mzee

An honorific is a title that conveys esteem, courtesy, or respect for position or rank when used in addressing or referring to a person. Sometimes, the term "honorific" is used in a more specific sense to refer to an honorary academic title. It is also often conflated with systems of honorific speech in linguistics, which are grammatical or morphological ways of encoding the relative social status of speakers. Honorifics can be used as prefixes or suffixes depending on the appropriate occasion and presentation in accordance with style and customs.
Typically, honorifics are used as a style in the grammatical third person, and as a form of address in the second person. Use in the first person, by the honored dignitary, is uncommon or considered very rude and egotistical. Some languages have anti-honorific (despective or humilific) first person forms (expressions such as "your most humble servant" or "this unworthy person") whose effect is to enhance the relative honor accorded to the person addressed.

View More On Wikipedia.org
  1. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Watu hudhania kila mzee ni wa kuomba ushauri na guidance, wengi wao wanaweza kuchefuka na hatua kubwa uliyopiga ambayo wao katika umri huo hawakugusa

    Roho mbaya ikizeeka haikauki. Anaweza tu kukuona umewazidi maendeleo watoto wake haina budi kukuelekeza shimoni.
  2. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Spark aliwahi kutupatia goma classic ambalo litabaki katika historia ya nyimbo bora za BF, aisee, rest in peace mzee.

    https://youtu.be/7eIfsGxlOuo?si=Amx3wcOqUoAKQ6zG
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KSh 200 imeleta majonzi! Mzee (100) akufa kwa stampede, siasa za pesa zawekwa kwa spotlight

    Wasee hii story imechafua timelines mbaya sana Video inayosambaa online inaonyesha fujo na msukumo mkubwa kwa rally ya huko Kisii. Ndani ya hiyo chaos, mzee wa miaka 100, Ombui Orandi, alianguka aka-trampled—akapoteza maisha… all this ikisemekana ilikuwa kwa rush ya pesa kidogo Wakati hii...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Watoto wa marehemu Mzee Gordon Odhiambo Odiero wamlilia RC Albert Chalamila wa DSM

    Apr 10, 2026 Mikocheni, Dar es Salaam, Tanzania WATOTO WA MAREHEMU MZEE GORDON ODHIAMBO ODIERO WAVAMIWA na MABAUNSA - WATIMULIWA NYUMBANI - WAMLILIA RC ALBERT CHALAMILA WA DSM - "BABA WAMEMUUA kwa PRESHA" https://m.youtube.com/watch?v=Ee__oTJQz5w Marehemu mzee Gordon Odhiambo Odiero...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mzee amepigwa na kiharusi kikali, sijui kama atatoboa

    Amepigwa pigo takatifu la Cardiovascular Accident. Ni mpwa na msaidizi wa Julius Kambarage toka miaka ya mwanzo ya nchi hii. Alikiri alichomewa nyumba yake akiwa amejificha nchini. Ambayo ni uongo, hakuwepo nchini na hakupiga kura. Alikuwa na mihadi na Kaguta siku ile kuhusu kumchangia hii...
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tangu alipofariki kwa kutekwa na watu wasiojulikana Mzee Ali Kibao taifa lina mpasuko mkubwa

    Wasiojulikana? Inakuwaje taifa linakuwa na watu wasiojulikana? Tangu afariki Mzee Kibao kwa kifo ambacho kilishangaza dunia kwa mtu kunyakuliwa kama kuku kwenye basi kisha kupatikana amekufa kinyama taifa letu limegawanyika na kupasuka. Leo hii watu wanashangilia hadharani kwenye majukwaa ya...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi mtoto wa kike kumfumania Mzee wake tena kwa yowee kuita watu washuhudie?

    Kuna tukio nimekutana nalo maeneo fulani eti binti kamfumania Baba yake tena anapiga mayowee watu wajae washuhudie akijua anamkomesha baba yake kumtia aibu kingine eti anapambania ndoa ya Mama yake. Nikajiuliza vipi kimaadili hili jambo limekaa sawa kweli? au tuishi kiutandawazi kuitikia mapokeo?
  8. Mjusi Sharobalo

    JamiiForums Tanzania Huyu mzee atakuwa na miaka mingapi hivi sasa?

    Mwamba hazeeki kabisa!
  9. E

    JamiiForums Tanzania Ukimsikiliza huyu mzee unaona kabisa Nchi za Wenzetu watu wako serious na Masilahi ya Nchi zao

    Kweli anaizungumzia Nchi na kuijali kama familia yake , Afrika tuhubiri kwanza Uzalendo tuko nyuma sana . https://youtube.com/shorts/7bpZjoxy2Lg?is=zPTHUjErKG4H9MSd
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ampa Mzee Zahir Zorro Tsh. Milioni 10

    Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amemtembelea na kumjulia hali Mwanamuziki Mkongwe wa muziki wa dansi Zahir Ally Zorro nyumbani kwake Kigamboni Jijini Dar es salaam kwa lengo la kumpa pole kutokana na changamoto za kiafya anazopitia. Katika ziara...
  11. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Mwigulu hana ulinzi kama aliokuwa nao Hayati Magufuli, wala Samia hawezi mpa ulinzi huo! Wahuni sio watu wazuri!

    In Polepole’s voice anasema wahuni sio watu😂🤣 halafu anawataja Rostam Aziz, Kikwete, Karamagi, na wengine wengi. In Polepole’s voice anadai Kuna Mzee wa tax hapo posta Muda mwingi yeye anabeba bahasha za sanduku la posta ila siku hiyo alipewa bahasha ikiwa na Kodi za kumuua Magufuli kwa kuwa...
  12. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Poleni sana mzee wangu pascal mayala.

    Mwandishi Paschal Mayala amepewa masaa 24 kuthibitisha kauli yake aliyoitoa kwenye kipindi cha JAMBO ASUBUHI kinachorushwa na Jambo Television kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Mwigulu Nchemba alichukizwa na kitendo cha waombolezaji waliokuwa kwenye ibada ya mazishi ya...
  13. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa mzee wangu Mangungu Zanzibar njoo na mabaunsa hawa watu hawafai

    Ushauri wangu ni huu🤝🤝🤝🤝🤝🤝👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
  14. Voltaire

    JamiiForums Tanzania Maalum kwa watekaji na wauaji!

    Hii story ya mzee Sironga ni kweli kabisa na inakupa tafsiri halisi ya Karma. Sikiliza,elewa,chukua hatua
  15. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Icc msitumie nguvu kumkamata huyu kiongozi maana ni mzee. Mtumie busara na atii bila shuruti. Yasiwepo makabiliano kama Venezuela

    Naona hata yeye ameshajua kuwa ana wakati mgumu. Juzi amesikiika akiongea kwa unyonge kuwa mimi nitaondoka na watakuja wengine. Hakuna haja ya kutumia nguvu na kumpeleka Icc kama Rodrigo Durtete mumchukue taratibu msije mkatuletea matatizo mengine
  16. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Suala la Msajiri kutengua uwenyekiti wa Lipumba hana hayo mamlaka na umekaa kisiasa kwanini ametengua baada ya kukosoa uchaguzi achunge sana huyo mzee

    Suala la Msajiri kutengua uwenyekiti wa Lipumba hana hayo mamlaka na umekaa kisiasa kwanini ametengua baada ya kukosoa uchaguzi achunge sana huyo mzee. Hakuna mtu mwenye nguvu kuliko umma hakuna mpumbavu ambaye tutamuacha salama kwenye fagio linalokuja msajiri ni mpumbavu anatumika kuhujumu...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Mwekezaji abaomoa nyumba ya Mzee wa miaka 90, familia yalala nje

    Familia ya Mzee wa Mila afahamikae kwa jina la Chacha Wasinyo Changu (90), Mkazi wa Kitongoji cha Mirimisi, kijiji cha Mrito, Wilaya ya Tarime, inalazimika kulala nje kwa siku ya 5 mfululizo baada ya makazi yao kubomolewa. Tukio hilo linadaiwa kufanywa na Samweli Ngocho, Mkazi wa Kijiji cha...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Serikali ianzishe program ya watu kuchangia kwaajili ya uzee. Iitwe KIZAZI SALAMA FUND (KSF). Ili Kila Mzee wa Tanzania alipwe posho kwa mwezi

    SERIKALI IANZISHE PROGRAM YA WATU KUCHANGIA KWAAJILI YA UZEE. IITWE "KIZAZI SALAMA FUND (KSF)". ILI KILA MZEE WA TANZANIA ALIPWE POSHO KWA MWEZI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Watu wote nchini ni muhimu. Na wote kwa namna moja ama nyingi wanamchango katika ujenzi wa taifa letu. 2...
  19. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania MSUTI wa katibu mkuu wa MAKAMU wa Rais kama wa Mzee wasira

    Mzee mbona MSUTI ni oversize?
  20. O

    JamiiForums Tanzania Mzee Mbowe anawachezea akili vijana wake wa CHADEMA, mwisho wa siku wataangukia kwenye mtego wake

    Baada ya hotuba yake kwenye mazishi ya Mzee Mtei (RIP), vijana wengi wanaonekana kukoshwa na hotuba hiyo, wengine wakimpongeza kwa hashtags kwenye social media. Wengine wanaona kama ni mwelekeo mzuri wa Mbowe kurudisha heshima iliyotetereka ndani ya chama chake cha CHADEMA kwa siku za hivi...
Back
Top Bottom