Mzee Kikwete umeshidwa kupatanisha Watanzania wenzako, umewezaje kwa Wazambia?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,237
Jioni_ya_Leo_Mh._Jakaya_kikwete_na__Edgar_Lungu_wakiwa_na_Rais_Mpya_wa_Zambia,_bila_shaka_kikw...jpg

Kuna mambo yanashangaza sana! Rais Mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete ambaye alikuwa miongoni mwa wasimamizi wa uchaguzi Mkuu nchini Zambia ameonekana hadharani akiwa na Mahasimu wakuu wa siasa za Zambia baada ya kikao cha upatanishi, Tunamshukuru kwa jambo hilo.

Lakini swali letu linabaki kuwa hili, ikiwa kama ameweza kupatanisha Dikteta uchwara Edgar Lungu na Rais mpya Haikainde Hichilema aliyeteswa miaka yote ya Lungu madarakani, ameshindwaje kupatanisha chama chake cha CCM na wapinzani wanaoteswa kwa kubambikwa kesi za uongo ili kuwakomoa? Au Mzee huyu akili yake inafanya kazi anapokuwa nje ya nchi lakini inaondoka anapofika Tanzania? Kupatanisha wa nje wakati kwako kunateketea amelenga kutafuta umaarufu wa bei rahisi kwa jumuia ya kimataifa ili apate ujiko?

Kama Kikwete anataka upatanishi basi muda wake ni huu, aielekeze CCM kufuta kesi zote za uongo walizofunguliwa wapinzani nchi nzima na ahakikishe KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI vinapatikana nchini Tanzania, vinginevyo asije akathubutu kuja kuomba upatanishi baada ya sisi kuiangusha CCM 2025, hatutakubali na TUTAMTIMUA .

Mungu ibariki Tanzania

Kikwete.JPG
 
Afrika tuna unafiki sana ndio maana hatufiki tunapotaka, hebu fikiria eti Ntibantungaya ndio alikuwa mwangalizi wa ule uchafuzi wetu halafu anakwambia ulikuwa huru na haki

Sasa ndiyo haya ya Kikwete, nyumbani kunawaka moto yeye anaenda kuzima moto kwa jirani
 
JK amekwenda Zambia kama msimamizi uchaguzi aka special envoy sijui wanaita... matokeo yametoka Lungu kashindwa wamemshauri aachie madaraka peacefully.

Siku CCM ikishindwa uchaguzi itatoka tu asikudanganye mtu, huwezi kuzuia nguvu ya umma...Tanzania bado hiyo nguvu ya umma haijaichoka na CCM na siku ikichoka huhitaji katiba mpya kuitoa CCM....huoni ya Talebani afghanistan its automatic thing.
 
View attachment 1894959

Kuna mambo yanashangaza sana ! Rais Mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete , ambaye alikuwa miongoni mwa wasimamizi wa uchaguzi Mkuu nchini Zambia , ameonekana hadharani akiwa na Mahasimu wakuu wa siasa za Zambia baada ya kikao cha upatanishi , Tunamshukuru kwa jambo hilo .

Lakini swali letu linabaki kuwa hili , ikiwa kama ameweza kupatanisha Dikteta uchwara Edgar Lungu na Rais mpya Haikainde Hichilema aliyeteswa miaka yote ya Lungu madarakani , ameshindwaje kupatanisha chama chake cha ccm na wapinzani wanaoteswa kwa kubambikwa kesi za uongo ili kuwakomoa ? au Mzee huyu akili yake inafanya kazi anapokuwa nje ya nchi lakini inaondoka anapofika Tanzania ? kupatanisha wa nje wakati kwako kunateketea amelenga kutafuta umaarufu wa bei rahisi kwa jumuia ya kimataifa ili apate ujiko ?

Kama Kikwete anataka upatanishi basi muda wake ni huu , aielekeze ccm kufuta kesi zote za uongo walizofunguliwa wapinzani nchi nzima na ahakikishe KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI vinapatikana nchini Tanzania , vinginevyo asije akathubutu kuja kuomba upatanishi baada ya sisi kuiangusha ccm 2025 , hatutakubali na TUTAMTIMUA .
Tumia akili apatanishe Tanzania kwa mgogoro upi? Tanzania hatuna tatizo lolote juu ya uchaguzi au katiba.
 
Afrika tuna unafiki sana ndio maana hatufiki tunapotaka,hebu fikiria eti Ntibantungaya ndio alikuwa mwangalizi wa ule uchafuzi wetu halafu anakwambia ulikuwa huru na haki

Sasa ndiyo haya ya Kikwete,nyumbani kunawaka moto yeye anaenda kuzima moto kwa jirani
Atavuna anachopanda
 
Swali zuri kwa viongozi wa CCM waliopo madarakani na pia kwa viongozi wastaafu wa CCM

Commonwealth Observers talking to voters in Zambia

Photo : Chair of the Commonwealth Observer Group, former Tanzanian President HE Jakaya Kikwete, at the Andrew Mwenye polling station in Lusaka, Zambia.

Commonwealth​

Voters got up early in Zambia this morning and headed straight to the polls, which opened at 6am. Long but COVID-safe queues formed outside polling stations in Lusaka, with people standing a metre apart.
Zambians across the country are choosing both a president and those who will represent them in the National Assembly and local government.
To comply with COVID-19 safety protocols, there are more polling stations than at the previous general election in 2016, and voters are offered hand sanitiser at the entrance and exit of each polling booth.
The 2021 general elections are Zambia’s sixth multi-party general elections and the first where prisoners will be allowed to vote – 11,000 have registered to exercise their now democratic right.
Commonwealth observers have been deployed to polling stations throughout the nation; they were present as the first ballots were cast when polls were declared officially open.
It was an early start too for the Chair of the Commonwealth Observer Group, former Tanzanian President HE Jakaya Kikwete, who arrived at the Andrew Mwenye polling station in Lusaka in time for the opening at 6am, and to lead his team by example - observing voting getting under way and the procedures in place.
He said “It is heart-warming to see Zambians coming out to vote in such great numbers despite the COVID-19 pandemic, to decide who runs their country.
“We are here to support them in this exercise which will help strengthen their democracy, and we are here to assure them that as a valued member, the Commonwealth stands in solidarity with them as they cast their votes."
More than 7 million Zambians from 156 constituencies in 10 provinces are expected to cast their ballots at 12,152 polling stations across the country with officials assisting elderly and disabled voters.
Sixteen candidates are contesting the presidency - 15 male and one female.
The president, elected to serve a five-year term based on a majority system, needs to secure at least 50 percent of votes, plus one extra vote.
If no candidate secures such a majority, then the two leading candidates will contest a run-off election within 37 days of the initial ballot.
Additionally, 810 candidates are running for 156 of the 167 seats of the National Assembly that are elected by direct vote.
At the local level, 420 candidates are contesting mayoral seats and municipal council chairpersons.
Elections will also be held for 116 district councils and for councillors in over 1,600 wards.
The polls are due to close at 6pm Thursday 12 August and counting begins immediately
Picha na Habari : Mwenyekiti mstaafu wa CCM Mh. Rais mstaafu Jakaya Kikwete ambaye aliteuliwa na Jumuiya ya Commonwealth kuwa kiongozi wa waangalizi wa uchaguzi kutoka Jumuiya ya Madola akitembelea kituo kimoja cha kupiga kura huko Lusaka Zambia hapo tarehe 12 August 2021.
 
Soma article ya Ulimwengu jenerali ndio utaelewa chameleon face za wanasiasa wetu. Eti jana kaibuka M7 anapingana na police kupiga watu juu ya Covid lockdown rules wakati wa uchaguzi alikuwa anapeleka brigade ya jeshi kudhibiti wapinzani wake kisiasa miezi 4 iliyopita tuu.
 
Swali zuri kwa viongozi wa CCM waliopo madarakani na pia kwa viongozi wastaafu wa CCM


Picha na Habari : Mwenyekiti mstaafu wa CCM Mh. Rais mstaafu Jakaya Kikwete ambaye aliteuliwa na Jumuiya ya Comonwealth kuwa kiongozi wa waangalizi wa uchaguzi kutoka Jumuiya ya Madola akitembelea kituo kimoja cha kupiga kura huko Lusaka Zambia hapo tarehe 12 August 2021.
Mbona sio askari wenye mabomu hapo ?
 
Soma article ya Ulimwengu jenerali ndio utaelewa chameleon face za wanasiasa wetu. Eti jana kaibuka M7 anapingana na police kupiga watu juu ya Covid lockdown rules wakati wa uchaguzi alikuwa anapeleka brigade ya jeshi kudhibiti wapinzani wake kisiasa miezi 4 iliyopita tuu.
FB_IMG_1597704304681.jpg
 
Back
Top Bottom