Mwanamke mmoja wa Limpopo, Afrika Kusini apelekwa mahakamani, kushitakiwa kesi ya mauaji ya mtoto wake mwenye umri wa miaka kumi n moja (11)
Nhabiseng Mokwana, 28 anadaiwa kumlisha mtoto wake uji aliouweka vipande vya kioo jambo lililosababisha kifo cha mtoto huyo. Mwanamke huyo alikamatwa wiki...
Hamna kitu kibaya kama kumbukumbu hasa hiyo kumbukumbu inapokua mbaya katika maisha yako unaweza thubutu hata Kujitoa uhai hivi hivi
Hebu tuangalie huyu mdada mzuri sana alikua akitokea zake katika safari zake,ghafla njiani anavamiwa na kundi la wanaume walioshiba "wanam'baka wote, Kwa...
Hello wanajamvi.
Poleni kwa mihangaiko yenu na ninatumaini mko vyema.
Leo naja kivingine kidogo kwa kuwa nmejiridhisha kuwa inafaa niweke wazi kuwa nahitaji kampani ya kike. Mimi ni wa kiume, nina miaka 31, nina elimu ya chuo na nina kipato cha kawaida kwa kujiajiri mwenyewe.
Kifupi nahitaji...
Wananzengo tuelezane tuu ukweli, hakuna raha kama kumshuhudia mwanamke mnayetanangana naye akifika kileleni. Hivi utajiitaje kidume kama umepiga mtanange na mwanamke then atoke hajaona kibo na mawenzi?
Mimi hata mwanamke aniejakuletishe mara 100 lakini nisipomcumisha najiona bado sijatananga...
Nawasalimu members wenzangu
Ndugu zangu nilikuwa tuna jirani yetu mmoja alikuwa ana uhusiano wa kimapenzi na binti mmoja anayeitwa Rehema. Huyu jirani yetu alikuwa ni mpole, mstaarabu pia ni mtaratibu alikuwa anampenda sana mchumba wake huyo, hata ikitokeaga mkwaruzano ambapo ni kawaida katika...
Dada yangu kipindi utakapokubali kutoka kimapenzi na mume wa mtu, utakuwa umekubaliana kuwa mwanamke wa daraja la pili. Na siku zote mtu wa daraja la pili ni mtu wa daraja la chini ukilinganisha na daraja la kwanza.
Angalia sasa, kama yupo na wewe na mke wake akapiga simu atamdanganya mkewe...
Rafiki yangu Leo nimemsikia akiniambia sauti anazotoa yule mke wangu chumbani zinaweza kuniua. Fikiria nyumba moja mmegawana vyumba wewe na aliyekuwa mkeo baada ya kuachana. Wamepatana kila mtu awe huru na maisha yake. Anachofanya huyu mwanamke kaleta mwanaume anaishi nae inapofika usiku...
Habari wadau,
Leo naleta hii nondo makinikeni
1. Anamkomoa mumewe
2. Analala mapema kabla ya mumewe
3. Anachelewa kuamka kabla ya mumewe
4. Mbishi, anahisi kuonewa muda wote
5. Anadhani kumnyima mumewe unyumba ni kumkomoa
6. Mmekaa sebuleni anahadithia tu mafanikio ya familia za wa2 wakati ye...
Mwanamke shoga ni yule mwanamke anayelalwa mbele na nyuma yaani kuna muda ni mwanamke na muda mwingine ni shoga ule wakati wa kuliwa makinikia/Kisamvu/Mtaro.
Kwa sisi mabaharia tusiopenda ule mchezo wa kishetani huwa inatuwia vigumu sana kumrizisha demu wa namna hii.
Yeye atataka umkaze mbele...
Wanawake wengi wanatabia ya kudanganya kuwa wamefika kileleni kumbe hata kileleni kwenyewe hajuwi ni wapi.
Mara nyingi wanatumia mbinu ya kudanganya kama wanafika kileleni kwa kupiga kelele za kimahaba na wapo ambao huongea kabisa, utawasikia “ooh bebi I’m coming”.
Hapo mwanaume utajiona dume...
Habari wakuu,
Msinielewe vibaya na hiyo heading,nimekaa nimefikiria sana kuhusu kuboresha maenzi na hawa wanawake,kwa uzoefu wangu mdogo nilionao nimegundua kuna vitu vinapuuzwa ila vikifanywa,mwanamke anafurahi kwakua inakua very romantic,nakupa mfano,binafsi nilikua napenda sana misosi mitamu...
Wadau wa mahusiano...mimi nilikutana na rafiki wa kike huko field sikuwa namfahamu japokuwa nimesoma chuo anachosoma ...nilikuwa mwaka wa pili 2017 yeye akiwa mwaka wa 1! Tulikaa nyumba ya kupanga yenye get moja tofauti chumba. Tulianza mazoea hapo siku ya kwanza nilimuona binti mstarabu sana...
Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo
1.Anavunja appointment muda wowote
2.Hajali uwepo wako
3.Hakutafuti mpaka wewe umtafute
4.Anacheka kwa dharau
5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki zake
6.Hajibu sms zako. Hivyo ukiona dalili hizi ndugu yangu jiongeze ila uking'ang'ania utaumia.
Ingekuwa mzuka sana kama ungeweza kumuona msichana mrembo mtaani, au pengine College au eneo la kazi na kumfuata na kuondoka nae mpaka nyumbani kwako kwa ajili ya kumtafunisha muwa. Lakini sio rahisi hivyo, moja kati ya vitu challenging katika maisha ya mwanaume ni jinsi ya kuomba mchezo.
Ikiwa...
Hebu imagine ndo wewe sasa mda wote huo hujawahi fanya mapenzi, ungejisikiaje? Leo mwana JF mwenzenu natimiza miaka tisa bila zinaa, mwaka wa 2009 ndo ulikuwa mwaka wangu wa mwisho kufanya mapenz...
Ni miaka mingi sana kwa mwanadamu kutofanya mapenzi wengi wenu mtanibeza wakati wengine hata...
Hi members,
Leo nitajaribu kueleza na kufafanua namna ya kuishi na mwanamke katika ndoa bila mzozo na mikwaruzo.
Hii ni kutoka na experience yangu binafsi katika ndoa pamoja na utafiti wangu kayika jambo husika nikishirikisha watu mbalimbali wa rika tofauti walio katika ndoa
Hii inahusu walio...
Wasalaaam waungwana,
Leo nijikite moja kwa moja kwenye mada husika kuhusu mahusiano.
Ni Mara nyingi sana watu hasa wapendanao kuwa na migogoro ya Mara kwa Mara na kupelekea kuchokana na kukinai mahusiano na kuachana. Nini sasa kifanyike ewe mwanamke mwenzangu.
Tujitahidi kwa haya yafuatayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.