mtizamo wa juu ya kile kinachoendelea mahakamani. Mashahidi hao ni Hawa wafuatao 1. Mhe. Rais wa JMT, huyu upo...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Mzee Ji Kaifeng mwenye umri wa miaka 76 ni shabiki wa kuteleza kwenye barafu, ambaye ameshiriki kwenye michezo hiyo kwa miaka 22

    Michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi ya Beijing 2022 inaendelea, na China imetimiza lengo lake la kuwahamasisha wananchi milioni 300 kushiriki kwenye michezo ya majira ya baridi. Mzee Ji Kaifeng mwenye umri wa miaka 76 ni shabiki wa kuteleza kwenye barafu, ambaye ameshiriki kwenye michezo...
  9. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Mzee Wassira: Ujenzi wa Hospitali ya kumbukumbu ya Mwl. Nyerere sifa wapewe wananchi wa Mara na siyo Serikali

    Mzee Wassira ni mmoja kati ya wazee ambao huwa haonyeshi kucheka cheka pale anapoongelea jambo, mfano aliongelea jambo urais ambao wengi wanaonyesha nia wkt huu na kusema muda wao bado na hata yeye aliwahi kuutaka ila kwa sababu ya muda basi muda wake umepita na hawezi tena. Mimi ni mmoja kati...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Mzee Siro ile Vita yako na Ma-RPC waliokuwa wanataka U-IGP iliisha au inaendelea? Nadhani toka adharani uwakemee Tena wajue unawajua

    Mzee Siro ni Moja ya IGP aliyewahi kuongoza jeshi kipindi Kuna mauaji mengi Sana akifutiwa Kwa karibu na Mzee Mahita. Siro amepokea jeshi kipindi Cha saga la Kibiti na Toka hapo mauaji yaliendelea Hadi Sasa. Nakumbuka Kuna kipindi mauaji yalizidi na uhalifu kuongezeka enzi ya Magu akawaita ma...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Video ya ng'ombe, Pundamilia na Binadamu Ngorongoro itufundishe Maasai wana haki ya kuishi

    Maulid Kitenge na Mzee wa Kaliua mmefanya Kubwa sana kutetea uhai wa watoto wa Kimasai. Natambua Binadamu wabinafsi awatawaelewa na Binadamu wanafiki watawaambia na kuwadanganya kwamba Masai anatakiwa kuishi na wanyama Ngorongoro kama kivutio Cha utalii na kwamba Masai ni Moja ya factor...
  12. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku kwahiyo na Wewe ulivyokuwa Ukilalamika sana Kipindi cha Rais Kikwete ulikuwa na Shida na Mjinga au?

    "Watanzania wa Siku wamekuwa ni Watu wa Kulalamika tu sijui kwanini na sababu za Kulalamika huwa ni Mbili tu ambapo Kweli Mtu huwa ana Shida na nyingine ni Mtu tu kuwa Mjinga na kutojua Mambo mengi" Mzee Butiku Kada wa CCM na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere. Chanzo: ITV...
  13. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Porojo za Mzee James Gayo (Mr. Kingo): Ugoko aimwaga klabu ya wapambanaji

    UGOKO AIMWAGA KLABU YA WAPAMBANAJI Ugoko aliogopa umande: Alikimbia shule na kuingia kwenye uchuuzi wa samaki akiwa kijana mdogo. Baadae alipobaini kuwa ana kipanji cha kunengua, aliacha biashara ya samaki na kuwa mcheza shoo kwenye mabaa mbali mbali. Mwenyewe anadai, pesa za kutunzwa na walevi...
  14. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    JamiiForums Tanzania Hapo zamani, unakumbuka nini?

    Mwaka wa baraka
  15. M

    JamiiForums Tanzania Buriani Mzee Nalaila Lazaro Kiula; Mwadilifu aliyeponzwa na Mfumo kifisadi

    Usiku wa kuamkia Jana amepumzika Mzee Nalaila Lazaro Kiula. Alipata kuwa Mbunge wa Zamani wa Iramba, na Waziri wa zamani wa Ujenzi na Mawasiliano, Naibu wa Waziri wa Elimu na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya. Mzee Kiula ni mojawapo ya Wahanga wa siasa za fitna, majungu na mitandao ndani ya CCM. Akiwa...
  16. F

    JamiiForums Tanzania Mkuchika ni Mzee kuliko wote bungeni na Baraza jipya, kulikoni wadogo zake Lukuvi na Kabudi?

    Rais kasema Kabudi na Lukuvi umri umewatupa hivyo kawaondoa ili kuwasimamia Mawaziri vijana. Mbona Captain mstaafu George Mkuchika ni Mzee kuliko wao lakini kaachwa ktk Baraza jipya? Hapa Kuna jambo, waerevu watalibaini.
  17. figganigga

    JamiiForums Tanzania Lukuvi na Kabudi waitwa Ikulu kumsaidia kazi Rais Samia nje ya Muundo wa Serikali

    Salaam Wakuu, Aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi na Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, wametakiwa kwenda Ikulu kumsaidia kazi Rais Samia ya kuwasimamia Mawaziri. Rais Samia kasema watu Wasimpake matope...
  18. FaizaFoxy

    JamiiForums Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi atunukiwa zawadi kwa kuutumikia Uislam

    Ma shaa Allah. Mzee Mwinyi anazidi kupaa.
  19. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Nyerere kwanini alimwambia Mzee Mwinyi maneno haya?

    Habari zenu ndugu zang, ama baada ya salam ningependa kuwaombea heri ya mwaka mpya. Ndugu watanzania wenzangu, historia yetu inatuambia kuwa baba wa Taifa mwl J.K. Nyerere aliiongoza nchi yetu kwa takriban miaka 20 na ushee. Katika uongozi wake wa kipindi cha miaka tajwa hapo juu, mwl Nyerere...
  20. Miguna Chiwenga

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 kumbukumbu ya kifo cha Mzee Moses Nnauye na kilio cha kupewa mtaa

    MIAKA 20 KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MZEE MOSES NNAUYE NA KILIO CHA KUPEWA MTAA Tumeshuhudia mambo mengi sana katika Mwaka uliomalizika wa 2021 yapo mambo mengi lakini yaliyotikisa ni mambo ya Kisiasa, Tulishuhudia katika Tasnia ya siasa za (Chama Tawala, chama cha Mapinduzi) na za baadhi ya...
Back
Top Bottom