mwanamke

  1. Kifaru86

    Ni staili gani nzuri unaweza kuitumia kuishi na mwanamke mwenye kiburi na jeuri

    Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe . Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa...
  2. maji ya gundu

    Nawaonea huruma rafiki zangu, usiombe kuzaa na mwanamke asie na akili

    Habari za jumapili wana jukwaa, bila shaka najua mnaendea vizuri na matatizo yenu. Kuna hili jambo haliongelewi sana ila linatesa sana vijana. Iko hivi nna rafiki zangu Kama wanne wamezaa tu na wanawake hawajafanikiwa kuishi pamoja, asee hili jambo usiombe likukute ishia tu kuliona kwa wenzio...
  3. Joseverest

    Mwanamke ajeruhiwa kwa risasi za polisi maeneo ya Sinza Dar es salaam

    Mwanamke aitwaye Mariam mkazi wa Sinza Lion Dar es Salaam, amejeruhiwa kwa kupigwa risasi maeneo ya begani katika harakati za Polisi kuwatuliza raia wenye hasira kali waliokuwa wanataka kumpiga mwizi aliyekwapua simu kwenye bodaboda majira ya saa 12:00 asubuhi ya leo Mei 20, 2022 Kwa maelezo ya...
  4. Kasiano Muyenzi

    Tabia 3 za wanaume ambazo ni machukizo mbele ya mwanamke

    1.Uvivu Mwanaume mvivu, omba omba ambaye hukaa juu ya kochi na kunyoosha mikono kuomba hela kwa mwanamke, hafanyi kazi yoyote yupo yupo tu anasubiri mwanamke wake amletee hela. Biblia inasema mtu adiyefanya kazi asile (2 Wathesalonike 3:11) Pia mtu wa hivyo ni mbaya kuliko kafiri (1 Timotheo...
  5. Chachu Ombara

    Mkurugenzi wa Shule ampiga Mzazi na kitako cha bastola baada ya kuomba uhamisho wa mwanaye

    Jeshi la polisi mkoani Iringa linamshikilia Mkurugenzi wa shule ya Sun Academy, Nguvu Chengula, kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi Alifa Mkwawa, ambaye ni mzazi, kwa kutumia kitako cha bastola baada ya kuombwa uhamisho wa mtoto anayesoma katika shule hiyo. Kamanda wa Polisi mkoani humo Allan...
  6. ESCORT 1

    Yalitokea kwa Joyce Banda, Rais wa kwanza mwanamke nchini Malawi kuna la kujifunza

    Mwaka 2012, Makamu wa Rais wa Malawi, Joyce Hilda Banda alichukua nchi baada ya kifo cha Rais Bingu wa Mutharika. Waliomuwekea mizengwe kipindi anatakiwa akabidhiwe nchi, alikuja kuwashughulikia alipokuwa Rais. Akawa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa hilo. Akaingia madarakani, akawa...
  7. aise

    Muogope sana mwanamke anayekwambia anakupenda hata kama hauna hela

    Yaani mwanamke anayekwambia anakupenda hata kama hauna hela, huyo muogope sana. Kwa kawaida kama kwako kunaungua, basi kwa mwenzio kunateketea. Kwenye maisha tunahitaji pesa kusavaivu, kama mwanamke wako anakwambia anakupenda hata kama hauna hela, huyo muogope kama ukome. Wewe hauna hela...
  8. John Haramba

    Mimba ikiharibika, kutolewa au kutoka yenyewe mwanamke anatakiwa kupatiwa cPAC haraka, ni muhimu

    Kwa Tanzania kitendo cha kutoa mimba bila sababu za kitabibu ambazo hazikwepeki kufanya hivyo kwa faida ya mwanamke aliyebeba ujauzito ni kosa kisheria. Pamoja na hivyo, bila kujali mimba imetoka yenyewe au imetoka bahati mbaya au imetolewa makusudi, hiyo haiondoi huduma ambayo mwanamke...
  9. MK254

    Mwanamke Mkenya ashinda tuzo ya muuguzi bora duniani

    Kenyan Anna Qabale Duba named world’s best Nurse. PHOTO/Courtesy Anna Qabale Duba from Marsabit County in Kenya has been named the winner of a prestigious award, which has prize money of $250,000 (Ksh29M). Sheikh Ahmed Bin Saeed Al Maktoum, President of Dubai Civil Aviation Authority honoured...
  10. kataip

    Suala la elimu na kipato cha mwanamke na machungu kwa wanaume.

    Habari Ikiwa kutafuta elimu ni lazima kwa kila mwenye akili, hawa wanaume wasiojiamini wanapata wapi ujasiri na hofu wa kuogopa wasomi.?? Ni wazazi wangapi wenye mabinti wamewaandaa mabinti zao kuwa mama wa nyumbani kwa kuishia darasa la saba na kidato cha pili? Naona idadi ya wanaume inazidi...
  11. escrow one

    Adui wa mwanamke ni mwanamke? Je, Mama Samia na Dkt Tulia watabariki kudhalilishwa kwa wanawake wenzao 19?

    Pamoja na vita kali ya Urusi na Ukraine lakini dunia nzima ipo kimya kushuhudia ni kwa namna gani wanawake wawili wenye nguvu zaidi hapa TZ watawalinda wenzao 19 waliodhalilishwa wiki hii mbele ya umati wa wajumbe zaidi ya 400. Kama Ndugai na Mwendazake (wanaume) waliweza kuwalinda, nyie...
  12. N

    Natafuta Mwanamke anayeishi na VVU

    Habari zenu wanajf? Nimekuja humu kwenye hili jukwaa kutafuta mwanamke anaeishi na VVU ili aje kuwa mke wangu. Nina miaka 33 Nahitaji aliye serious tu Umri kuanzia miaka 29 na kuendelea Kwa aliyetari ani pm Au kwa E-mail kkari3871@gmail.com
  13. Superbug

    Ogopa mwanamke anayevaa dera

    Huu ni ushauri wangu kwenu wakulungwa wenzangu. Mwanaume mwenzangu ogopa sana mwanamke anayevaa dera tena mchana. Utakuja kunikumbuka.
  14. Aen Urner

    Sidhani kama kuna mwanamke atakuja kunipenda zaidi yake!

    Wakuu, mimi sio mtongozaji na mpaka sasa naandika huu uzi nina takribani miaka 3 sasa sijatongoza mwanamke yoyote, na huwa siwezi tongoza mwanamke nnaefahamiana nae, nikishazoeana tu na mwanamke siwezi mtongoza Mademu zangu mimi huwa wanajigonga wenyewe nawala halafu sikai nao, wengi huwa...
  15. S

    Kumfungulia biashara mwanamke ni kosa kubwa la kiufundi linalofanywa na wanaume wa kizazi hiki

    Nani kawaroga enyi wanaume wa ki,zazi hiki? Unaanzaje kufanya ujinga huu wa kumuandaa mwanamke ili akuache baadaye? Ndiyo! Kumfungulia mwanamke biashara YAKE ni maandalizi muhimu ya kutaka akuache siku za usoni. Kwasabb unampa uwezo wa kiuchumi ili asimame peke yake. Mwanamke ili atulie kwenye...
  16. L

    Mwanaume kupanga nyumba au chumba na kukuta kuna mpangaji mwanamke

    Habari wana JF, Kupanga sehemu mpya na kukuta jinsia tofauti na yako kwanini huwa mahusiano yaanze. Ukipanga sehemu mpya unaweza kujizuia kuanzisha mahusiano na mpangaji mwenzio? Nina nyumba ya 3 sasa nahamia na zote nakuta wadada na mahusiano yanaanza na wengine wana watu wao japo hawaishi...
  17. Saint_Mwakyoma

    Usioe Mwanamke asiyekupenda

    Jana nilikutana na fundisho kubwa sana kwenye maisha yangu baada ya kukutana na mzee wa bodaboda aliyenipa ushauri mzito utasema alitumwa na Mungu juu yangu. Mwakyoma: Mzee umemuona yule dada aliye nisindikiza vizuri Mzee wa boda: Ndio nimemuona , vipi ndio mkeo Mwakyoma: Hapana , ni mtoto wa...
  18. Pascal Mayalla

    Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

    Wanabodi Hii ni moja ya zile mada zangu za kikubwa zinazomtaka mtu kusoma kwa akili iliyotulia, na ili kuielewa,kunahitaji kiwango fulani cha uelewa!,kama wewe ni mwenzangu na mimi,wale wenye akili za wastani za dii mbili!nakushauri save your precious time,jipitie zako tuu na uende mabandiko ya...
  19. Kipenzi Changu

    Kwanini mwanamke wa Kiislam kuwa Rais ni kukiuka nguzo za Uislamu?

    Swali la uelewa, Kwa nini mama wa kiislamu kuwa rais ni kukiuka mafunzo ya Mtume Muhamadi? Huu ni uelewa tu, kwa hiyo tujengeane uwezo bila jazba wala kashfa c.c FaizaFoxy
  20. DR HAYA LAND

    Mimi nashangaa huyu Mwanamke kila Muda namwambia aachane na Mimi lakini anielewi

    Huyu Mwanamke Kama anailewi nimemwambia aniache nifocus na Maisha yangu lakini yeye kutwa kulazimisha yaani hata sielewi anatafta Nini kwangu. Mimi sasahv nataka kukaa single nimemwambia lakin ndo kwanza anafosi niwe naye. Sasa leo Nampa Brock za maana najua yupo humu Jf na anasoma huu Uzi...
Back
Top Bottom