mwanamke

  1. sanalii

    Kipini puani sio umalaya kwa mwanamke, ni tamaduni

    Suala la kuvaa kipindi kwa pwani ni suala la kawaida na urembo, Pwani, Tanga ni jambo la kawaida. Tatizo watu wa bara wana mtazamo finyu wa utofauti wa jamii, mtu ametoa huko anakuja anakuta watu wamevaa vipini anaona ni umalaya. Tuelewane, siyo mtazamo sahihi.
  2. MK254

    Iran: Aliyeishi miaka 54 bila kuoga afariki dunia

    Mwanaume wa Iran ambaye ameishi zaidi ya miaka 50 bila kuoga, hatimaye ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 94, ila huko huko Iran, mwanamke aliuawa kisa kipande cha nywele kilijichomoza kwenye ushungi.... An Iranian man nicknamed the "dirtiest man in the world" for not taking a shower for...
  3. MK254

    Mwanariadha mwanamke wa Iran apokelewa kwa shangwe ila wapo wanaomsubiri kwa kutositiri nywele

    Alipambana na kukamilisha mchuano nywele zikiwa nje akiwa huko Korea, sasa amegeuza nyumbani Iran na kupokelewa na maelfu ya wananchi amao wamechoka dhuluma za kidini, ila pia majihadi yanamsubiri hivyo maisha yake yako hatarini.... Iranian competitive climber Elnaz Rekabi received a hero's...
  4. MamaSamia2025

    Kuwa mnene au mwenye makalio makubwa isiwe kigezo cha mwanamke kuwa mchekeshaji (comedian)

    Ninaandika nikiwa na masikitiko makubwa kuona maumbile ya wanawake yanatumika kwenye mambo ya kijinga. Miaka ya hivi karibuni tasnia ya uchekeshaji (comedy) imezidi kuchanja mbuga na kufanya makubwa. Kwa sasa wachekeshaji nao wanaingiza pesa nyingi kama wasanii wengine tofauti na zamani...
  5. Ben Zen Tarot

    Ewe mwanamke acha kujichua

    Mwanamke Umewahi kupiga punyeto? Umewahi kujichua? Umeshazoea si ndiyo? Unajua madhara yake? Punyeto ni nini? Punyeto ni kitendo cha kujichezea sehemu za siri ili kujisisimua na kujiridhisha kimapenzi. Iwe kwa vidole, tango, karoti, midoli ya maumbile ya kiume, vibrators n.k. Kuna njia nyingi...
  6. T

    Je, Mwanamke anaweza kupata ujauzito baada ya kutolewa kizazi kwa kuombewa na Manabii na Mitume?

    Habari za wakati huu wanajamiiforums! Jamani mimi binafsi kuna jambo napata ukakasi kuamini kama ni kweli. Ipo hivi kuna muda huwa naangalia channel za manabii na mitume maaraufu hapa Tanzania, Sasa kuna shuhuda huwa nazisikia mwanamke anadai kupata ujauzito bila ya kuwa na kizazi! Wengi wa...
  7. AbuuMaryam

    Tafuta mwanamke uoe, haya ndio maumbile tuliyoumbiwa

    Salaam, Kuna kampeni inaendeshwa kimya kimya na wahuni kushawishi watu wasioe... Yaani watu waikatae NATURE... Maumbile yao ya asili... Sasa wewe usipooa... Maji maji yako unayajaza unamwekea nani? Unakataa kuoa kwa sababu ya chuki dhidi ya wanawake... Sasa ukiwachukia wanawake... Alafu...
  8. N

    Kuhudumia mwanamke ni raha sana

    Kuwa bonge la bwana sio lazima uwe na mwili mkubwa vile unavyowatendea wanawake (mapambo ya ulimwengu) ndiyo yatafanya mwanamke amwage machozi siku utakayomwambia "Me and you it's over". Siyo mpo kwenye date kila mara unaweka mikono mfukoni, mara kabla ya kuagiza unaanza kuuliza bei, nini sasa...
  9. J

    Hivi na umri ulionao bado unaendeshwa na mapenzi?

    Tunajua mapenzi yanaendesha Dunia. Tumesikia na kujionea mapenzi yalivyo na nguvu, lakini sina uhakika kama yanaweza kuhamisha milima kama wasemavyo. Umri uliyonao na mambo uliyokwisha pitia, hivi bado wewe ni wakuendeshwa na mapenzi kweli au umerogwa? Ndugu yangu kubali kukua na ujifunze...
  10. Mr_S

    Mbona mwanamke ukimkataa anakuchukia sana?

    Ndugu zangu mimi kuna jambo huwa silielewi kabisa kuhusu wanawake/ mwanamke: "ukiwakataa huwa wanakuwa na chuki kali sana dhidi yako haijalishi mpo katika mazingira (hata kazini/biashara) gani." Kwanini hawa wenzetu huwa suala la kukataliwa wanalibeba kwa uzito sana. Mbona wao wanatukataa kila...
  11. J

    Sababu kubwa inayomfanya Mwanamke akatae kushiriki tendo la ndoa

    Wanandoa wengi wanafanya mapenzi kama jukumu na siyo starehe ya kufurahishana. Na wanaume wengi wamekuwa wabinafsi kwasababu wanafikiria tu mihemko yao bila kujali unayemtumia anahali gani. Mwanamke ni mtu anayefanya vitu vyake kwa hisia, kwahiyo kabla hujataka kufanya hicho unachotaka kufanya...
  12. 44mg44

    Kipi kinachukua asilimia kubwa sana kama sifa ya mwanamke kuolewa?

    Kwa mawazo yangu sifa za mwanamke kuolewa ningezipa asilimia Kama ifutavyo: a) Rangi ikiwa nyeupe 15% b) Muonekano kwa ujumla 25% c) Chura 35% d) Mguu 5% e) Uzuri wa tabia 5% f) Umbo lake 5% g) Sifa ya familia anayotoka 5% h) historical background kama aliwahi kuzaa au kutoa mimba 5% Je, wewe...
  13. M

    Mambo ya Walawi 18:22: Usilale na mwanaume mfano wa kulala na mwanamke; ni machukizo

    Katika sura yote ya 18 ya kitabu cha mambo ya Walawi kwenye Biblia, Mungu amekataza mambo machafu yahusianayo na ngono ikiwemo kuoana na ndugu wa karibu, ikiwemo pia kulala na wanyama. Uzi huu ni kumbushio maalumu juu ya unajisi utokanao na ushoga. Uchafu wa mambo hayo HUINAJISI NCHI, hata nchi...
  14. APPROXIMATELY

    Kila mwanamke ninaye mtongoza,akatai....

    Usinichoshe,tusichoshane... Salam hazina maana... Yani sasa hivi kila mwanamke nikimtaka,awe mke wa mtu,awe mwanafunzi wa chuo,awe mwanafunzi wa secondary,awe single mama,awe yupo yupo tu wote hao hawakatai,mpaka najiuliza kumetokea nini??? Je maisha yamewapiga sana?? Au mtaani...
  15. NetMaster

    Safari yangu ya "No Fap" imeisha leo siku ya 9, nimeambulia "F", nimeteleza kwa binti ambae sijawahi kuvutiwa naye

    "Post mshindo clarity" ni ile hali akili inapotulia ikiwa haina tena wenge la tamaa za mwili baada ya kupiga mshindo au mishindo ya kuzimaliza hamu ya ngono, leo kilichonipata duhh! Binafsi nilikuwa na kibubu cha siku tisa nilikuwa nafanya ishu flani inaitwa "No Fap", soma uzi wangu >> huu << ...
  16. B

    Kwanini mara nyingi mwanaume ukimhudumia sana mwanamke lazima upigwe na kitu kizito?

    Utakuta mwanaume uko vizuri kipesa, unamuona mdada unampenda, ila amepauka kwa umaskini. Unajitoa kumhudumia kipesa kwa hali na mali, hadi mdada ananawiri, ila atakachokuja kukulipa huyo binti, ni heri tu angekuambia tuachane. Niliona makala YouTube, mdada mmoja wa Kifilipino alimuua mume wake...
  17. Crocodiletooth

    Fatma Fihri mwanamke wa kwanza kuanzisha elimu ya Chuo Kikuu duniani mwaka 800

    Kiasi kwamba ilimvutia pope Sylvester Ii, kwenda kuanzisha kuwafundisha uandishi wa lugha ya kiarabu ndani ya chuo hicho. Fatima al-Fihri: Founder of World’s Very First University. The name Fatima Al-Fihri crowns the annals of history with the distinction of having established the world’s...
  18. Expensive life

    Mwanamke ndiyo kiumbe hatari zaidi kuwahi kutokea duniani!

    Watu wanawataja simba, chui, nyoka na kadhalika eti ndiyo viumbe hatari duniani! Aiseeh, hao viumbe wote ni chamtoto kwa mwanamke. Mwanamke mfanyie kila unachojua, huna utalia, unacho utalia. Nawaonea huruma sana vijana mnaotarajia kuoa.
  19. K

    Mwanamke wa kunipa mtoto tu

    Amani iwe kwenu wapendwa. Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40 BILA MTOTO WALA MKE (ni member wa muda humu, sema nimeamua kutumia id tofauti ili kutunza heshima). Ni mtumishi kwenye kampuni binafsi inayoendesha shughuli zake Dar es Salaam. Kwa nyakati tofauti nimekuwa na mahusiano na...
  20. B

    Mwanamke alivyosababisha nichelewe usaili wa mrija wa asali

    Ndugu wanaJF Jumamosi (01/10/2022) nilileta uzi jukwaani nikiomba kwa aliyetangulia kubarikiwa pesa, aniwezeshe nauli niende kwenye usaili kule kwenye makao makuu ya nchi (kibiashara na Ikulu). Wadau wawili waliniwezesha kiasi cha Tshs 25,000/=. Baada ya wezesho hilo, nikawa na pungufu ya...
Back
Top Bottom