Methali 6:16-19
Kuna vitu sita anavyochukia Mwenyezi-Mungu; naam, vitu saba ambavyo ni chukizo kwake: Macho ya 1.kiburi, ulimi 2.mdanganyifu, 3.mikono inayoua wasio na hatia, 4.moyo unaopanga mipango miovu, 5.miguu iliyo mbioni kutenda maovu, 6.shahidi wa uongo abubujikaye uongo, na mtu...